Another lunatic! Not worth my attentionUlitaka apewe baba yako ndio ukenue?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Another lunatic! Not worth my attentionUlitaka apewe baba yako ndio ukenue?
Shenzi kweli we!Another lunatic! Not worth my attention
Ebu wacha kurohoja ujinga watu wameuliza na wanataka kujua hiyo mikopo ilitumika inavyo paswa?Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.
Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.
Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.
HUDUMA ZA JAMII
NISHATI na MADINI.
- Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
- Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
- Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
- Kufuta kabisa mgao wa umeme
- Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
- Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
- Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
- Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
- Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
- Zahanati 1, 198
- Vituo vya Afya 497
- Hospitali za Wilaya ni 71
- Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
- Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
- Fly overs
- Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
- Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
- kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
- Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
- Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
- Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
- Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
- Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
- Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Nimemuona leo pale koromitjeUnateseka ukiwa wapi?
Mpuuzi mkubwa wewe sukuma ganghome kwako.
Naona unateseka sana sijui uko mitaa gani?10 Nyerere + 10 Mwinyi + 10 Mkapa + 10 Kikwete + Samia = 5 Magufuli [emoji3]
This man was a Legend! Uthubutu mkubwa umefanyika katika awamu ya tano.Huyu mwamba ameweka standard ya uongozi/Urais unapaswa uweje.
Pumbafwatanzania hata uwakumbushe aliyoyafanya jpm bado wanaona ndoto sio kweli wacha mungu atuletee ukame ndio utajua kama ulikuwa hujui
Wajinga ni wengi ukiwemo weweNakubaliana kabisa na wewe..inashangaza sana mtu kama Nape anabwabwaja tu....wakati wa awamu ya tano si alikuwa mbunge tena chama tawala na JPM akiwa mwenyekiti ...haya maswali angeuliza kipindi hicho ....Pamoja na JPM kukopa lakini kuna vitu tunaona na hilo lipo wazi....Yeye Nape so far amafanya nini kwa wapiga kura wake achilia mbali nchi...korosho tu haiwezi...
Apunguze mdomo....hana jipya
Mwamba kwenuHapo umenena, big up. mipango yote tanzu enzi za Mwl huyu mwamba kaitekeleza.
Juha ni wazazi wakoYaani watanzania ni majuha kabisa. bora mkoloni arudi tu
Imeisha hiyoooooAcha wajiliwaze ,ila tuendako sasa basi, Magufuli kaondoka katutoa tongotongo machoni mwetu,hatudanganyiki tena na tena
1.5 tr iko wapi?Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.
Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.
Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.
HUDUMA ZA JAMII
NISHATI na MADINI.
- Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
- Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
- Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
- Kufuta kabisa mgao wa umeme
- Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
- Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
- Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
- Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
- Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
- Zahanati 1, 198
- Vituo vya Afya 497
- Hospitali za Wilaya ni 71
- Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
- Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
- Fly overs
- Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
- Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
- kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
- Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
- Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
- Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
- Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
- Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
- Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Pesa za walipa kodiUmesaau stand mpya kila mkoa
Jiwe ni kibaka kama vibaka wengineMwizi mzuri sana! Yaani mwizi anayeiba na kujenga miundombinu na kuleta maendeleo watamzania ndiyo tuloyemhitaji! Muuaji anayeua wanaotaka wajawazito wafie njiani wakielekea hospital kwa ubovu wa miundombinu kwa kuendekeza siasa uchwara wacha wauliwe tu! Sisi tulikubaliana na hilo! Au wanaoteseka na umasikini sio watu? Asiyependa kuona watu wakiishi vizuri aliwajengea miundombinu ya kisasa,akawapa elimu bure,maji,huduma bora za afya bila kusahau aliwapenda machinga! Kama asiyetenda haki alikuwa hivyo,Basi siai tulimpenda hivyo hivyo!
Je wajua wengi walioko nje na mitandao ni watu wasiojielewa na masikini?wasikuchanganye
1.wengi wanaopiga kelele kama Nape, Membe n.k ni wale ambao mrija ulikatwa
2. wako ambao wanakubali chuki kwa bluetooth tu
nje ya mitandao,JPM anaishi
Watu kama kina nape ilikuwa wa kufutiwa uanachama muda sana. JK tu anamlea sababu huwa anamtumia. Nakumbuka mzee makamba akiwa katibu mkuu alimuambia nape umelaaniwa mbinguni na duniani, wakataka wamfute uanachama, kumuokoa na dhoruba JK akampa ukuu wa wilaya masasi ili kumlinda.Nakubaliana kabisa na wewe..inashangaza sana mtu kama Nape anabwabwaja tu....wakati wa awamu ya tano si alikuwa mbunge tena chama tawala na JPM akiwa mwenyekiti ...haya maswali angeuliza kipindi hicho ....Pamoja na JPM kukopa lakini kuna vitu tunaona na hilo lipo wazi....Yeye Nape so far amafanya nini kwa wapiga kura wake achilia mbali nchi...korosho tu haiwezi...
Apunguze mdomo....hana jipya