Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

Kwa hiyo unamanisha Nape analenga wakuchunguzwa ni Mama na Mpango? Marehemu hahojiki.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Mpango hapo hawezi chomoka. Probably ndiye mlemgwa pamoja na akina Dotto. Ila swali ni kwamba hii Inawezekana kwenye serikali na Bunge hili? Ile fear aliokuwa ya Magufuli kwa wateule wake inamsaidia sana Maza kufanya kazi zake.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Ugoro!!! Umekula maharage ya wapi weweee
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
awamu ya 5 ufisadi ulikuwa mkubwa ila ilikuwa ukisema lazima upotezwe/kuuwawa
full stop
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Kwani kama hakujaibiwa pesa mnaogopa nini mama akague?Huyu mnae msifia kipindi cha uuzwaji wa hovyo wa nyumba za NHC waligawiwa mpaka vm.da
 
10 Nyerere + 10 Mwinyi + 10 Mkapa + 10 Kikwete + Samia = 5 Magufuli [emoji3]

This man was a Legend! Uthubutu mkubwa umefanyika katika awamu ya tano.Huyu mwamba ameweka standard ya uongozi/Urais unapaswa uweje.
Urais unapaswa uuwe na kuteka watu
 
Ukiongelea jpm maumivu yanarudi upya.sijuhi kwa nini Mungu alichelewa kutupa jpm? Akatupa dhahabu na kumchukua kwa muda mfupi.

Nm.msiulize naumia nikiwa wapi, niko hapa chato.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Magifur alifanya makosa Sana kuwaacha salama, ange watumbua kwenye Kula za maoni kwenye chama au ange wapa kesi ya uhujumu uchumi tokea kipindi kile wasinge tamba Sanaa mpaka kupata uwazir na huyu mwingine ana subili nafasi Tu ya uwaziri
FB_IMG_16364904125222128.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwizi mzuri sana! Yaani mwizi anayeiba na kujenga miundombinu na kuleta maendeleo watamzania ndiyo tuloyemhitaji! Muuaji anayeua wanaotaka wajawazito wafie njiani wakielekea hospital kwa ubovu wa miundombinu kwa kuendekeza siasa uchwara wacha wauliwe tu! Sisi tulikubaliana na hilo! Au wanaoteseka na umasikini sio watu? Asiyependa kuona watu wakiishi vizuri aliwajengea miundombinu ya kisasa,akawapa elimu bure,maji,huduma bora za afya bila kusahau aliwapenda machinga! Kama asiyetenda haki alikuwa hivyo,Basi siai tulimpenda hivyo hivyo!

Na Target Yake Ilikuwa Watu Kama Hawa, Katika Hilo Alifanikiwa.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya

Tanzania Is Better Off Without Him [emoji706]
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Kuna mijinga haitakuelewa,hii miTanzabia hata ukimpeleka YESU au MUHAMAD pale Ikulu italamika tu.

Ngoja wakome
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Umesahau waliopotezwa, kupigwa risasi na watumishi kutopandishwa/kuongezwa mishahara na madaraja.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, nchi ya watu vichwa panzi, mahitaji yalikuwa rais msimamo akaja hawakupenda, giogoi hawapendi, vuguvugu hawapendi, labda wasubirie civil war watafaidi, its either Zaire, C.A Republic, or F.R.Nigeria. lets keep praying we dont match them.
 
Back
Top Bottom