Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

Nape alikuwa mbunge kipindi cha JPM, kwa nini hakusema pale bungeni kwa sababu wabunge wetu tumewapa kinga. alishindwa ni wakati wananchi wa MTAMA tulimpeleka kutetea haki zetu.
Moja Tuache unafiki wa kuuliza hili swali la kwann hakusema kipindi hicho.

Pili hilo swali kuulizwa sasa haimaanishi kuwa jambo hilo halina umuhimu tena sababu limepita.

Tatu hii haitakiwi kuwa kipindi cha awamu ya 5 tu, hata huko nyuma mikopo ikiangaliwa ni vizuri ili nchi ifahamu wapi pa kurekebisha.

Nne na mwisho hoja si matumizi mabaya ya mkopo hoja ni uwazi wa matumizi ya mkopo. Ubaya na uzuri utakuja baada ya uwazi.
 
Ugoro!!! Umekula maharage ya wapi weweee
Nimekula maharage pale kwa mfipa, kuna watu hamtaki kukubari lakini legacy haiwezi kuvunjwa kirahisi 10(NYERERE+MWINYI+MKAPA+KIKWETE)n= 5JPM
 
Umesahau waliopotezwa, kupigwa risasi na watumishi kutopandishwa/kuongezwa mishahara na madaraja.
Huwezi kukomboa nchi huku unapandisha mishahara, lazima wananchi tufunge mikanda then tujenge uchumi. hivi yule ndugu yako angepata mkopo wa elimu ya juu, yule mdogo wako angesoma secondary bure? hiyo SGR na Ndege ungezipata wap?
 
Moja Tuache unafiki wa kuuliza hili swali la kwann hakusema kipindi hicho.

Pili hilo swali kuulizwa sasa haimaanishi kuwa jambo hilo halina umuhimu tena sababu limepita.

Tatu hii haitakiwi kuwa kipindi cha awamu ya 5 tu, hata huko nyuma mikopo ikiangaliwa ni vizuri ili nchi ifahamu wapi pa kurekebisha.

Nne na mwisho hoja si matumizi mabaya ya mkopo hoja ni uwazi wa matumizi ya mkopo. Ubaya na uzuri utakuja baada ya uwazi.
Ukifanya ukaguzi ukakuta kuna wizi JPM yuko wapi? si bora angesema akiwa hai kwa sababu kwa sasa wa kujibu hayupo labda mama Samia, vice preisendent na prime minister
 
Akili za watanzania wengi zimebakwa mpaka zimezoea kubakwa na kuona ni haki yao.

Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
 
Ukifanya ukaguzi ukakuta kuna wizi JPM yuko wapi? si bora angesema akiwa hai kwa sababu kwa sasa wa kujibu hayupo labda mama Samia, vice preisendent na prime minister
Hata angekuwa hai raisi hashtakiwi. Kuna mtendaji aliyehusika kufanya hilo kosa nje ya utaratibu. Mfano yaliyomkuta yule wa hai na utetezi wake wa kuagizwa.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya i apelekwe mjini na kula gari la kutimiza hayo. Ndiyo kuna wanaolalamika lakini hawa ni wale walionyang'anywa tonge ndomoni dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Naunga mkono hoja kwa 100%. Barabara za lami zilitandazwa nchi nzima. Kabla ya Magufuli, kiijijini kwangu safari ya km 60 ilikuwa ikichukuwa nusu siku. Sasa ni saa moja tu. Umeme umezagaa na watu wanalipia kwa simu tu bila hata kuhitaji kwenda mjini. Vijana wanaangalia senema na mpira wa ligi kuu za Uingereza, Hispania , n.k. Maji ya bomba yamepatikana, kitu ambacho awali kilikuwa ni ndoto. Kliniki kuna dawa na wagonjwa wanalazwa. Ni pale tu mgonjwa akizidiwa ndiyo inabidi apelekwe hospitali kubwa zaidi mjini. Maisha ya kijijini yamekuwa bora maradufu na mtu hawazii kwenda mjini kwa kuwa kila kitu kinapatikana hapohapo kijijini. Labda kwenda kuangaza macho tu mara moja.

Ndiyo, kuna wanaolalamika lakini hawa ni wale walionyang'anywa tonge mdomoni; kwa mfano 'wafanyakazi' hewa; waliogushi vyeti; wapiga dili; n.k. Hawa na walalamike tu na ikibidi wajinyonge kabisa.

 
10 Nyerere + 10 Mwinyi + 10 Mkapa + 10 Kikwete + Samia = 5 Magufuli [emoji3]

This man was a Legend! Uthubutu mkubwa umefanyika katika awamu ya tano.Huyu mwamba ameweka standard ya uongozi/Urais unapaswa uweje.
Daah Nchi nyingi zilijifunza kutoka kwake, Mungu amrehemu ila wenye akili ndo tulimwelewa huyu mwamba
 
Ta
Naunga mkono hoja kwa 100%. Barabara za lami zilitandazwa nchi nzima. Kabla ya Magufuli, kiijijini kwangu safari ya km 60 ilikuwa ikichukuwa nusu siku. Sasa ni saa moja tu. Umeme umezagaa na watu wanalipia kwa simu tu bila hata kuhitaji kwenda mjini. Vijana wanaangalia senema na mpira wa ligi kuu za Uingereza, Hispania , n.k. Maji ya bomba yamepatikana, kitu ambacho awali kilikuwa ni ndoto. Kliniki kuna dawa na wagonjwa wanalazwa. Ni pale tu mgonjwa akizidiwa ndiyo inabidi apelekwe hospitali kubwa zaidi mjini. Maisha ya kijijini yamekuwa bora maradufu na mtu hawazii kwenda mjini kwa kuwa kila kitu kinapatikana hapohapo kijijini. Labda kwenda kuangaza macho tu mara moja.

Ndiyo, kuna wanaolalamika lakini hawa ni wale walionyang'anywa tonge mdomoni; kwa mfano 'wafanyakazi' hewa; waliogushi vyeti; wapiga dili; n.k. Hawa na walalamike tu na ikibidi wajinyonge kabisa.
Tatizo watu hawatembei, hawajui nchi ilivyofunguka kipindi cha JPM.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Hayo yote kuna wahuni hawayaoni, wanatekeleza matakwa ya mwajiri wao ya kumtukana marehemu.
 
watanzania hata uwakumbushe aliyoyafanya jpm bado wanaona ndoto sio kweli wacha mungu atuletee ukame ndio utajua kama ulikuwa hujui
Hili nalo neno mkuu! Kikwete ukame ulizidi ni sawa na huyu mama
 
Awamu ya nne wapigaji walitumia akili sio kama awamu ya tano, MAJIZI MACHACHE ILA YALIIBA KWELI KWELI.
 
Awamu ya nne wapigaji walitumia akili sio kama awamu ya tano, MAJIZI MACHACHE ILA YALIIBA KWELI KWELI.
Waliiba kwa akili mbona waligawana hela za kifisadi kwenye magunia mchana kweupe! Ile ilikuwa akili au matope? Kisha kukana hela sio za serikali!
 
Back
Top Bottom