Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

Ni bora ungepewa uwezo kidogo wa kufikiri ndipo uandike.

Hizo kashfa unazosema awamu ya nne ulizisikia kwa sababu kulikuwa na uwazi na uhuru wa kuibua mabaya na serikali walikuwa waungwana kuwajibika.

Iwapo kungekuwa na uwazi huo huo wakati wa serikali ya awamu ya 5 hali ingekuwa mbaya zaidi.
Deni la taifa limekuwa kubwa mno kuliko gharama ya miradi.
Bado dhuluma zilikuwa kubwa sana.
Manunuzi yasiyofuata sheria na utaratibu yalishika kasi.

Uchunguzi ufanywe upesi
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
 
Mleta mada naona unamtamani sana mwendazake, saga chupa changanya na DDT na sumu ya panya kunywa umfuate huko aliko.
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Juliambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Bora ungesema wewe ulikua una mkubali kwa vigezo vyako sio kuwasemea watanzania wote.kibaya zaidi unaita watanzania wajinga hawana shukuran kwa Sababu tu baadhi wanahoji vitu fulan.kuna mwingine kigezo chakwanza anachotumia kumpima kiongozi ,ni utawala wa Sheria ,demokrasia ,haki za binadamu na siasa safi.je huyu utamwita mjinga Sababu yeye hajasifia sgr au ndege?
 
Baada ya Hayati Rais JPM (R.I.P) watanzania waliopoteza mkate kipndi chake wameanza kutema nyongo, wengine wamefikia mahali na kusema kilichofanyika likuwa ni wizi. hivi kweli ndugu zangu watanzania kuna wakati nchi ilipigwa mchana km kipindi cha awamu ya 4? kuna kashfa ngapi ziliingiza nchi mpaka waziri mkuu Lowassa kuwajibika? tunakumbuka ufisadi wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, MIKATABA YA MADINI, escrow account, tegeta escrow na nk.

Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi? au ni bora kukopa kidogo kwa muda mrefu? sijui watanzania tumerogwa na nani? siku moja nilikutuna na Prof mmoja bingwa wa mifupa akatuambia kuwa watanzania hatujui sekta ya afya ilivyokuwa taabani, lkn sasa vifaa tiba na wataalamu wamejaa, lkn aliongeza kuwa watanzania ni wapole sana. ni hiii kitu ndiyo inatufanya tuendelee kuwa maskini.

Tumesahau mambo makubwa aliyoifanyia nchi yetu tena kwa kipindi kifupi., mfano ni hii hapo chini.

HUDUMA ZA JAMII
  • Kutoka asilimia 47% iliyokuwepo mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 69% katika kipindi cha mwaka 2019-2021.
  • Kumboreka kwa huduma ya maji kutoka asilimia 47% mwaka 2016 hadi kufikia asilimia 70.1%.
NISHATI na MADINI.
  • Kupungua kwa gharama za kuvuta umeme kutoka 470,000/= mpaka 20,000/=
  • Kufuta kabisa mgao wa umeme
  • Kuanzaishwa kwa masoko ya ndani ya madini, ikumbukwe kuwa ukikamatwa na madini yanataifishwa na kifungo juu wakati hapakuwa na soko la madini hayo.
  • Kupitiwa kwa mikataba ya ulaghai kwenye madini na gas na kupanda kwa mrahaba kutoka 3% mpaka 16%
ELIMU
  • Elimu ya bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari na kufuta michango
  • Kungozeka kwa wanaopata mikopo elimu ya juu
  • Ukarabati shule zote kongwe za sekondari nchini.
AFYA
  • Zahanati 1, 198
  • Vituo vya Afya 497
  • Hospitali za Wilaya ni 71
  • Vifaa tib ana mitambo mikubwa ikumbukwe hapo nyuma machine kubwa km MRI na CT SCAN zilikuwa muhimbili na Aka Khan.
  • Madakatari bingwa wote walihamia hospitali za watu binafsi.
MIUNDO MBINU
  • Fly overs
  • Bara bara kila kona ya nchi kama kule Ludewa, makete, Manyara, Kigoma, Tabora
  • Upanuzi wa bandari ya Dar es salaam.
MAAMZI MAGUMU:
  • kusimamia maamuzi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuhamia Dodoma
  • Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere
  • Ujenzi wa mradi mkubwa wa reli SGR
  • Daraka kubwa la Busisi ziwa Victoria
  • Kufufua shIrike la ndege sasa lina ndege kubwa km Dreamliner, airbus
  • Mapambano ya wazi dhidi ya vitendo vya rushwa na ufisadi
  • Mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya
Siku hizi unasikia hadithi ya vyuma vimekaza? Kwa Nini? Unadhani vimeachia kwa makapuku! Jibu Ni hapana waliokuwa wanapiga hiyo yowe sasa hivi wanaogelea kwenye mafuta na ndio hao wanaozodoa na kuunyoshea mwezi vidole ili wampoteze mbwa harufu abaki kubwekea mwezi akija kushituka nyama zote zimevuja umebaki mchuzi.😀😀😀😀
 
Laiti tu asingefanya baadhi ya ukatili alioufanya, bila sababu,.......angekuwa ktika Guinness book ya Tanzania! Hii inamaanisha mahitajio ya binadamu si miundombinu pekee..... liberty, freedom of expression etc ni muhimu. Vinginevyo, si sisi wote tungeliumbwa mbuzi tu?
 
Ni bora ungepewa uwezo kidogo wa kufikiri ndipo uandike.

Hizo kashfa unazosema awamu ya nne ulizisikia kwa sababu kulikuwa na uwazi na uhuru wa kuibua mabaya na serikali walikuwa waungwana kuwajibika.

Iwapo kungekuwa na uwazi huo huo wakati wa serikali ya awamu ya 5 hali ingekuwa mbaya zaidi.
Deni la taifa limekuwa kubwa mno kuliko gharama ya miradi.
Bado dhuluma zilikuwa kubwa sana.
Manunuzi yasiyofuata sheria na utaratibu yalishika kasi.

Uchunguzi ufanywe upesi
mradi wa bwawa la umeme pekee linagharimu TZS Trilioni 6.5, mradi huo upo 80% ina maana kuwa tumeshalipa zaidi ya 70%, bado kuna miradi mingine mikubwa km SGR na upanuzi wa bandari ya Dar. na nk. hata haya hamuoni?
 
Bora ungesema wewe ulikua una mkubali kwa vigezo vyako sio kuwasemea watanzania wote.kibaya zaidi unaita watanzania wajinga hawana shukuran kwa Sababu tu baadhi wanahoji vitu fulan.kuna mwingine kigezo chakwanza anachotumia kumpima kiongozi ,ni utawala wa Sheria ,demokrasia ,haki za binadamu na siasa safi.je huyu utamwita mjinga Sababu yeye hajasifia sgr au ndege?
Me najua Faida za ujenzi wa huduma za afya utatibiwa au hata mwili wako utahifadhiwa siku ukifa, faida za umeme utazitumia upende usipende, faida za SGR utazipata upende usipende. ndiyo maana nasema kwa watanzania wote.
 
Mleta mada naona unamtamani sana mwendazake, saga chupa changanya na DDT na sumu ya panya kunywa umfuate huko aliko.
Me natamani kiongozi anaweza kunyosha wezi wakanyoka, CCM walijisahau sana ikafika nchi km ya kwao peke yao, sasa wanaanza kushangilia kwa sababu JPM hakuwa CCM
 
Laiti tu asingefanya baadhi ya ukatili alioufanya, bila sababu,.......angekuwa ktika Guinness book ya Tanzania! Hii inamaanisha mahitajio ya binadamu si miundombinu pekee..... liberty, freedom of expression etc ni muhimu. Vinginevyo, si sisi wote tungeliumbwa mbuzi tu?
Aliua akina nani km siyo mehemko ya watu na hear say.
 
Me najua Faida za ujenzi wa huduma za afya utatibiwa au hata mwili wako utahifadhiwa siku ukifa, faida za umeme utazitumia upende usipende, faida za SGR utazipata upende usipende. ndiyo maana nasema kwa watanzania wote.
Na faida za kulindwa kwa haki za binadamu je? Maana Kila kitu kinafaida kwa mtanzania ,hata ungepata vyote hivyo Bure ukanyimwa haki ya kujumuika,ya kuchagua kiongozi unaemtaka,ya kukosa au kushauri na haki ya kuishi kama walivyo SEMA wazungu kwa mkuu wa mkoa mmoja ni kazi Bure.
 
"Kuna watu wanahoji mikopo ya pesa nyingi kwa muda mfupi; hivi kuna ubaya gani ukikopa kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi?"

Tatizo ni zile kauli kwamba Sisi ni matajiri na tunafanya miradi hii kwa kodi za watanzania
Magufur alikuwa ana kopa watangilizi wake walikuwa wanaenda kutembeza bakuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom