Watanzania hatuna shukrani Mungu atusamehe kwa huu ujinga tunaofanya

Hakuna watu wanachosha kama Watanzania, wengi akili ziko makalioni hata kama wameenda shule. Wameibuka mabingwa wa kumkosoa JPM tena wengine ni Warundi (Jenerali Ulimwengu) waliopewa uraia wa Tanzania, kama wangeona kuna uonevu si wangerudi kwao Burundi ambako kuna demokrasia wakatuachia nchi yetu isiyo na demokrasia
 
Weka data zenye ithibati wacha kuhorojoka kama mlevi wa mapombe ya kienyeji.
JPM aliogopwa hivyo taasisi za habari zikawa sehemu ya waoga. Ni ngumu kuweka data kamili mahali ambapo kazi inafanyika kwa uoga.

Ulikuwepo ushahidi mmbaya sana wa unyama kwa wale waliokuwa na mawazo kinyume na yale ya Ikulu.
 
Sema hii nchi tunatiana sana ujnga sana sana hawa wenye nafuu ,mtu anaongea tu huduma za afya bora wahudumu wa wamejaa mara umeme elf 20 mara hiki utazan amezunguka nchi nzima kujua ayo ,kusema ukwel ktk nchi viongoz wote walijitaid kujenga majengo ya hospital ,vituo vya afya na zanahat ila kwa majumuisho ya vifaa tiba pamoja na watumish bado achana na madawa na ata hao waliokuwepo wengi kaz yao kukuamisha tu usipokua na chochote ktu hospital zetu hutoboi ,uko ktk umeme meng ni maandish tu umeme ni 20 sasa ww kuwa na iyo 20 yako tegemea umeme,ukirud ktk maj ndo balaa unashangaa mji au kijiji kuna mtu kachimba maj yake kwa milion 2 lkn kila siku maj anachota ila aya ya umma sasa ni mirad ya mabilion ila kila cku shida mara pump mbovu mara tangi limezibuka mara kina kimepungua mara mgao wik mara moja au mbil ,njoo uku ktk vyakula ndio usiseme msimu wa mafuno utazan msimu wa kulima msimu wa kulima ni vile vile kiufup maisha ya mtanzania nafuu ni ya makaratas na wenye hali zao kiualisia hayapo kimatumain kiivyo aya mambo ya kujenga barabara madaraja mabwawa ya umeme na mengine haiwez kuwa sifa moja wapo ya mtu kuwa bora sana kwa sababu kila kiongoz alifanya kwa wakat wake na kwa utashi wake rahisi gan hakujenga barabaran au madaraja au hospital tukianza kusema uyu alifanya iki uyu alinunua ndege kuna mwngine aliajil sana uyu alijenga bwawa la nyerere tukumbuke kuna mwngne alijenga nyumba ya mungu kidatu ,mtera na mengne tukisema uyu amejenga sgr kuna mwingne amejenga barabaran kutoka kibit ,mingoyo mpaka mtamba swala kutoka mangaka mpaka songea na sehem nyngne hawa wote viongoz na sifa ya viongoz ufanye vtu ndio maana uliomba kuongoza watu sasa kuanza kuchagua au kumpa mtu sifa kwa kufanya wajbu wake naona sio sawa cha msing ni kuangalia pamoja na yote je kuna matumain kwa wote au ndio bora liende na wanufaika wachache
 
10 Nyerere + 10 Mwinyi + 10 Mkapa + 10 Kikwete + Samia = 5 Magufuli [emoji3]

This man was a Legend! Uthubutu mkubwa umefanyika katika awamu ya tano.Huyu mwamba ameweka standard ya uongozi/Urais unapaswa uweje.
Uthubutu ni kitu gani mukuu? Rais hatakiwi kuthubutu,Rais yampasa kutenda.
 
 
watanzania hata uwakumbushe aliyoyafanya jpm bado wanaona ndoto sio kweli wacha mungu atuletee ukame ndio utajua kama ulikuwa hujui
Kwa sababu watz ni watu wa mizaha sana , sio watu wa kutilia maana i mambo serious na ndio maana reflection ya tabia hiyo unaiona kwenye vitu kama vile ile kauli inayosema watz ni watu wasiopenda kusoma vitabu,
Watu wa namna hii ni watu wasiozingatia hata ukijitoa moyo wako ili uwape wao waishi na ww ufe, hawatatambua uzito wa wema wako kwao, ni aina ya watu wanaopuuzia wema wa mtu hata kama mkiwa kwenye mahusiano yawe ya kindugu, kirafiki, ama kimapenzi. Huwa hawajui thamani ya mtu na kuona wema wake , ni wapuuziaji tu,
 
Kuna kauli aliyowahi kusema JPM , kuwa shetani ni muuaji na kun vishetani vingine vidogovidogo vinafanyaa matendo yanayosababisha uuaji huo utokee, yaani vifisadi kama hivyo vinavyoonyesha leo kuwa vilikuwa vinaumizwa na uzima uliokuwa umeanza kutiririka nchi nzima katika sekta mbalimbali,
 
Huyu si walisema alanyanganywa gari la CCM barabarani akiwa ameshajimirikisha? Nashangaa akina Bashiru Ally wanaomjua Nape hawasemi. japo naamini Legacy ya JPM itajipambanua yenyewe.
 

Una point ila JK mjanja; swala Sio wizi, swala ni namna ya kuzima issue
 
10 Nyerere + 10 Mwinyi + 10 Mkapa + 10 Kikwete + Samia = 5 Magufuli [emoji3]

This man was a Legend! Uthubutu mkubwa umefanyika katika awamu ya tano.Huyu mwamba ameweka standard ya uongozi/Urais unapaswa uweje.
Kwa huku sijaona jamani labda wanamizengo mnisaidie,, msianze na mambo ya viwanda mara tunaviwanda eti 4200,, katika kipindi kilipita kwa mbwembwe hawa kuanzia awamu ya tano na kuendelea misifa mingi,, utekelezaji hola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…