Watu wanataka umeme wa uhakiki mangi acha longo longo .hata bibi yule wa kijijini anajua kuwa kuna shida ya umeme na hiyo tofauti anaiona tu asubiri kuambiwa ni awamu ipi ilifanya yaliyo mazuri .vitu vinaoanda hivyo hovyo kila sikuHaya maoni ya jamii umeyapima kivipi kuwa hayamkubali Januari? Maoni ya JF yaliyofunguliwa na wabaya wake siyo maoni ya wananchi
Mradi wa matirioni unakuja kukwamishwa na vitu minor kama crane tu za 26t .bado tunaendelea na blaa balaa jamaniwe jamaa ngoja ni kwambie tu makamba sio tu kwamba anazingua ila makamba Hana hata vigezo vya kuwa waziri wa nishati yaani mtu asome makablasha yake hoko Hafu umuweke kwenye sekta yeti inayohitaji maarifa as if Tanzania haijasomesha watu
Mnapenda sana ngonjera kila saa mipango mipango mipango bila vitendo ni sufuri .wew ukiww na mipango ya kujenga ghorofa mika nenda rudi utakusaidia niniMuacheni January afanye kazi, kwani Cha maana alicho fanya huyo kalemani ni kipi, huyo kalemani si alikuta mipango mizuri iliyo kuwa ineanadaliwa na Sospeter Mhongo.
Au mna chuki, Kama si za kikanda Basi NI za kukabila.
Sio tu mauzauza matweet kibao na majigambo vitendo sufuriKama angeonyesha perfomance nzuri nani angekosa imani naye? Taifa linahitaji umeme wa uhakika, ameteuliwa na kuja na mauzauza kibao.
Wee umetokea wapi wapi umesikia chanzo cha kukatika kwa umeme ni kupungua kwa mvua wapi hukokuongoza tanzania ni shughuli kweli sasa ubaya wa huyu waziri ni upi mnataka alete mvua mabwawa yajae au
Ukiwa na wabaya 1m halafu ukawa na wema 50elf, Basi jichunguzeHaya maoni ya jamii umeyapima kivipi kuwa hayamkubali Januari? Maoni ya JF yaliyofunguliwa na wabaya wake siyo maoni ya wananchi
Jinga hili umelipa makavuUkiwa na wabaya 1m halafu ukawa na wema 50elf, Basi jichunguze
Kwa hiyo wewe Unadhani yeye ananuksi siyo? Au unataka kulazimisha wote tupende upuuzi was kurudishwa kwenye majenereta siyo?
Au wewe ndo kamba? Jinga kabisa
WEwe ni mweupe kichwani au ni mapenzi kwa makamba yamevuka upeo wako wa kulewa!Au mna chuki, Kama si za kikanda Basi NI za kukabila.
Viongozi wa kitanzania ving'ang'anizi sana Hawako tayari kuachia madaraka hatakama jahazi linaelekea kuzama #ChawaMakambaKila kona manug'uniko ya Watanzania ni juu ya dalili za wizara nyeti ya nishati na umeme kuwa na waziri ambae watu hawana imani nae. Tangu ateuliwe kuwa waziri basi taifa limekuwa na mauzauza tu juu ya upatikanaji wa umeme na hata uongozi na uendeshaji wa Tanesco.
Kitendo cha watanzania kutokuwa na imani na waziri huyu ni sababu tosha kabisa ya kujiuzulu au kuwajibishwa maana ni muda mfupi tu ameprove failure
Mtangukilizi wake Dkt Kalemani alisimamia vizuri Tanesco na kudhibiti ukatikaji hovyo wa umeme, pia aliwahakikishia watanzania kuwa mradi wa kuzalisha umeme wa JNHP utakuwa tayari ifikapo juni 2022.
Lakini tangu ateuliwe January Makamba kuwa waziri mradi wa JNHP umeanza kupata mauzauza, ujazaji maji kwenye mabwawa umechelewa kwa sababu zisizo za msingi, huku kukiwa na harufu ya ufisadi.
Nishati ya umeme ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu. Hii wizara haipaswi kuwa na waziri anayetiliwa shaka na umma kuwa mpiga madili.
Kwa hiyo wewe pimbi Nyankurungu2020 unadhani nyumbani kwako ndiyo dunia?We kenge unaishi dunia ya wapi?
Mkuu, umeelezea kwa uchungu na hisia kali kuhusu waziri mwenye dhamana kuwa ndiye pekee ambaye anapaswa kubebe zigo la lawama kuhusiana na matatizo ya kihistoria yanayoikabili TANESCO. Lakini nafikiri ni vyema pia hata ungetoa ushauri nini hasa kinapaswa akifanye.MAJIBU YAKO
Paragraph 1.
Kila kitu mwanzo ni mzuri na mwanzo mtu hutenda kwa umakini na tahadhari kubwa. Huyo January kama unatarajia atakapokuwa mzoefu basi atafanya vizuri unajidanganya tu. Mtakuja na mada hapa kuwa anafanya kazi kwa mazoea na kiburi. Mara hamwogopi mama n.k. Makamba kama mchezaji anachezea jina tu ila kiukweli hana jipya. Na mwona kama ajibu tu ndani ya Simba .
Paragraph 2. Mabadiliko yoyote lazima yawe chanya na sio hasi. Yeye alitakiwa na tulitarajia ataboresha zaidi na zaidi kuliko mtangulizi wake. Amekuta vitendea kazi vilevile,raslimali watu na vitu vilevile. Yaani unamtetea na hili? Alisema maji shida hivyo vina vimepungua ndio sababu ya kupungua umeme. Baada ya mtera kuja na tamko Makamba alisema tumpe siku 2 tatizo la umeme litaisha. Siku mbili zimeisha saizi mwezi unakata. Hapa naweza sema makamba ni muongo au hajui nn anafanya au kinatakiwa kifanyike.
Paragraph 3.
Hakuna mtanzania anaependa kuishi kwa uwongo bali serikali yenyewe inawaaminisha watu kisha inawatoa kwenye reli na ndio maana tumebaki kwenye reli safari hii.
Kutuaminisha sababu za kukata umeme ni upungufu wa vyanzo vya umeme ni kutaka kutudanganya na kutuibia .In short mwambie makamba tumemshitukia na tumemkataa na tunachofanya cc ni kile kilichosemwa mtera kuwa makamba ni muongo.
Paragraph 4. Kwa kauli ya rais na Makamba mwenye hawajawahi kusema sababu ya kukata umeme ni mitambo kuchoka au transformer mbovu. Wote wamesema na tumesikia tatizo ni maji na hadi chopa tulimuona anapanda kwenda ila hawajawahi kutuonyesha akiwa huko field au akirudi au akija na mrejesho zaidi tu ya kusema baada ya kuumbuliwa na viongozi wa mtera kuwa yeye Makamba ndani ya siku mbili atakuja na jawabu la kudumu. Sina taarifa jibu hilo ametoa au laa. Nafikiri necta hawajarudisha majibu.
Paragraph 5.
Utakuwa wa kwanza kuchangia mada za kuhusu ubaya wa makamba otherwise wewe ndiye yeye Makamba.
Unamacho ila hauoni na unamasikio ila hausikii.
Unaona kabisa umeme unakata mda wote ila unasema unakata kwa ushauri wa watalamu na unasikia kilio cha wengi juu ya nishati ya uhakika ila unawapuuzia
Kwa hiyo kwa akili yako huu umeme tunaotumia unatoka Stiglers Gorge kule DIKTETA MAgufuli alikokata miti Milioni 26 yenye ukubwa DSM?Ukiwa na wabaya 1m halafu ukawa na wema 50elf, Basi jichunguze
Kwa hiyo wewe Unadhani yeye ananuksi siyo? Au unataka kulazimisha wote tupende upuuzi was kurudishwa kwenye majenereta siyo?
Au wewe ndo kamba? Jinga kabisa
Moja, umeme umeanza kukatika baada ya Makamba kuingia madarakani. Hiyo ni rebuttable presumption kwamba tatizo ni yeye.Hebu eleza ubaya wa makamba kwa ushahidi concrete sio kwa blah blah
π π π π π π Haswa hujakosea, akili za wanaomtetea January ndio zinaakisi hilo hilo! Vilubwa kweli yani wanasubiria wakute video chafu za mke analiwa tigo wakati sms za mtongozo walishaziona.Wizara ishamshinda. Wewe ni type ya watu mnakuta messages chafu kwenye simu ya mkeo lakini unasubiri akutwe anapigwa miti iliuamini.
Sasa makamba na kodi vinahusianaje?Naona mnaanzisha nyuzi kibao za January Makamba kwa Nchi ya Tanzania yenye msururu wa kodi kwenye bidhaa zetu toka enzi na enzi mnamzungumzia Makamba wa leo.
Kwenye magari huko kuna kodi utadhani Wananchi wanaleta ndege bado wakileta hayo magari yaliyotumika kutoka Japan wanakutana na Ewura kuwapandishia bei kila mwezi...Zambia mafuta yapo bei nafuu kuliko Tanzania nadhani tumerogwa sio bure.
Usiwe kama mkoonduw wewe jamaa! Bwawa linajengwa na sehemu ya kuhifadhia maji ili kusudi kipindi cha kiangazi flow iendelee kuwepo!Maji ya kunywa tu huko dar ni ya mgawo ndo mupate maji ya kujaza bwawa! Mmeharibu mamilioni ya miti huko rufiji kisa Hilo bwawa lenu halafu mnamuomba mungu mvua sasa Hilo bwawa mtalijaza na mikojo yenu, nyie hamjui misitu huleta mvua ?mmeharibu mazingira kwa kukatakata miti kisa kujenga bwawa mna laana nyie watu!!! umeme wa kutegemea maji ni wa kizamani maana mvua zisiponyesha mtaja na nn Hilo bwawa la nyerere
Waziri hafai hajui kusimamia wizara hatutaki power cuts mitambo service haichukui mwaka mzima ila mbona umeme unakatika katika tu mwezi wa 3 huu?kuongoza tanzania ni shughuli kweli sasa ubaya wa huyu waziri ni upi mnataka alete mvua mabwawa yajae au
Kwani kipindi cha Magufuli aliwezaje kuhakikisha maji yapo in 24/7 na umeme! Hata kama ulikatika ila sio kwa style hii ya Makamba mpaka kutia watu hasaraBinafsi hata mimi sifurahishwi na kitendo cha kukosekana kwa huduma ya umeme wakati wote pamoja na maji.
Kama ni kuwalaumu na kuwakomalia walopelekea kushindwa kujiongeza na kuwa na vision Nzuri ya kuondoa tatizo hilo ni Viongozi wa serikali na bunge na sio Januari ambae kwenye hiyo Wizara kaletwa juzi tu.
Serikali na bunge watuambie Kwanini wananunua ndege badala ya kuwekeza kwenye huduma za msingi za maji ambao ni uhai wa binadamu yeyote na Umeme ambao ni nishati yenye economic impacts as well?
Je kipi kipaombele kati ya kununua ndege na kutoa huduma ya maji na umeme kwa wananchi?
Mkileta hoja ya namna hiyo nitawaelewa kuliko hizo personal attacks mnazomfanyia Januari hazisaidii.
Ukimuonea husda kilaza unakuwa zaidi ya punguwani! Mtu aliyeiba paper oβlevel na kuishia kubebwa kuwa muandika makala za raisi ikulu ndio nimuonee wivu kweli! Mtu ambaye maisha yake yanategemea mbeleko ya jina la baba yake tu?Amemteta wapi ?
Kuhusu jambo gani ?
Mnataka kuanza kumfitinisha na Rais ?
[emoji3][emoji3]
Yatawashinda [emoji108][emoji108]
Mpewa hapokonyeki [emoji108]
Kama ni hivyo basi Januari he is a greater person.
Itakuwa Mwenyezi Mungu ameweka kitu kikubwa sana ndani yake ambacho wanajimu wanakiona na kukasirika kwa husuda!
Aisee angalieni nawashauri msijemkaugua!
Chuki, husuda, fitina huwa humuumiza mwenye kuzibeba moyoni.