Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Sitaki kusikia habari ya Ngosha ksb siyo Baba yangu yule mimi nataka umeme na huyo mpumbavu wenu anahujumu nishati lazima atawekwa ndani mbele ya safari.Kwani amefanya makosa gani?
Hayatamfika kamwe , asilani, abadani!
Mnaongozwa na mihemko yenye kusukumwa na chuki na husuda tu!
Nimewauliza swali Kwa hiyo akirudishwa leo huyo Ngosha wenu kina cha maji kule kwenye mabwawa ya umeme kitajaa na umeme hautakatwakatwa tena?
Je Ngosha anaoweza kufanya huo muujiza?
Ningekuwa Karibu na Rais ningemshauri ameudishe huyo Ngosha wenu kwa wakati ule hata mvua bado hazijanyesha na kina cha maji kuongezeka kidogo halafu tuone Je mgawo wa umeme utakoma?