Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
Hasibo katika Moja na mbiliAwawezi? Shenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasibo katika Moja na mbiliAwawezi? Shenzi
Hapana wasibadili kitu ili ibaki kama kumbukumbu kua tulikua na watu wajinga kama huyu.
Siwezi kupoteza muda wangu kumjibu kila mtu.
Cha msingi ni kwamba watanzania awawezi kuandika kwa kusoma topić za stories of change.
Uwezi kuamka tu na kuandika report za upuuzi uliopo kichwani kwako, not bothering theoretical viewpoints. Such writing is just nonsense.
Wenye kununa wanune, wenye kutaka kunielewa wakasome sababu za malalamiko yangu baada ya kupitia nyuzi kadhaa kwenye jukwaa (stories of change) watu wengi mule awawezi kuandika.
To hell with your, As and H’s kama ndio kigezo cha uwezo kuandika mradi duku duku langu nimelitoa; mniseme mnavyotaka I don’t care.
👋
Talk to my hand
WamesharekebishaHapana wasibadili kitu ili ibaki kama kumbukumbu kua tulikua na watu wajinga kama huyu.
😀😀
Maneno mengi lakini unamaanisha umeweka mpira kwapani na unataka kukimbiaSiwezi kupoteza muda wangu kumjibu kila mtu.
Cha msingi ni kwamba watanzania awawezi kuandika kwa kusoma topić za stories of change.
Uwezi kuamka tu na kuandika report za upuuzi uliopo kichwani kwako, not bothering theoretical viewpoints. Such writing is just nonsense.
Wenye kununa wanune, wenye kutaka kunielewa wakasome sababu za malalamiko yangu baada ya kupitia nyuzi kadhaa kwenye jukwaa (stories of change) watu wengi mule awawezi kuandika.
To hell with your, As and H’s kama ndio kigezo cha uwezo kuandika mradi duku duku langu nimelitoa; mniseme mnavyotaka I don’t care.
👋
Talk to my hand
Ila watuHapana wasibadili kitu ili ibaki kama kumbukumbu kua tulikua na watu wajinga kama huyu.
😀😀
Kweli awawezi wala awajui.Siwezi kupoteza muda wangu kumjibu kila mtu.
Cha msingi ni kwamba watanzania awawezi kuandika kwa kusoma topić za stories of change.
Uwezi kuamka tu na kuandika report za upuuzi uliopo kichwani kwako, not bothering theoretical viewpoints. Such writing is just nonsense.
Wenye kununa wanune, wenye kutaka kunielewa wakasome sababu za malalamiko yangu baada ya kupitia nyuzi kadhaa kwenye jukwaa (stories of change) watu wengi mule awawezi kuandika.
To hell with your, As and H’s kama ndio kigezo cha uwezo kuandika mradi duku duku langu nimelitoa; mniseme mnavyotaka I don’t care.
👋
Talk to my hand
Noma sanaMmefunga shule, sasa mtandaoni vurugu tupu.
😂😂😂 Ila jamaa amepata fundishoWao ndio wameharibu sasa.
😀
Ulimaanisha nini mkuuWao wakijurekebisha
Wametukosea sana heshima😂😂😂😂Naomba moderator msibadilishe title ya uzi.
Huyu mwenzetu ni mtaalamu wa kuandika.
Wao wakikurekebisha🤣🤣Ulimaanisha nini mkuu
Madamaada
Wao wakikurekebisha🤣🤣