Watanzania hii ndio sababu ya kwanini tuliandika katiba mpya, mnamchosha rais na kero zenu kwenye misafara yake

Watanzania hii ndio sababu ya kwanini tuliandika katiba mpya, mnamchosha rais na kero zenu kwenye misafara yake

Siamini km ww ni mtz......unamawazo mgando sana. Una uzwazwa wa hali ya juu sn

- waliokosa ajira wanaomaliza vyuo tangu 2015 sio Chadema
- wanaofunga biashara zao na kuhamishia nchi jirani sio chadema we mbwa
-kujenga shule alafu hazina walimu huku waliku WAMEJAA mtaani bila ajira sio chadema
-kujenga zahanati huku hakuna vifaa tiba na hakuna madaktari wkt madaktari wamejaa mtaani sio kua na akili sawa huku unaenda kujenga Uwanja kimataifa chato
-wanafunzi wenye sifa kukosa mikopo elimu ya juu sio tatizo la chadema
- wakulima kudanganywa na kudhulumiwa kwa ubabe na awamu hii sio tatizo la chadema
-uvunjifu wa katiba na kukiuka sheria ya manunuzi kwa kisingizio cha uzalendo sio tatizo la chadema.....
-miaka mitano hakuna nyongeza ya mishahara wala kupandishwa vyeo hii yote ni chadema?
-wastaafu wanahangaikia kafao yao hawapati hii saababu ni ccm na serikali hii ya kishetani kuchota pesa mifuko ya jamii kwa maslahi yao binafsi

Sasa ww unayesema maendeleo unayaona wapi hasa?

Mkulima, mfanyakazi, mfanyabiashara, mwanafunzi hawawezi kuipigia kura ccm wala magufuli maana ni miaka 5 ya utapeli na uvunifu wa katiba na sheria za nchi.....
fact
 
hapo tu ila kwa Libya sikubariani na wewe Muammar aliwapa raia wake kile wanachokitaka
Ni kweli lkn aliwapa 15% tu ya kile wanachostahili. Ndipo ugpmvi ulipoanzia lkn pia usisahau kua wananchi walikua hawana uhuru kitu ambacho ni cha asili kwa mwanadamu.
 
Siamini km ww ni mtz......unamawazo mgando sana. Una uzwazwa wa hali ya juu sn
- waliokosa ajira wanaomaliza vyuo tangu 2015 sio chadema
- wanaofunga biashara zao na kuhamishia nchi jirani sio chadema we mbwa
-kujenga shule alafu hazina walimu huku waliku WAMEJAA mtaani bila ajira sio chadema
-kujenga zahanati huku hakuna vifaa tiba na hakuna madaktari wkt madaktari wamejaa mtaani sio kua na akili sawa huku unaenda kujenga Uwanja kimataifa chato
-wanafunzi wenye sifa kukosa mikopo elimu ya juu sio tatizo la chadema
- wakulima kudanganywa na kudhulumiwa kwa ubabe na awamu hii sio tatizo la chadema
-uvunjifu wa katiba na kukiuka sheria ya manunuzi kwa kisingizio cha uzalendo sio tatizo la chadema.....
-miaka mitano hakuna nyongeza ya mishahara wala kupandishwa vyeo hii yote ni chadema?
-wastaafu wanahangaikia kafao yao hawapati hii saababu ni ccm na serikali hii ya kishetani kuchota pesa mifuko ya jamii kwa maslahi yao binafsi

Sasa ww unayesema maendeleo unayaona wapi hasa?

Mkulima, mfanyakazi, mfanyabiashara, mwanafunzi hawawezi kuipigia kura ccm wala magufuli maana ni miaka 5 ya utapeli na uvunifu wa katiba na sheria za nchi.....

Duh... balaa
 
Hivi wewe unashindwa kukaa na kujadili mambo ya msingi kuhusu nchi yako ya Kenya unakimbilia kiherehere kujadili mambo ya wanaume wa Tanzania hivi unataka nini au kisa umesikia kuna dada zako wapo huku TZ wameolewa, hebu jadili; mambo ya nchi yako,mambo ya Tanzania hayakuhusu, usitake tukafukua makaburi saa hizi.
 
Siamini km ww ni mtz......unamawazo mgando sana. Una uzwazwa wa hali ya juu sn
- waliokosa ajira wanaomaliza vyuo tangu 2015 sio chadema
- wanaofunga biashara zao na kuhamishia nchi jirani sio chadema we mbwa
-kujenga shule alafu hazina walimu huku waliku WAMEJAA mtaani bila ajira sio chadema
-kujenga zahanati huku hakuna vifaa tiba na hakuna madaktari wkt madaktari wamejaa mtaani sio kua na akili sawa huku unaenda kujenga Uwanja kimataifa chato
-wanafunzi wenye sifa kukosa mikopo elimu ya juu sio tatizo la chadema
- wakulima kudanganywa na kudhulumiwa kwa ubabe na awamu hii sio tatizo la chadema
-uvunjifu wa katiba na kukiuka sheria ya manunuzi kwa kisingizio cha uzalendo sio tatizo la chadema.....
-miaka mitano hakuna nyongeza ya mishahara wala kupandishwa vyeo hii yote ni chadema?
-wastaafu wanahangaikia kafao yao hawapati hii saababu ni ccm na serikali hii ya kishetani kuchota pesa mifuko ya jamii kwa maslahi yao binafsi

Sasa ww unayesema maendeleo unayaona wapi hasa?

Mkulima, mfanyakazi, mfanyabiashara, mwanafunzi hawawezi kuipigia kura ccm wala magufuli maana ni miaka 5 ya utapeli na uvunifu wa katiba na sheria za nchi.....
Jeezus holy Christ! Balaa
 
Mpuuzi tuu huyo jamaa,si alikuwa anatuponda kuhusu Corona ooh mara waTZ hawataruhusiwa kuingia Ulaya kwani tulikwambia tunataka kwenda.Leo kabadikisha eti katiba katiba,we endeleeni kupimana huko na kufunga mipaka yenu ya TZ achana nayo.
 
Back
Top Bottom