Siamini km ww ni mtz......unamawazo mgando sana. Una uzwazwa wa hali ya juu sn
- waliokosa ajira wanaomaliza vyuo tangu 2015 sio Chadema
- wanaofunga biashara zao na kuhamishia nchi jirani sio chadema we mbwa
-kujenga shule alafu hazina walimu huku waliku WAMEJAA mtaani bila ajira sio chadema
-kujenga zahanati huku hakuna vifaa tiba na hakuna madaktari wkt madaktari wamejaa mtaani sio kua na akili sawa huku unaenda kujenga Uwanja kimataifa chato
-wanafunzi wenye sifa kukosa mikopo elimu ya juu sio tatizo la chadema
- wakulima kudanganywa na kudhulumiwa kwa ubabe na awamu hii sio tatizo la chadema
-uvunjifu wa katiba na kukiuka sheria ya manunuzi kwa kisingizio cha uzalendo sio tatizo la chadema.....
-miaka mitano hakuna nyongeza ya mishahara wala kupandishwa vyeo hii yote ni chadema?
-wastaafu wanahangaikia kafao yao hawapati hii saababu ni ccm na serikali hii ya kishetani kuchota pesa mifuko ya jamii kwa maslahi yao binafsi
Sasa ww unayesema maendeleo unayaona wapi hasa?
Mkulima, mfanyakazi, mfanyabiashara, mwanafunzi hawawezi kuipigia kura ccm wala magufuli maana ni miaka 5 ya utapeli na uvunifu wa katiba na sheria za nchi.....