Watanzania hii ndio sababu ya kwanini tuliandika katiba mpya, mnamchosha rais na kero zenu kwenye misafara yake

Watanzania hii ndio sababu ya kwanini tuliandika katiba mpya, mnamchosha rais na kero zenu kwenye misafara yake

Sasa we zwazwa unakubali kua uchumi wa kati inatakiwa uakisi maisha ya wananchi wa chini ndio wanatakiwa waulizwe sio utangazwe na viongozi wkt haupo?
Nitajie kiongoz alielala akaamka akatangaza Tanzania ni nchi yenye uchumi wa Kati , usidhani ukisikia nchi ina uchumi wa Kati bc kila raia Kwa mwezi anaingiza japo laki 3 sio hivyo ,swala la kupata pesa Chanel zako unavyoziseti na maisha ni fomula sasa kama huna mpangilio nikihamka nifanye nini niende wapi mpaka jioni niingize sh ngapi nitumie sh ngapi niweke sh ngapi wewe utabaki mtu wa lawama tu hata ukiwa kwenye nchi za uchumi wa juu.
 
Sasa we zwazwa unakubali kua uchumi wa kati inatakiwa uakisi maisha ya wananchi wa chini ndio wanatakiwa waulizwe sio utangazwe na viongozi wkt haupo?
Usisikilize maneno ya chadema wale wenzio wanapinga hata kama Jambo zuri lengo kutengeneza ukinzani ili kuvuta wafuasi kwenye chama chao ili wapate luzuku nyingi ya chama maisha yaendelee kwahiyo mtaji wa wanasiasa ni Mimi na wewe na ukikaa bila kushughulisha akili hata hiyo chadema ikichukua nchi mambo ndio yale yale huwez pata pesa bila ya kutega channel. Mimi sio ccm na ckumpigia kura Magufuli ila Kwa sasa namkubali Kwa kua anafanya kazi ya Rais.

Maana Rais kazi yake kukusanya Kodi kisha kuzitumia ktk miundo mbinu ya nchi, kusimamia lasilimali ya nchi vizur kama kuingia mikataba yenye maslai Kwa nchi sasa wewe kama unataka ampe mtaji wa biashara kila mtu mwenye mawazo ya kufanya biashara hayo hayatokuwepo mpaka unaondoka duniani .kama una umri kidogo na kumbukumbu nakumbuka mh mkapa alisema hata Watanzania wale nyasi ila lazima ndege ya Rais inunuliwe, lakini ndege yenyewe 1 tu na huku kukiwa hakuna miradi mikubwa ya ajabu inayojengwa.

Sasa jaribu kufananisha hilo Jambo na aliyofanya Magufuli Kwa miaka mi5 chukulia kama mkapa angefanya kama hata Kikwete angefanya kama haya miaka ishirini hiyo je mpaka sasa Tanzania ingekuaje au labda sijaelewa maana Tanzania kubwa Sana labda wewe upo wapi mpaka huoni maendeleo maana isiwe nakulaumu kumbe kosa c lako.
 
Shida yako hujitambui hata unachosimamia. Huwezi kuielewa Libya km huelewi matatizo ya tz. Nyie ndo mnalipwa kupoteza muda mitandaoni huku hamjui kitu kila kitu ni siasa tu. Eti kwa vile mwenyekiti wenu alisema sadam Hussein alikua rais wa Libya Basi na ww unashadadia tu utumbo

Mimi nimejiajili wala sijui kabisa maana ya Uvccm na wala cna habari ya vyama tena nawashangaa sana wale vijana wanaofanya kazi ya kukimbia barabarani na sare zao kila cku je kweli wanayo kazi ya kufanya kweli maana Mimi huo muda cna , Na Mimi Kula nilimpigia lowasa mbunge nilipigia Cuf diwani nikaachana nae ila linapokuja swala la mabadiliko ya maendeleo ushabiki weka pembeni .wewe ndio unamuona hajafanya kitu Magufuli ila ingia mitandaoni uangalie raia wa nche zengine wanavyomtamani Magufuli kwani nao CCM?
 
Usisikilize maneno ya chadema wale wenzio wanapinga hata kama Jambo zuri lengo kutengeneza ukinzani ili kuvuta wafuasi kwenye chama chao ili wapate luzuku nyingi ya chama maisha yaendelee kwahiyo mtaji wa wanasiasa ni Mimi na wewe na ukikaa bila kushughulisha akili hata hiyo chadema ikichukua nchi mambo ndio yale yale huwez pata pesa bila ya kutega channel. Mimi sio ccm na ckumpigia kura Magufuli ila Kwa sasa namkubali Kwa kua anafanya kazi ya Rais . Maana Rais kazi yake kukusanya Kodi kisha kuzitumia ktk miundo mbinu ya nchi, kusimamia lasilimali ya nchi vizur kama kuingia mikataba yenye maslai Kwa nchi sasa wewe kama unataka ampe mtaji wa biashara kila mtu mwenye mawazo ya kufanya biashara hayo hayatokuwepo mpaka unaondoka duniani .kama una umri kidogo na kumbukumbu nakumbuka mh mkapa alisema hata Watanzania wale nyasi ila lazima ndege ya Rais inunuliwe ,lakini ndege yenyewe 1 tu na huku kukiwa hakuna miradi mikubwa ya ajabu inayojengwa. Sasa jaribu kufananisha hilo Jambo na aliyofanya Magufuli Kwa miaka mi5 chukulia kama mkapa angefanya kama hata Kikwete angefanya kama haya miaka ishirini hiyo je mpaka sasa Tanzania ingekuaje au labda sijaelewa maana Tanzania kubwa Sana labda wewe upo wapi mpaka huoni maendeleo maana isiwe nakulaumu kumbe kosa c lako
Siamini km ww ni mtz. Unavmawazo mgando sana. Una uzwazwa wa hali ya juu sn

- waliokosa ajira wanaomaliza vyuo tangu 2015 sio chadema
- wanaofunga biashara zao na kuhamishia nchi jirani sio chadema we mbwa
-kujenga shule alafu hazina walimu huku waliku WAMEJAA mtaani bila ajira sio chadema
-kujenga zahanati huku hakuna vifaa tiba na hakuna madaktari wkt madaktari wamejaa mtaani sio kua na akili sawa huku unaenda kujenga Uwanja kimataifa chato
-wanafunzi wenye sifa kukosa mikopo elimu ya juu sio tatizo la chadema
- wakulima kudanganywa na kudhulumiwa kwa ubabe na awamu hii sio tatizo la chadema
-uvunjifu wa katiba na kukiuka sheria ya manunuzi kwa kisingizio cha uzalendo sio tatizo la chadema.
-miaka mitano hakuna nyongeza ya mishahara wala kupandishwa vyeo hii yote ni chadema?
-wastaafu wanahangaikia kafao yao hawapati hii saababu ni ccm na serikali hii ya kishetani kuchota pesa mifuko ya jamii kwa maslahi yao binafsi

Sasa ww unayesema maendeleo unayaona wapi hasa?

Mkulima, mfanyakazi, mfanyabiashara, mwanafunzi hawawezi kuipigia kura ccm wala magufuli maana ni miaka 5 ya utapeli na uvunifu wa katiba na sheria za nchi.
 
Mimi nimejiajili wala sijui kabisa maana ya Uvccm na wala cna habari ya vyama tena nawashangaa sana wale vijana wanaofanya kazi ya kukimbia barabarani na sare zao kila cku je kweli wanayo kazi ya kufanya kweli maana Mimi huo muda cna , Na Mimi Kula nilimpigia lowasa mbunge nilipigia Cuf diwani nikaachana nae ila linapokuja swala la mabadiliko ya maendeleo ushabiki weka pembeni .wewe ndio unamuona hajafanya kitu Magufuli ila ingia mitandaoni uangalie raia wa nche zengine wanavyomtamani Magufuli kwani nao CCM?
Aliyejiajiri hawezi kua na fikra mbovu km zako za kutokujua matatizo makubwa ya nchi miaka mitano ya uharibifu wa uchumi wa nchi.

Mambo wanayopitia waliojiajiri awamu hii hayaelezeki. Ww Umeajiriwa kwenye key boards za Lumumba

Ila kwa hii kazi yako punde tutasikia umekua das kisarawe😀😀
 
Siamini km ww ni mtz. Una mawazo mgando sana. Una uzwazwa wa hali ya juu sn
- Waliokosa ajira wanaomaliza vyuo tangu 2015 sio chadema
- Wanaofunga biashara zao na kuhamishia nchi jirani sio chadema we mbwa
-Kujenga shule alafu hazina walimu huku waliku WAMEJAA mtaani bila ajira sio chadema
-Kujenga zahanati huku hakuna vifaa tiba na hakuna madaktari wkt madaktari wamejaa mtaani sio kua na akili sawa huku unaenda kujenga Uwanja kimataifa chato
-wanafunzi wenye sifa kukosa mikopo elimu ya juu sio tatizo la chadema
- wakulima kudanganywa na kudhulumiwa kwa ubabe na awamu hii sio tatizo la chadema
-uvunjifu wa katiba na kukiuka sheria ya manunuzi kwa kisingizio cha uzalendo sio tatizo la chadema.
-miaka mitano hakuna nyongeza ya mishahara wala kupandishwa vyeo hii yote ni chadema?
-wastaafu wanahangaikia kafao yao hawapati hii saababu ni ccm na serikali hii ya kishetani kuchota pesa mifuko ya jamii kwa maslahi yao binafsi

Sasa ww unayesema maendeleo unayaona wapi hasa?

Mkulima, mfanyakazi, mfanyabiashara, mwanafunzi hawawezi kuipigia kura ccm wala magufuli maana ni miaka 5 ya utapeli na uvunifu wa katiba na sheria za nchi.
Hahahaha naona umepanic nilikwambia uelewa wako mdogo ndio maana unapata tatu c unaona unavyotukana unaonekana wewe mtoto wa mitaani tu upo upo, hivi unajua lengo la kusoma, yani unasoma sio kwaajili ya kuongeza upeo wa kufikiri ili uweze kuchangamkia fursa unasoma ili uajiriwe !! Kweli we ndemwa , serikali gani duniani imeweza kuajiri raia wote waliohitimu elimu ya juu na ya Kati au hata elimu ya juu tu hebu nitajie?

Kumbe naongea na mpumbavu na bado utateseka Sana na njaa Kwa kua huna akili hata kama kuna fursa za kutengeneza pesa uzioni wanakuja wageni wanazichangamkia wanatengeneza pesa we umebaki kusubir kuajiriwa pole .akili kama hiyo hauna umuhimu wa kuajiriwa maana msomi uliekosa plan B
 
Hahahaha naona umepanic nilikwambia uelewa wako mdogo ndio maana unapata tatu c unaona unavyotukana unaonekana wewe mtoto wa mitaani tu upo upo, hivi unajua lengo la kusoma, yani unasoma sio kwaajili ya kuongeza upeo wa kufikiri ili uweze kuchangamkia fursa unasoma ili uajiriwe !! Kweli we ndemwa , serikali gani duniani imeweza kuajiri raia wote waliohitimu elimu ya juu na ya Kati au hata elimu ya juu tu hebu nitajie ?. Kumbe naongea na mpumbavu na bado utateseka Sana na njaa Kwa kua huna akili hata kama kuna fursa za kutengeneza pesa uzioni wanakuja wageni wanazichangamkia wanatengeneza pesa we umebaki kusubir kuajiriwa pole .akili kama hiyo hauna umuhimu wa kuajiriwa maana msomi uliekosa plan B
Kojoaa kalale.....
CHADEMA wamehusikaje ktk hayo machafu niliyoyataja kwa uchache? Mbona hujibu uhusika wao ukoje?

maswali magumu unakuja na majibu mepesi kumbe bado hujitambui. You're too cheap endelea na kazi yako hapo lumumba.......

Eti nimejiajiri unajua kujiajiri ww??
 
Aliyejiajiri hawezi kua na fikra mbovu km zako za kutokujua matatizo makubwa ya nchi miaka mitano ya uharibifu wa uchumi wa nchi.....

Mambo wanayopitia waliojiajiri awamu hii hayaelezeki....... Ww Umeajiriwa kwenye key boards za lumumba....

Ila kwa hii kazi yako punde tutasikia umekua das kisarawe[emoji3][emoji3]
Mimi sio mwana siasa ila wewe njaa yako inakupeleka vibaya , umekosa akili unailaumu serikali labda we sio mtanzania utakua Mkenya ndio maana unashindwa hata kusema upo wapi
 
Mimi sio mwana siasa ila wewe njaa yako inakupeleka vibaya , umekosa akili unailaumu serikali labda we sio mtanzania utakua Mkenya ndio maana unashindwa hata kusema upo wapi
We sio mtz huwezi kujitoa ufahamu kiasi cha kuonekana huna akili za kujua matatizo ya watz.....
Achana na wakenya hawana akili mbovu km ww.....

Eti Mimi thio mwanathiasa wkt unaongea siasa tupu tena zile zile siasa maji taka za lumumba.

Peleka mauchafu yako kwenye magroup machafu ya uvccm..
 
Kojoaa kalale.....
CHADEMA wamehusikaje ktk hayo machafu niliyoyataja kwa uchache? Mbona hujibu uhusika wao ukoje?

maswali magumu unakuja na majibu mepesi kumbe bado hujitambui. You're too cheap endelea na kazi yako hapo lumumba.......

Eti nimejiajiri unajua kujiajiri ww??
Sio wewe njaa hiyo inakupelekesha Kwa kukosa akili na maarifa ya kutumia fursa iliyopo kwenye mazingira yako . Mimi sina mpango hata wakuajiliwa kama wewe unawaza na kuota kuajiliwa ulivyokua rofa , Mimi nitake kuajiriwa Kwa huo mshahara wa laki 4 ! .ukitakakujua Mimi sijasoma sana nimeishia sekondary tu na toka nipo form one nilikuwa nasoma Kwa lengo la kujiajili na nilikua najisimesha mwenyewe Kwa kila kitu cha shule mpaka msosi na nilikua sina ndoto ya kuajiliwa na ndio maisha nayoishi sasa sijaajiliwa wala iwazi ila natengeneza pesa ndefu Kwa mwezi wewe baki na uzezeta wako .kuna mijitu imesoma imefika chuo ila ipo ipo kila kitu serikali wakati jitu unaliona limesoma computer sayansi nae kakaa mtaani anasubiri kuajiliwa yani mpaka huruma sasa ukikosa maarifa utapata tabu tu hata ukiajiriwa.
 
We sio mtz huwezi kujitoa ufahamu kiasi cha kuonekana huna akili za kujua matatizo ya watz.....
Achana na wakenya hawana akili mbovu km ww.....

Eti Mimi thio mwanathiasa wkt unaongea siasa tupu tena zile zile siasa maji taka za lumumba.

Peleka mauchafu yako kwenye magroup machafu ya uvccm..
Usiseme matatizo ya wa TZ sema matatizo yako mbona unapenda kuwasemsa watu Kwa faida yako
 
Usiseme matatizo ya wa TZ sema matatizo yako mbona unapenda kuwasemsa watu Kwa faida yako
Kazi ya serikali ni kutatua matatizo binafsi au ya watz wote?
Nijadili mambo binafsi km ya ww kutokupewa kuku7 pale lumumba ama?

Ww ni Mnyarwanda ndio maana hujui matatatizo ya wakulima, wafanyabiashara, wanafunzi, wafanyakazi ambayo mengi yamezalishwa na awamu hii ya kishetani.
 
Sio wewe njaa hiyo inakupelekesha Kwa kukosa akili na maarifa ya kutumia fursa iliyopo kwenye mazingira yako . Mimi sina mpango hata wakuajiliwa kama wewe unawaza na kuota kuajiliwa ulivyokua rofa , Mimi nitake kuajiriwa Kwa huo mshahara wa laki 4 ! .ukitakakujua Mimi sijasoma sana nimeishia sekondary tu na toka nipo form one nilikuwa nasoma Kwa lengo la kujiajili na nilikua najisimesha mwenyewe Kwa kila kitu cha shule mpaka msosi na nilikua sina ndoto ya kuajiliwa na ndio maisha nayoishi sasa sijaajiliwa wala iwazi ila natengeneza pesa ndefu Kwa mwezi wewe baki na uzezeta wako .kuna mijitu imesoma imefika chuo ila ipo ipo kila kitu serikali wakati jitu unaliona limesoma computer sayansi nae kakaa mtaani anasubiri kuajiliwa yani mpaka huruma sasa ukikosa maarifa utapata tabu tu hata ukiajiriwa.
Sawa.... umejiajiri kutetea uchafu huku unalipwa posho si ndio?
Aliyejiajiri hawezi kua na mawazo mgando km ww mkuu
 
Huo mfano hauna maana. Ukiwa unamiliki nyumba ya vyumba 20 basi hivyo ni vyumba vinavyoonekana na vinavyoweza kutumika. Kwa hivyo ni sawa kabisa kuhesabu vyumba vyote 20 kama sehemu ya mali yako.

Hata ukitaka unaweza kuuza vyumba vyote 20 hakuna shida. Lakini huwezi linganisha vyumba na madini ambayo bado hayajachimbwa. Huo ni upuuzi. Ningekuelewa kama ungekuwa unazungumzia madini ambayo yamechimbwa tayari maana hayo unaweza kuyauza na kupata pesa. Lakini kuringa kuhusu madini ambayo hauna teknolojia ya kuyachimba ni upuuzi.
Wewe ni mpumbavu na Mpuuzi wa kupuuzwa, Burundi tu ina thamani kubwa kirasilimali kuliko GDP ya mabwana zako
 
Back
Top Bottom