Watanzania kabla ya kuanza mradi wa Bandari ya Bagamoyo tafuteni Articles za 'Lesson from Sri Lanka Hambantota Port'

Watanzania kabla ya kuanza mradi wa Bandari ya Bagamoyo tafuteni Articles za 'Lesson from Sri Lanka Hambantota Port'

Na spika naye anasema wachina walisema, sisi hatuhitaji kusikia walichosema tunataka mikataba iwekwe mezani
Kwa kilichotokea kwenye nchi kama zambia na kenya ni wazi wachina wapo rough sana kwenye kuheshimu mikataba, ni bora kumwamini mzungu kwenye mikataba kuliko mchina........they always have an evil intention na wapo radhi kutoa rushwa kubwa kubwa kwa viongozi na wanasiasa.....
 
Shauri zao
Badaye wakataoumia wala siyo hao
Wanaoipigia debe

Ova
Macho madogo wanaongoza Kwa dubious deals.

Kwa mfano hapa nyumbani ikitokea tenda ya ujenzi

Wana bid the lowest,

Unakuta kampuni kama nne zote zao halafu bid Yao ipo chini na Wana vifaa na wataalam,

Wakishaingia kwenye mradi wanaanza kufanya variation kupita the agreed contractual sum.

Sasa Hawa ndio tunawachekea na ndio eti tunaignore all the red flags na kuresume talks.

Hapa tunakwenda kuchunwa ngozi mchana kweupe.
 
WaChina wanaendelea kutuchora tuu!
Wanasubiri wino pwaah!
La msingi makabrasha yawekwe wazi sio swala la Spika Ndugai au mmoja kutusemea.
Na kama khna aliyemeza mlungula atautema.!
Itakuja tuu hamna jinsi.
 
Kichaa weww
Unaona hiki kipande hapa kutoka kwenye article inayoelezea Sri Lanka walivyoingia ''choo cha kike?''

''The request was granted in a deal that saw China swap equity in the project for debt, effectively taking over the port and 15,000 acres of surrounding countryside on which to build an industrial zone. In effect, Sri Lanka had to cede control over strategic territory to China in return for debt relief''.
 
Macho madogo wanaongoza Kwa dubious deals.

Kwa mfano hapa nyumbani ikitokea tenda ya ujenzi

Wana bid the lowest,

Unakuta kampuni kama nne zote zao halafu bid Yao ipo chini na Wana vifaa na wataalam,

Wakishaingia kwenye mradi wanaanza kufanya variation kupita the agreed contractual sum.

Sasa Hawa ndio tunawachekea na ndio eti tunaignore all the red flags na kuresume talks.

Hapa tunakwenda kuchunwa ngozi mchana kweupe.
Sisi tuna bahati moja. Kuna nchi nyingine zimefanya makosa, zikajikuta zime-surrender vipande vya ardhi China hivyo tumeshajua hawa jamaa siyo watu wazuri. Lakini ajabu naona mama Samia ndiyo yuko mbele kuwakumbatia. Tutakuja kujuta sana.
 
Mchina kakataa kutoa ufadhili wowote kwenye mradi wa SGR, leo anataka apewe bandari afaidi na miundombinu ya SGR ambayo hajagharamia chochote, a big NO....

Kwamba tatizo ni Mchina kukataa kutoa ufadhili SGR? Kwa hiyo atatutambua?

😂😂😂😂😂😂😂😂😂!

Too good to be true.
 
Sisi tuna bahati moja. Kuna nchi nyingine zimefanya makosa, zikajikuta zime-surrender vipande vya ardhi China hivyo tumeshajua hawa jamaa siyo watu wazuri. Lakini ajabu naona mama Samia ndiyo yuko mbele kuwakumbatia. Tutakuja kujuta sana.
Simwelewi kabisa Rais katika hili sidhani kama anapata muda wa kujiridhisha na maamuzi yake kabla ya kuja public.

Inasikitisha sana, ila hatuna namna tunaweza Fanya zaidi ya kupiga kelele tu, she is in charge, na ukishakalia kile kiti Mzee hasa Kwa nchi zetu za kiafrika unakua sio mtu wa mchezo mchezo,

Only God can intervene.
 
Wewe ni mjinga kabisa. Wewe unadhani kuwapa watu lango la kuingia nyumbani kwako walijenge halafu walimiki na kuliendesha ndiyo bora? Si bora hata hao walichokuwa mkopo? Wewe unafikiri mchina ni mjinga awekeze matrilioni ya fedha wakati anaona kutakuwa na hasara?
Kama wanakuuzia silaha na kukujengea vyuo vya kijeshi seuze kukujengea bandari? Tuache kuwa wajinga watakaoendesha hiyo bandari ni special authority itakayoundwa na pande zote 3 ,Watanzania tukiwemo! Tatizo la nchi hii unakuta mtu anapinga hata kitu asichokijua vizuri. Tuache ujuaji wa kijinga
 
Mradi wa Hambatota ni mkopo tofauti namradi wa Bagamoyo Special Economic Zone ambao ni uwekezaji wa pamoja kati ya China, Oman na Tanzania ambapo sisi tunatoa ardhi. Kwa vyovyote vile hata mradi ukiwa na hasara sisi hatuhusiki kwenye hiyo hasara. Mada kama hizi ndio zinasababisha wengine tuamini mnaopinga mradi huu hamna akili ya kuchanganua mambo makubwa kama haya ila mnalazimisha msikilizwe japo hamna nguvu ya hoja.
Kama unaufahamu, sema yote. tulisikia suala la miaka 99, kutotaka kuingiliwa na serikali, kulipa wakishapata faida- sijui tutajuaje kama wamepata wakati hawataki kuingiliwa, n.k fafanueni yote. Siyo kutueleza mambo ya presentation ya china. Wapi wabunge walikokwenda wasipewe rushwa? kIla sehemu hadi ofisi za serikali. Hawa ni watu wapuuzi tu, leo munawaamini! Shenzi kabisa!
 
Watanzania kabla ya kuanza huo mradi wa Bandari ya Bagamoyo naomba tafuteni Articles za LESSON FROM SRI LANKA Hambantota port.

Kama hizo article umezipata please tunaomba uzishare ndani ya huu uzi.

Wabongo mnataka mjidai mnawazidi akili wa SRI LANKA ninyi.

Tunataka siku mkianza kulia tulie sote.

Tafuteni Articles tuanze kusoma
Wewe ndiye ulitakiwa utuwekee hizo articles sasa unatuona kazi tena ya kuzitafuta tukuwekee hapa? Sisi tumeshakubaliana tumwache mama afanye anavyoona inafaa!
 
Mchina kakataa kutoa ufadhili wowote kwenye mradi wa SGR, leo anataka apewe bandari afaidi na miundombinu ya SGR ambayo hajagharamia chochote, a big NO....
Ile sio bandari tu,kuna fullpackage,ya viwanda pia,kuna hub za technology,kama vile silcon valley ya US,
Ajira kedekede,technology transfer ya kumwaga,,
Yaani nchi za africa badala ya kufunga mzigo Dubai au china,,wanakuja kufunga mzigo bongoland,,
Gest zitauza mama ntilie,hotels,bar wote watauza,,SGR itapata mzigo wa kusafirisha,,malory nayo hayatakosa kazi maana volume ya mzigo itakua kubwa
 
Kwamba tatizo ni Mchina kukataa kutoa ufadhili SGR? Kwa hiyo atatutambua?

😂😂😂😂😂😂😂😂😂!

Too good to be true.
Mkuu huoni kwamba atapata faida maradufu kupewa umiliki wa ardhi ajenge bandari bure, halafu aje atumie miundombinu ambayo hajagharamia kujenga na aishie kuua bandari zetu ambazo zimekuwa ni chanzo kikubwa cha mapato ya nchi, hivi haya mambo yanawaingia akilini vizuri!? au mnataka kulifanya hili jambo kama ushabiki wa mpira, simba na yanga....
 
Waafrika aliyewaroga kafa, km unashindwa kujifunza kwa kile unachokiona kwa mwenzio basi utaweza kwa kukariri vitabuni
 
Simwelewi kabisa Rais katika hili sidhani kama anapata muda wa kujiridhisha na maamuzi yake kabla ya kuja public.

Inasikitisha sana, ila hatuna namna tunaweza Fanya zaidi ya kupiga kelele tu, she is in charge, na ukishakalia kile kiti Mzee hasa Kwa nchi zetu za kiafrika unakua sio mtu wa mchezo mchezo,

Only God can intervene.
Halafu wazanzibar wanatabia ya uvuvi sana sijui Kama hata anajiridhisha na maamuzi yake
 
Unaona hiki kipande hapa kutoka kwenye article inayoelezea Sri Lanka walivyoingia ''choo cha kike?''

''The request was granted in a deal that saw China swap equity in the project for debt, effectively taking over the port and 15,000 acres of surrounding countryside on which to build an industrial zone. In effect, Sri Lanka had to cede control over strategic territory to China in return for debt relief''.
Achana na propaganda za US,,wazungu wanahofu jinsi china anavyotakeover ifluence duniani na wanafanya juu chini kumharibia,,
Kwanini china anajenga miundo mbinu, duniani kote?.
Mkakati wa china unaitwa ONE BELT policy,unalenga kujenga miundo mbinu kama reli,barabara,bandari,madaraja duniani ili kufuatisha ile njia ya Silk road,ambayo ilitumika zamani kufanya biashara,
Lengo kuu liko kibiashara zaidi,,tofauti na nchi za marekani na wenzake ambao watataka kukuchagulia Rais,kukuchagulia policy na hata tamaduni zao za kishoga
 
Ile sio bandari tu,kuna fullpackage,ya viwanda pia,kuna hub za technology,kama vile silcon valley ya US,
Ajira kedekede,technology transfer ya kumwaga,,
Yaani nchi za africa badala ya kufunga mzigo Dubai au china,,wanakuja kufunga mzigo bongoland,,
Gest zitauza mama ntilie,hotels,bar wote watauza,,SGR itapata mzigo wa kusafirisha,,malory nayo hayatakosa kazi maana volume ya mzigo itakua kubwa
Nilikosea sana kukutambua kama mwenye akili timamu,

Ipo hivi,

Wanajenga bandari,

Watamiliki Ardhi Kwa 99 years.

Haturuhusiwi kuendeleza bandari nyingine yeyote wala kujenga miundombinu yeyote kuzunguka bandari zetu.

Watacontrol mapato kwa muda wote huo.

Watajenga viwanda 190.

Halafu fedha za kujenga hiyo bandari tutawalipa.

Sasa sijui tutatoa wapi fedha za kuwalipa kama mapato yote wanachukua wao.

Hivi una akili kweli wewe??
 
Back
Top Bottom