Ni dhahiri Norman na Ndugu yai walipewa rushwa ukisikiliza wanavyojieleza ni kama wanamtingoza mwanamke, hawaweki facts ila ni manenono yenye kutia mashakaKwa kilichotokea kwenye nchi kama zambia na kenya ni wazi wachina wapo rough sana kwenye kuheshimu mikataba, ni bora kumwamini mzungu kwenye mikataba kuliko mchina........they always have an evil intention na wapo radhi kutoa rushwa kubwa kubwa kwa viongozi na wanasiasa.....
Inawezekana ni kweli lakini mwisho wa siku tungependa viongozi wetu waweke mikataba wazi ili tupime yale yanayosemwa na uhalisia, hakuna haja wao kukazania maneno majukwaaniAchana na propaganda za US,,wazungu wanahofu jinsi china anavyotakeover ifluence duniani na wanafanya juu chini kumharibia,,
Kwanini china anajenga miundo mbinu, duniani kote?.
Mkakati wa china unaitwa ONE BELT policy,unalenga kujenga miundo mbinu kama reli,barabara,bandari,madaraja duniani ili kufuatisha ile njia ya Silk road,ambayo ilitumika zamani kufanya biashara,
Lengo kuu liko kibiashara zaidi,,tofauti na nchi za marekani na wenzake ambao watataka kukuchagulia Rais,kukuchagulia policy na hata tamaduni zao za kishoga
Huyu naye unakuta ni miongoni mwa anayeshiriki kujadili mkataba, what do you expect kwenye thinking ya namna hii.....Ile sio bandari tu,kuna fullpackage,ya viwanda pia,kuna hub za technology,kama vile silcon valley ya US,
Ajira kedekede,technology transfer ya kumwaga,,
Yaani nchi za africa badala ya kufunga mzigo Dubai au china,,wanakuja kufunga mzigo bongoland,,
Gest zitauza mama ntilie,hotels,bar wote watauza,,SGR itapata mzigo wa kusafirisha,,malory nayo hayatakosa kazi maana volume ya mzigo itakua kubwa
Kwanini tujifunze kwa walioshindwa? Yaani mfano tusichimbe gesi eti kisa Msumbiji wana gesi ila kuna mapigano aka DRC kuna gesi ila kuna vita n.kWatanzania kabla ya kuanza huo mradi wa Bandari ya Bagamoyo naomba tafuteni Articles za LESSON FROM SRI LANKA Hambantota port.
Kama hizo article umezipata please tunaomba uzishare ndani ya huu uzi.
Wabongo mnataka mjidai mnawazidi akili wa SRI LANKA ninyi.
Tunataka siku mkianza kulia tulie sote.
Tafuteni Articles tuanze kusoma
😂😂😂😂😂wabongo bhanaa, kwa hiyo mtakua hiyo mizigo mnatengeneza wenyewe sio.Ile sio bandari tu,kuna fullpackage,ya viwanda pia,kuna hub za technology,kama vile silcon valley ya US,
Ajira kedekede,technology transfer ya kumwaga,,
Yaani nchi za africa badala ya kufunga mzigo Dubai au china,,wanakuja kufunga mzigo bongoland,,
Gest zitauza mama ntilie,hotels,bar wote watauza,,SGR itapata mzigo wa kusafirisha,,malory nayo hayatakosa kazi maana volume ya mzigo itakua kubwa
Badala kuleta counter argument s,unaanza kunijadili,hivi unanijua sawasawa kweli?..maana hii maneno unakoelekea ndo starehe yangu asee🤗🤗Huyu naye unakuta ni miongoni mwa anayeshiriki kujadili mkataba, what do you expect kwenye thinking ya namna hii.....
Wewe nae,ulishaucheki hata mchoro?,kuna zone ya viwanda,viwanda vina ajili watu sio mbuzi,,😂😂😂😂😂wabongo bhanaa, kwa hiyo mtakua hiyo mizigo mnatengeneza wenyewe sio.
Mchanga utakaojaa chini ya majibya bandali kwa kipindincha miaka 30 tanzania ndo itakuwa inatoa huo mchanga kwa ghalama zake,, na kama hao watapata hasara tofauti na malengo yao tunatakiwa kufidia hiyo pesa ingawa hatupati kitu kwa hiyo miaka je hapo ni sawa?Mradi wa Hambatota ni mkopo tofauti namradi wa Bagamoyo Special Economic Zone ambao ni uwekezaji wa pamoja kati ya China, Oman na Tanzania ambapo sisi tunatoa ardhi. Kwa vyovyote vile hata mradi ukiwa na hasara sisi hatuhusiki kwenye hiyo hasara. Mada kama hizi ndio zinasababisha wengine tuamini mnaopinga mradi huu hamna akili ya kuchanganua mambo makubwa kama haya ila mnalazimisha msikilizwe japo hamna nguvu ya hoja.
Nimeipenda hii😆😆😆Utakuwa menaje wa kampuni ya kuchakata kinyesi kama hujui chochote juu wa uwekezaji wa Syri Lanka na bagamoyo
Nani alikwambia?,Mchanga utakaojaa chini ya majibya bandali kwa kipindincha miaka 30 tanzania ndo itakuwa inatoa huo mchanga kwa ghalama zake,, na kama hao watapata hasara tofauti na malengo yao tunatakiwa kufidia hiyo pesa ingawa hatupati kitu kwa hiyo miaka je hapo ni sawa?
Umenikumbusha story za vitabu vya dini kwa watoto, kwamba Mbinguni tutakula bila jasho, hakuna shida, hakuna magonjwa, hakuna kifo......... foool!Ile sio bandari tu,kuna fullpackage,ya viwanda pia,kuna hub za technology,kama vile silcon valley ya US,
Ajira kedekede,technology transfer ya kumwaga,,
Yaani nchi za africa badala ya kufunga mzigo Dubai au china,,wanakuja kufunga mzigo bongoland,,
Gest zitauza mama ntilie,hotels,bar wote watauza,,SGR itapata mzigo wa kusafirisha,,malory nayo hayatakosa kazi maana volume ya mzigo itakua kubwa
Una envision achievements ambazo hazipo ndani ya uwezo na mamlaka yako, unademka na ngoma ambayo hujui undani wake. Kama huo uwekezaji una reflect interest zake za kibiashara ni kwa kiasi gani interest zake zina match na interest zetu na maslahi yetu kama nchi, and how realistic are those...Badala kuleta counter argument s,unaanza kunijadili,hivi unanijua sawasawa kweli?..maana hii maneno unakoelekea ndo starehe yangu asee🤗🤗
Watanzania kabla ya kuanza huo mradi wa Bandari ya Bagamoyo naomba tafuteni Articles za LESSON FROM SRI LANKA Hambantota port.
Kama hizo article umezipata please tunaomba uzishare ndani ya huu uzi.
Wabongo mnataka mjidai mnawazidi akili wa SRI LANKA ninyi.
Tunataka siku mkianza kulia tulie sote.
Tafuteni Articles tuanze kusoma
Wewe unatengeneza laana juu ya kichwa chako kama unacho bado. Nenda shule kwanza ndipo ujue zana za utetezi kwa njia ya uchambuzi!. Lessons from Sri Lanka on China's 'debt-trap diplomacy' - ISS AfricaKuna thread humu imefafanua vizuri kwa kupangua propaganda za babu yenu mwendakuzimu we ufukunyue tu utaelewa.
Mlidanganywa eti sijui mchina kaikamata zambia,mara kenya,na sasa sri lanka,,na wala watu hawajishughulishi kufuatilia kama ni kweli sasa sri lanka imefiliska na bandari imekamatwa,na kwamba wanakufa njaa na wanaishi kwa misaada ya UN,,Umenikumbusha story za vitabu vya dini kwa watoto, kwamba Mbinguni tutakula bila jasho, hakuna shida, hakuna magonjwa, hakuna kifo......... foool!
Achana propaganda za ma ajent wa US,,fuatilia mwenyewe hali ya sri lanka,zambia kenya na pote walipovumisha eti mchina amekamata ardhi,bandari,etc
Kilichotokea Sri Lanka usikilinganishe na huu mradi. Kila nchi ina mazingira tofauti ya kiuchumi. Pia kumbuka kijiografia Tanzania tumependelewa.Umesema uzi, mimi nimekwambia kasome article ya Sri Lanka ww unazungumzia Nyuzi.
Achana propaganda za ma ajent wa US,,fuatilia mwenyewe hali ya sri lanka,zambia kenya na pote walipovumisha eti mchina amekamata ardhi,ba
Siyo kila kitu ni kampeni za uchaguzi. Leta mkataba hapa uchambuliwe kwa kuwa tayri tulishaumizwa, na kwa kuw akwa sasa hatuna bunge, au la kaa kimya!Achana propaganda za ma ajent wa US,,fuatilia mwenyewe hali ya sri lanka,zambia kenya na pote walipovumisha eti mchina amekamata ardhi,bandari,etcuc
Hata hilo la kiwanda bado siifaham mamana china hawezi kutengezeneza kiwanda vya kushindanan na viwanda vya nyumbaniMlidanganywa eti sijui mchina kaikamata zambia,mara kenya,na sasa sri lanka,,na wala watu hawajishughulishi kufuatilia kama ni kweli sasa sri lanka imefiliska na bandari imekamatwa,na kwamba wanakufa njaa na wanaishi kwa misaada ya UN,,
Sure,huwezi tegemea mtu atoe dola bilioni 10,akujengee bandari kisha aende zake,,
Lazima kutakuwa na process anafaidika,ikiwemo kuwa na infrastructure ya kuuza bidhaa zake,,
Lakini kama viwanda baadhi vitahamia huku,tuna advantage kubwa ya ajira na Technology transfer,kodi etc
Tunajifunza kutokana na Dubai ilivyonyanyuka kwa kupitia bandari yake,,sure ile bandari italeta mabadiliko makubwa kwa vyovyote vile,bidhaa itakayoshuka hapo itakuwa ni ya volume kubwa na hii in translate katika mapato,Una envision achievements ambazo hazipo ndani ya uwezo na mamlaka yako, unademka na ngoma ambayo hujui undani wake. Kama huo uwekezaji una reflect interest zake za kibiashara ni kwa kiasi gani interest zake zina match na interest zetu na maslahi yetu kama nchi, and how realistic are those...