Watanzania kabla ya kuanza mradi wa Bandari ya Bagamoyo tafuteni Articles za 'Lesson from Sri Lanka Hambantota Port'

Kama china anataka kuifanya Tanzania a strategic investment area kwa ajili ya maslahi yake ya kibiashara kwenye eneo la afrika haiwezi kuwa kwa ujanja ujanja, lazima hiyo mikataba iwekwe wazi ambayo ina reflect interest na maslahi yetu kama nchi kwenye huo uwekezaji, full stop.
 
Mchina kakataa kutoa ufadhili wowote kwenye mradi wa SGR, leo anataka apewe bandari afaidi na miundombinu ya SGR ambayo hajagharamia chochote, a big NO....
Kwa taarifa yako waliotoa mkopo wa kujenga hiyo

mchanga upi? Halafu usichokijua bandari ni sehemu tu ya mradi kuna viwanda na mradi wa tehama l pia! Mradi wa BSEZ ni Ukanda wa kiuchumi sio bandari tu ndugu
 
Siyo kila kitu ni kampeni za uchaguzi. Leta mkataba hapa uchambuliwe kwa kuwa tayri tulishaumizwa, na kwa kuw akwa sasa hatuna bunge, au la kaa kimya!
Yaani uletwe mkataba nyumbani kwako au?
 
Mchina anajenga miundo mbinu duniani kote,,sema alitaka kuipendelea Tz sababu ya special relationship,,uhusiano wa china na Tz ni kana uhusiano wa US na UK,,,special relationship
 
Kifungu hatari sana hiki....
 
Mchina anajenga miundo mbinu duniani kote,,sema alitaka kuipendelea Tz sababu ya special relationship,,uhusiano wa china na Tz ni kana uhusiano wa US na UK,,,special relationship
Naweza kuelewa china anacholenga kwenye uwekezaji huo na mahusiano ya kihistoria yaliyopo, lakini isiwe kwa mikataba ya kiujanja ujanja maana tunaweza tusiathirike tuliopo leo, wakaja kuumia vizazi vinavyokuja....
 
Hata hilo la kiwanda bado siifaham mamana china hawezi kutengezeneza kiwanda vya kushindanan na viwanda vya nyumbani
Wanafanya Outsourcing,,hiyo ni kawaida,pia mradi huu ni partinership ya china,Oman na Tanzania,,watanzania wanachangia location,,,hii ina maana wataslamu wao wameona ile location ndo iko ki stragegy zaidi,maana karibu na south africa east and central Africa,na ndipo wanalenga kukamata soko,wangeweza kuweka kismayu,,ila sasa inakua mbali kidogo na nchi za kusini na nchi kama congo,angola etc.
 
Masalia ya mwendazake
 
Wewe unadhani kuwapa watu lango la kuingia nyumbani kwako walijenge halafu walimiki na kuliendesha ndiyo bora? Si
Halafu wachina walivyo, watatia fitna na kuua milango mingine yote ili ategemewe yeye tu katika hilo lango moja.

Hapo ndipo watu wataanza kufukua hizi topic na kuishia kuweweseka na kuanza kutafuta wachawi.
 
Kwa taarifa yako waliotoa mkopo wa kujenga hiyo




mchanga upi? Halafu usichokijua bandari ni sehemu tu ya mradi kuna viwanda na mradi wa tehama l pia! Mradi wa BSEZ ni Ukanda wa kiuchumi sio bandari tu ndugu
Pumbaf weee!
 
And you can see, china atataka aitumie hiyo bandari kwa ku-import na ku-export malighafi na bidhaa at the blind spot kutoka kwenye mamlaka za nchi, maslahi ya kiusalama na kibiashara ya nchi yanakaaje kama ata-operate bila scrutiny ya mamlaka za nchi ukizingatia historia ya china kwenye maswala ya uharamia wa rasilimali za wanyama kama tembo na madili ya rasilimali za madini nk......tatizo kuna watu mnaichukulia china ya leo na ile ya mzee Mao na mwl. Nyerere.....
 

Mkuu, labda kama utakuwa hukunielewa kabisa. Tambua kuwa:

1. Ninatambua kuwa kulikuwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ulioasisiwa na JK awamu #4.
2. Ninatambua pia kuwa mradi huo ulipigwa munda "unceremoniously" na JPM awamu #5.
3. Mimi na wewe hatujui contents za mradi ule.
4. Ninakusoma wewe vyema kwa nini mradi ulipigwa chini.
5. Sizikatai sababu ulizozitoa, ila tu ninakwenda mbele kukuunga mkono kwa mshangao kuwa, kwamba inawezekana je?



Kwamba kwa mujibu wako JPM aliamua kuwakomoa wachina kwa kuuzima mradi wote kwa sababu tu hawakuwa wamevutiwa na mradi wa SGR?

Hebu zirejelee kuona kama sababu hizo siyo za kitoto kabisa?!
 
Nami naanza kuona umuhimu wa sara ili Mungu aingilie kati. Huyu mama ni tatizo. Elimu ya hapa na pale hiyo!
 
Your browser is not able to display this video.
 
HIzo ni sababu za watu wazembe maana ni hao wachina ambao walipewa SGR ya kuelekea Isaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…