Watanzania kushangilia kuangushwa kwa Makonda katika kura za maoni Jimbo la Kigamboni kunaashiria nini?

Wadau, uchaguzi bado haujaisha. Utaratibu waliokwisha utangaza, ni kuwa, baada ya hapo, kuna hatua zingine, kabla ya kupeleka kwenye Kamati kuu. Huko, yatachaguliwa majina matatu, ambayo yatarudishwa kupigiwa kura tena. Mshindi, ndiye atakuwa mgombea.
Hivyo, wale wote walioshika nafasi ya kwanza, si ajabu wakashindwa kwenye hizo kura za wagombea watatu. Na kwa nafasi aliyopata Makonda, jina lake kuwa ni miongoni mwa hayo majina matatu, haitakuwa ni upendeleo, kwa sababu kashika nafasi ya pili.
Hivyo, kama hawamtaki, basi, wasimpe kura, wampe huyo wamtakaye!
 
Hakika uchawi hauvuki maji, yaani jamaa zile ndumba zake za kolomije alizomtengeneza mwenyekiti zimeshindwa kufanya kazi jana kwa wajumbe

Wana CCM wa Kigamboni wanajua Ndumba ( Mziziology ) Mkuu kuliko Yeye ndiyo maana wengi Wao Pantoni ' ikizingua ' wanavuka juu ya Maji tu.
 
Unaanza kulaumu kwa dhana tu, nani kakuambia Ndugulile atakatwa? Mbona Mwenyekiti Magufuli kesha sema maamuzi ya wanachama yataheshimiwa ili mradi aliyeshinda kashinda kihalali.

Ndiyo hivyo sasa Dokta Faustine Ndugulile ' ameshinda ' kihalali kabisa hivyo Mwenyekiti CCM Taifa nae ayaheshimu hayo Maamuzi yao asibadili.
 
Mlindeni ndungulile wenu msije mkamwokotea akiwa kwenye kiroba anaelea Coco Beach. Ombeni msaada kwa Pomeo ikiwezekana maana anamjua vzr Bashite.
 
Una uhalali gani wa Kunihoji Mimi kuwa au kutokuwa mwana CCM? Wewe ni nani Kwangu au ndani ya CCM hadi unihoji ' Kipopoma ' namna hii?


Kawaambie waliokuza huo urojo walikosea kukupa maelekezo.

Makonda ndio mgombea wa kigamboni.
Note:
 
Mlindeni ndungulile wenu msije mkamwokotea akiwa kwenye kiroba anaelea Coco Beach. Ombeni msaada kwa Pomeo ikiwezekana maana anamjua vzr Bashite.

Umesema Jambo moja la maana mno na sana Mkuu ambalo hata Mimi tokea Jana nililiwaza. Historia ya Matukio kwa #2 nchini inatisha sana tu!!!!!
 
Kwani ' Kumsuuza ' kunako ' Kibaiolojia ' huyo aliyekueleta hapa Duniani ' Mpumbavu ' Mmoja Wewe siyo ' a decent paying job ' Kwako Wewe au?
Logic: Kama unaweza ukaandika upuuzi huu unaoandika, jiulize ni mwana CCM gani mwenye akili timamu atakayekupa habari muhimu mtu kama wewe. You are writing shit
 
Kwa hiyo unamanisha andelee kua na matumaini Asubili mbeleko
 
Ndani ya 24hrs thread zisizopungua 20 za kumuhusu Makonda[emoji23]na bado kuna member wengine zaidi ya 20 wanaandaa thread mpya[emoji23].
Huyu Makonda anakitugani cha kutisha?

Adui namba mmoja wa Taifa, mkilazimisha jimbo linapotea ukweli ndiyo huo.
 
Wala sio kampeni meneja wala sipendelei mtu. Ila nazungumzia utaratibu wa kupata jina moja bado unaendelea. Na haijulikaani nani atapitishwa huko mbele mbona nyie mnaanza kufurahia upuuzi na Makonda ameingia kwenye mchujo wa majina matatu.
Makonda angeongoza ungeongea uozo huo????

Au kisa Dkt. Kashinda ndo maana unasema bado mchakato unaendelea
Angeshinda makonda mchakato ungeishia hapo ???
Acha kujifariji kijinga hujui lolote ktk siasa hizi
 
Kawaambie waliokuza huo urojo walikosea kukupa maelekezo.

Makonda ndio mgombea wa kigamboni.
Note:

Labda awe Mgombea wa hayo Makalio yako ' Manono ' Mtoto wa Kiume Wewe, ila kwa Jimbo la Kigamboni tayari Ndugulile ndiyo Chaguo lao tu.
 
Logic: Kama unaweza ukaandika upuuzi huu unaoandika, jiulize ni mwana CCM gani mwenye akili timamu atakayekupa habari muhimu mtu kama wewe. You are writing shit

Huna IQ ya Kupambana nami na hata tu ya Kujibizana nami tafadhali. Acha Kunipotezea muda wangu nenda Kahangaike na Mabasha zako huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…