NdioZina mwagika nikitembea siyo?
Mwambie huyo dogo, asikuchukulie poaFord Ranger!...impreza gari za vijana wadogo!
Nampitia!Dah sawa nipo hapa njee na wasubili na huyo lenie anakuja na vits au passo?
Kwani una umri gani, maana kama Kajala ni mzee ila relative tu mambo anayofanya, ndiocho watu wanamaanisha lakini wala sio mzee, shida ni kupost makalio kama mtoto wa miaka 18Sio mama paula naongelea wazee wote ambao tunachekwa hapa hao nimetumia kama mifano?
Unadaiwa sh ngapiDah acha utan ase wakati hapa natafuta mtu anikopeshe nilipe bill ya maji 😂
Shauri yake😅Mwambie huyo dogo, asikuchukulie poa
NO atajichosha bure wakati mi nipo!Ahaha kaishiwa mafuta
Itakuwa poa sana 😂Ngoja tukishalewa utukumbushe kuhusu hiyo bill
Si ndio Jack Palladino
Umenikumbusha yule jamaa anaomba bill ya elf 11 alipe then aendelee 🤣🤣🤣Ngoja tukishalewa utukumbushe kuhusu hiyo bill
Si ndio Jack Palladino
Acha uchokozi wewe google robotMtakataa ila mimi nasema ukweli Hii ni ID mpya ya Unique Flower 😃😃
Elf 11 eti amelewa🤣🤣Umenikumbusha yule jamaa anaomba bill ya elf 11 alipe then aendelee 🤣🤣🤣