Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ukisikia mtu ulimwengu wa leo anasema anapenda kitambi basi hata kama alikwenda shule elimu bado haijamsaidia.Mh kasema nani? Mimi napenda kitambi haya kinacho ongeza saiz ya mboo nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia mtu ulimwengu wa leo anasema anapenda kitambi basi hata kama alikwenda shule elimu bado haijamsaidia.Mh kasema nani? Mimi napenda kitambi haya kinacho ongeza saiz ya mboo nini?
Sawa kijana mzeeWewe dogo mimi ni kijana usiniite mzee
😂😂😂😂 na wewe ni muanga mimi nachekwa et nina miguu milefu sasa naipunguzaje?Ni kweli watu sikuhizi wanaweza msema mtu , eh una masikio makubwa , Sasa unajiuliza , kwani Kuna mtu anajiumba au.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Tabata au sinza?nikujoin fastaUjana wangu ulikuwa moto hatua zangu weee uziwezi nipo hapa kitambaa cheupe nakunywa zangu soda ya fanta na bado unaniita mzee
Sasa unajaza seat bure kunywa soda pub wakati dukani Kwa Mangi zipo 500tu?Ujana wangu ulikuwa moto hatua zangu weee uziwezi nipo hapa kitambaa cheupe nakunywa zangu soda ya fanta na bado unaniita mzee
Wewe ni Muhaya?😂😂😂 nikichomekea nguo zina nitoa poa sana
Nakuja na mrembo Lenie chap!Sinza hapa
Nitunzie siti naja.Hapo sawa njoo unywe soda