Exorcist
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,235
- 1,268
Tanganyika tunalipa Trillion 12 kila mwaka ikiwa ni pamoja na riba za madeni tuliyokopa. Sasa najiuliza katika mikopo yooote hii tunayolipa, hakuna hata trillion 1 iliyotumika kununua Crane kubwa kama za DPWorld?
Zinauzwa trillion ngapi kwani hizi mashine?
Zinauzwa trillion ngapi kwani hizi mashine?