Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio bandarini tu sekta nyingi hata vyama vya siasa vipo vyenye udini,ukabila na undugu.ni hulka mbaya ya wabongo tuliyojivesha.Bandarini kumejaa udini, ukabila, undugu na ukada
Huko kazi zinafanyika kwa mazoeaYote hayo yanawezekana
Tatzo tulilonalo ni dogo sana,hatuwawajibishi wanaokwamisha bandari zenu kisa tu ni ndugu zetu na watoto wa marafik zetu
Unabid tuanze kuwatia watu vitanzi wanaokwamisha ufanisi na kuiba hela
Haifai tuikatae haraka tuweke watu kwa uwezo waoSio bandarini tu sekta nyingi hata vyama vya siasa vipo vyenye udini,ukabila na undugu.ni hulka mbaya ya wabongo tuliyojivesha.
Mbona inasemekana Kuna mkopo wa matrillioni ulichukuliwa world bank kwa ajili ya kuendeleza bandari ya Dsm?Tanganyika tunalipa Trillion 12 kila mwaka ikiwa ni pamoja na riba za madeni tuliyokopa. Sasa najiuliza katika mikopo yooote hii tunayolipa, hakuna hata trillion 1 iliyotumika kununua Crane kubwa kama za DPWorld?
Zinauzwa trillion ngapi kwani hizi mashine?
View attachment 2679124View attachment 2679125View attachment 2679126
Licha yamakodi yote tunayokamuliwaNdugu yangu mbona umeenda mbali? Kwa nini hukuanza kujiuuliza ni kwa nini baada ya miaka 60 ya uhuru bado watoto wa mtanzania vijijini wanasoma katika mazingira magumu? Mabanda mabovu, wanakaa chini, vyooo vya makuti na hakuna zana za kusomeshea?
Unahitaji kupata Majibu rahisi kwa maswali magumu sana.Tanganyika tunalipa Trillion 12 kila mwaka ikiwa ni pamoja na riba za madeni tuliyokopa. Sasa najiuliza katika mikopo yooote hii tunayolipa, hakuna hata trillion 1 iliyotumika kununua Crane kubwa kama za DPWorld?
Zinauzwa trillion ngapi kwani hizi mashine?
View attachment 2679124View attachment 2679125View attachment 2679126
Inasemekana....., Maelezo kama haya yanasikitisha. Tafuta ukweli kwanza kabla ya kuandika.Mbona inasemekana Kuna mkopo wa matrillioni ulichukuliwa world bank kwa ajili ya kuendeleza bandari ya Dsm?
AiseeKwa kweli, watupe namba za Tigopesa tuanze kuchangia, hatuwezi kuuzwa sababu ya hivyo viwinchi...
Wewe vipi wewe?! Bandari ya babaako hadi tusiijadili, we punguani nini? Hoja ipo wazi kuhusu kujua gharama za hizo wimchi ili kama inawezekana tuzinunue wenyewe. Jadili hoja au kaa pembeni!Ili mradi muanzishe kajithread ka bandari.
VXR V8, GXR NK, M,AMBO MENGI YAMEFANYIKA.Unahitaji kupata Majibu rahisi kwa maswali magumu sana.
Nchi inahangaika kujenga madarasa, hospitali, vituo vya afya, barabara, madaraja na kubadili mind set zetu za kufikiri.
Shida ni uongozi na usimamizi! Tunaongozwa na bora viongozi na wasimamizi mafisi basi.Tanganyika tunalipa Trillion 12 kila mwaka ikiwa ni pamoja na riba za madeni tuliyokopa. Sasa najiuliza katika mikopo yooote hii tunayolipa, hakuna hata trillion 1 iliyotumika kununua Crane kubwa kama za DPWorld?
Zinauzwa trillion ngapi kwani hizi mashine?
View attachment 2679124View attachment 2679125View attachment 2679126
Hakuna uwajibikaji wa uwajibishwajiAjira kwenye sekta nyeti wamejaa uvccm na wazaz wao unategemea ufanisi kutoka wapi
Maulid Kitenge atakuja na majibuTanganyika tunalipa Trillion 12 kila mwaka ikiwa ni pamoja na riba za madeni tuliyokopa. Sasa najiuliza katika mikopo yooote hii tunayolipa, hakuna hata trillion 1 iliyotumika kununua Crane kubwa kama za DPWorld?
Zinauzwa trillion ngapi kwani hizi mashine?
View attachment 2679124View attachment 2679125View attachment 2679126
Tuache uwoga tudai katiba itakayoweza kuwa wajibisha viongozi na si hii ya kuwalinda na kuwekeana makingaYote hayo yanawezekana
Tatzo tulilonalo ni dogo sana,hatuwawajibishi wanaokwamisha bandari zenu kisa tu ni ndugu zetu na watoto wa marafik zetu
Unabid tuanze kuwatia watu vitanzi wanaokwamisha ufanisi na kuiba hela
Masikini Tanzania yanguAjira kwenye sekta nyeti wamejaa uvccm na wazaz wao unategemea ufanisi kutoka wapi