Watanzania milioni 60 tumeshindwa kununua Crane za kushusha mizigo kwa ufanisi bandarini?

Watanzania milioni 60 tumeshindwa kununua Crane za kushusha mizigo kwa ufanisi bandarini?

Tanganyika tunalipa Trillion 12 kila mwaka ikiwa ni pamoja na riba za madeni tuliyokopa. Sasa najiuliza katika mikopo yooote hii tunayolipa, hakuna hata trillion 1 iliyotumika kununua Crane kubwa kama za DPWorld?

Zinauzwa trillion ngapi kwani hizi mashine?

View attachment 2679124View attachment 2679125View attachment 2679126
Halafu vx v8 tungenunulia na nini? Halafu tuna timu ya soka, ina wachezaji kibao wa kigeni, pesa ya kuwalipa tungepata wapi?
Tuna mabasi yetu yanapiga ruti nchi nzima yanahitaji mafuta, matengenezo, etc unafikiri pesa ingepatikana wapi?
Halafu hayo makraine tununue ya kazi gani?
 
Kila mtu akingia huko anafikiria/waza kuiba
Yaani uwizi,ufisadi kwanza kazi badaye

Ova
Kipindi cha utawala wa Msoga kuna mshikaji alikua anaingiza canter saa 10 alafajiri kila siku,wanatoa mizigo ya wizi.

mma ***** yule jamaa alikua anakula bata 7 days,alivyoingia Magu akapigwa pini.
 
Halafu vx v8 tungenunulia na nini? Halafu tuna timu ya soka, ina wachezaji kibao wa kigeni, pesa ya kuwalipa tungepata wapi?
Tuna mabasi yetu yanapiga ruti nchi nzima yanahitaji mafuta, matengenezo, etc unafikiri pesa ingepatikana wapi?
Halafu hayo makraine tununue ya kazi gani?
Tatizo ni mikopo , wanakopa halafu wanakula pesa za mikopo, mwisho wa siku tunalipa madeni hewa nusu ya bajeti
 
Back
Top Bottom