Watanzania safari za Kenya zimewashinda licha ya kuachiwa uwanja wote

Dreamliner moja ndio itaenda Europe na Asia?? 😂😂😂 Afu msisahau kutua South Africa beberu hataikamata!
Hahaha we una fahamu ATCL wana dreamliner moja pekee kumbe? Dah they got two
 
Mnatrendisha zenu kwa sababu hamjui kizungu
 
Kwa hio hapa unatuthibitishia kuwa Watanzania hawahitaji Kenya ila wakenya wanaihitaji Tanzania?
 
Poleni sana kwa maumivu bt inabidi mzoee maana mliyataka wenyewe, kwa sasa hatuna huruma na nyang'au maana tushaujua upumbavu wenu, dawa yenu ni kuwapga spana daily.

Siku nyingine ukikwamisha mtu, hakikisha na wewe unanufaika, sio uhangaike kumkwamisha mtu aliyekuzidi kiuchumi ila wewe umekwama kwenye umaskini, halafu hili lipo Bongo sana, mna hulka ya kuvutana nyuma ili mkwame wote, sasa ujinga ni pale wewe ni maskini wa kutupwa unahangaika kumvuta aliyekuzidi utajiri.
 
Mumekosa abiria na kushindwa, tatizo lenu chuki na uzembe, na ndio maana mtaendelea kuwa maskini kwa muda mrefu maana wivu na chuki huwatafuna.
Ivi kunya ni matajiri,ha ha unafiki sio mzuri.
 
Hivi ww kwa akili yako mtanzania alazimishe kuingia Kenya kufanya nn au Uganda hakuna cha kuchukua huko kwenu
 
naona unaitafuta faraja kupitia maandishi, ninyi ndo mlifanya kila muwezalo kutuwekea vikwazo ili tukwame bt badala yake nyie ndo mmekwama, watalii wanajaa daily, mambo yanaenda kwa mwendo kasi wa ajabu.

alafu nilitarajia habari hii itakufurahisha coz ulikua ukisema afya ya wakenya ni muhim bt matokeo yake umeumia ka umepatwa msiba, na tutahakikisha tunaziba kila upenyo ulokua ukiwapa maslahi kupitia mgongo wetu.

utajiri mkubwa mlokua nao ninyi ni wanjaa nakutegemea misaada ya chakula, pia elim yenu kubwa mnayojisifia ni ya kuwalamba miguu mabeberu.
 
Hivi ww kwa akili yako mtanzania alazimishe kuingia Kenya kufanya nn au Uganda hakuna cha kuchukua huko kwenu

Kwa mnavyong'ang'ania sijui ni njaa gani imewabana huko, mumepigwa pini na majirani zenu wote, Uganda kaweka jeshi kabisa ila kwa Kenya mnang'aka, mnatupigia makelele hadi tunawashangaa. Sema huwa mnanufaika sana kwa Kenya.



 
Kwa mnavyong'ang'ania sijui ni njaa gani imewabana huko, mumepigwa pini na majirani zenu wote, Uganda kaweka jeshi kabisa ila kwa Kenya mnang'aka, mnatupigia makelele hadi tunawashangaa. Sema huwa mnanufaika sana kwa Kenya.



Siwezi kumaliza mb zangu kwa kufungua habar za KTN ila kimoyo moyo unjua mnavyo pata tabuu
 
Kenya tunataka mfute compulsory 14 quarantine. Hapo ndo mje kwenye mazungumzo
 
Of course that was crucial esteemed plan for ATC after delivery of the two highly advanced airbuses, amongst other new regional destinations, Nairobi was in.
 
Mnatrendisha zenu kwa sababu hamjui kizungu
Ndio vizuri sasa, pesa zote za adsense wanakula youtubers wa nyumbani, ninyi mkiview contents zetu ni kama mnatulipa sisi.
 
Hahahaha nikikuvuta chini wewe tajiri na ukavutika chini, bado utajiita tajiri kwenye halaiki ya matajiri kweli?
 
Mumekosa abiria na kushindwa, tatizo lenu chuki na uzembe, na ndio maana mtaendelea kuwa maskini kwa muda mrefu maana wivu na chuki huwatafuna.
Hebu soma tena ulichokiandika.
 
Hehehe kampeni huwa za malofa, nakumbuka Mkapa aliwahi kusema.
Wajasiria hawana muda huo wanapiga hela, ila hawatumii ndege zenu.
Unaipenda sana Tanzania na unaifatilia kwa karibu,hadi alietoa kauli ya malofa unamjua,karibu ujiunge nasi
 
hujielewi dogo, precission air wana ubia na Kenya Air ways, kuiruhusu precission iende kenya ni sawa na kuiruhusu kenya air ways
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…