Watanzania safari za Kenya zimewashinda licha ya kuachiwa uwanja wote

Watanzania safari za Kenya zimewashinda licha ya kuachiwa uwanja wote

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yaani watanzania kutokua na time na Kenya ndio wivu na chuki? 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Nenda bus terminal Dar uone mabasi yanayoenda kwa ndugu zetu kusini yalivyosheheni abiria, watanzania hawana time na Kenya toka dunia imekua, ni hivyo tu mna bahati tunashare lugha lakini we have absolutely nothing in common with you.
tuache kwenda mauritus, commoro, zambia, zimbabwe, TUENDE KENYA??????????????????
 
acha kushughulika na hilo zuzu maana mipango yao yote mibovu imebuma sasa yamebaki kuweweseka tu, kuomba msamaha yanaona aibu.
Si unaona kila siku wanalazimisha kukaa mezani tuwape suluhu,makelele ya nini sasa?wameanza wao sisi tumemaliza.
Kila siku najiuliza hawa kenya wana utajiri gani,angali wananchi wana ishi maisha magumu sana.
 
Si unaona kila siku wanalazimisha kukaa mezani tuwape suluhu,makelele ya nini sasa?wameanza wao sisi tumemaliza.
Kila siku najiuliza hawa kenya wana utajiri gani,angali wananchi wana ishi maisha magumu sana.
leta mada ni jinga sana, daily lilikua linasema afya wakenya ni muhim sasa tumesitisha safari limeumia badala ya kufurahi.
 
hujielewi dogo, precission air wana ubia na Kenya Air ways, kuiruhusu precission iende kenya ni sawa na kuiruhusu kenya air ways
huyo jamaa mjinga sana, alikua akihubiri afya ya wakenya muhim bt tumesitisha safari kaumia kweli, alafu mi najiuliza utampigaje mkwara mtu unaejua ukienda nae kwa ground atakupga?
 
Unaipenda sana Tanzania na unaifatilia kwa karibu,hadi alietoa kauli ya malofa unamjua,karibu ujiunge nasi

Hehehe mbona mliitwa malofa mchana peupe tena kwenye mkutano wa hadhara, anyway hakuna Mkenya anayeichukia Tanzania na Watanzania kimsingi tunalinda afya ya Wakenya kama kipau mbele, kupima lazima mpimwe kila mkija huku, na hilo linafanywa na majirani zenu wote ila ikifanywa na Wakenya mnapiga ukunga.
 
Hehehe mbona mliitwa malofa mchana peupe tena kwenye mkutano wa hadhara, anyway hakuna Mkenya anayeichukia Tanzania na Watanzania kimsingi tunalinda afya ya Wakenya kama kipau mbele, kupima lazima mpimwe kila mkija huku, na hilo linafanywa na majirani zenu wote ila ikifanywa na Wakenya mnapiga ukunga.
punguza ujuha we mjinga, kama mnalinda afya ya kenya kwa nini mnaumia sie kustisha safari?
 
punguza ujuha we mjinga, kama mnalinda afya ya kenya kwa nini mnaumia sie kustisha safari?

Wapi umeskia tumeumia, mbona unakua mshenzi, tunawachekelea kwa kushindwa baada ya kujaribu kutukwamisha, ndivyo ilivyo kawaida yenu hata huko kwenu, mnapenda sana kukwamishana ilmradi mkwame nyote, mnakosa kufahamu sisi uchumi wetu umezidi wenu karibia mara mbili, ukihangaika kutukwamisha utaumia mwenyewe.
 
Wewe huwa unawashwa washwa sana hasa unapoikumbuka nchi iitwayo Tanzania,yani kiroho kinakuuma sana,kinakukereketa,yani kimdudu wivu kinakusumbua ,ila ndio asili ya kuwa na jinsia ya kike.
Wanawake bhana huwa na wivu wivu wa ajabu ajabu sana.
Umeiombea mengi mabaya nchi Tanzania tangu kipindi cha Corona,ilaMungu ametulinda na anaendelea kutulina,wewe endelea kuomba tu uwe na wivu,WIVU NI ASILI KWA MWANAMKE,hatukushangai sana.
 
Ndege za Tanzania zimeshindwa safari za Kenya/Tanzania baada ya kukosa abiria wa kutosha, uwanja wameachiwa wote maana hamna ndege za KQ zinazoruka hiyo ruti, dunia hii ukiendeshwa na chuki utaishia kuteseka mwenyewe badala ya wahanga wa chuki zako.

=====

The Tanzania-based Air Precision has cancelled planned resumption of flights to Nairobi just days after the government said it would not deny them traffic rights amid the ongoing standoff between the two countries.

In a notice published on the airline’s website, Precision Air said it was suspending the plans because of low demand of passengers seeking to fly.

Tanzania has stopped three Kenya airlines including Kenya Airways from flying to Dar, Zanzibar and Kilimanjaro after Nairobi excluded it from the list of safe countries whose citizen will not be subjected to mandatory 14 days quarantine on arrival.

β€œWe regret to inform you that due to insufficient demand, we have postponed the resumption of Nairobi flights. A new date and schedule will be published on our website soon,” said the airline in the notice.

The airline was to resume flights tomorrow flying from Dar es Salaam via Zanzibar to Nairobi and back, and would have capitalised on the absence of Kenya Airways, which has a 40 percent stake on Precision Air, to meet the needs of travellers.

Zanzibar is one of the routes with the highest traffic in the region because of its resort nature that has made it popular with the tourists.

Prior to the ban, KQ which operates its regional hub from Jomo Kenyatta International Airport in Nairobi, had a permit to fly 14 times to Dar es Salaam every week, three times to Kilimanjaro and two times to Zanzibar, mostly ferrying tourists and business travelers between the two destinations.

Kenya Civil Aviation Authority (KCAA) director-general, Gilbert Kibe said talks are ongoing with Tanzania to allow resumption of KQ flights to Zanzibar and Dar es Salaam.

Prior to the ban on Kenya Airways flights, Kenya and Tanzania had been involved in retaliatory border blockades which affected thousands of truckers and businesses.

Kenya’s latest Covid-19 red-list is likely to heighten the stand-off with its neighbour Tanzaniaβ€”possibly leading to more trade wars between the two nations.

Mr Kibe said Precision Air has an existing traffic rights that will not be nullified on the account of the existing stalemate between Kenya and Tanzania.

Kenya Airways, whose traffic rights to Tanzania were still valid at the beginning of this month when the carrier resumed international flights, were revoked by the Tanzanian authorities on retaliatory grounds.

Tanzanian airline cancels plan to resume Nairobi flights
Three tribes dominate top government jobs, CS tells senators
 
Ndege za Tanzania zimeshindwa safari za Kenya/Tanzania baada ya kukosa abiria wa kutosha, uwanja wameachiwa wote maana hamna ndege za KQ zinazoruka hiyo ruti, dunia hii ukiendeshwa na chuki utaishia kuteseka mwenyewe badala ya wahanga wa chuki zako.

=====

The Tanzania-based Air Precision has cancelled planned resumption of flights to Nairobi just days after the government said it would not deny them traffic rights amid the ongoing standoff between the two countries.

In a notice published on the airline’s website, Precision Air said it was suspending the plans because of low demand of passengers seeking to fly.

Tanzania has stopped three Kenya airlines including Kenya Airways from flying to Dar, Zanzibar and Kilimanjaro after Nairobi excluded it from the list of safe countries whose citizen will not be subjected to mandatory 14 days quarantine on arrival.

β€œWe regret to inform you that due to insufficient demand, we have postponed the resumption of Nairobi flights. A new date and schedule will be published on our website soon,” said the airline in the notice.

The airline was to resume flights tomorrow flying from Dar es Salaam via Zanzibar to Nairobi and back, and would have capitalised on the absence of Kenya Airways, which has a 40 percent stake on Precision Air, to meet the needs of travellers.

Zanzibar is one of the routes with the highest traffic in the region because of its resort nature that has made it popular with the tourists.

Prior to the ban, KQ which operates its regional hub from Jomo Kenyatta International Airport in Nairobi, had a permit to fly 14 times to Dar es Salaam every week, three times to Kilimanjaro and two times to Zanzibar, mostly ferrying tourists and business travelers between the two destinations.

Kenya Civil Aviation Authority (KCAA) director-general, Gilbert Kibe said talks are ongoing with Tanzania to allow resumption of KQ flights to Zanzibar and Dar es Salaam.

Prior to the ban on Kenya Airways flights, Kenya and Tanzania had been involved in retaliatory border blockades which affected thousands of truckers and businesses.

Kenya’s latest Covid-19 red-list is likely to heighten the stand-off with its neighbour Tanzaniaβ€”possibly leading to more trade wars between the two nations.

Mr Kibe said Precision Air has an existing traffic rights that will not be nullified on the account of the existing stalemate between Kenya and Tanzania.

Kenya Airways, whose traffic rights to Tanzania were still valid at the beginning of this month when the carrier resumed international flights, were revoked by the Tanzanian authorities on retaliatory grounds.

Tanzanian airline cancels plan to resume Nairobi flights
Three tribes dominate top government jobs, CS tells senators
Nenda kapambane na hari yako
 
Ukumbuke Watanzania hakuna kimsingi wanachofuata kenya, ina maana watalii siku hizi wanakuja moja kwa moja wanashuka Arusha, Dar, Zanzibar then wanaondoka moja kwa moja maana quaranteen ya kenya hawaitaki na ukumbuke Ethiopian Airline alikua na safari 4 kwa week now. Ana safari 14 kwa week
So unajaribu kumaanisha kwamba kabla ya hii standoff Kati ya Kenya naTanzania, watanzania walikuwa na mambo us msingi wanafuata Kenya? Acha kujidhalilisha mbele ya uma. Watanzania hamna uwezo wa kupanda ndege.

Huu uamuzi wa PrecisionAir ni dhihirisho wazi kwamba abiria wao wengi walikuwa ni wakenya ambao sasa hawawezi ingia Tanzania kutokana na huu utata. Swallow your pride and accept the truth
 
Mumekosa abiria na kushindwa, tatizo lenu chuki na uzembe, na ndio maana mtaendelea kuwa maskini kwa muda mrefu maana wivu na chuki huwatafuna.
Hizo chuki ndugu kumbuka kuna mbinguni. Utapata presha bure na matatizo ya akili. Punguza hasira hazitakufaidia chochote huwezi kufanya usiku kuwa mchana ata kama unakasirika milele. Umaskini unaosema ni tamithilia is nor reality..labda kama ukisema hivyo unajisikia vzr..its okay..endelea kuota. Au endelea kujidanganya na kudanganya wenzenu. Kenya imeizid tz kwa utajiri wa serekali ambao hauwasaidii wanancu wa kenya ukiwepo na wewe. Uchumi mdogo wa tz unashikiliwa na wananchi na ni tofauto kubwa sana na kenya ambao uchumi wao mkubwa unashikiliwa na watu wachache. Huo ndo ukweli...inabd ujiongeze kidogo tu kuelewa ukwwli unaokuuma hadi unajikuta unaropoko roppoka vitu usivyovijua. Unadhani ke kuizid tz kwenye GDP ndio tafsri ya umaskin wa raia zake pole sana. Hata hivyo hatutaki kuitwa matajati wa kwwnye makaratasi kama ninyi wezetu. Hatuoni fahari hio...ukienda nrb kuna magorofa mengi ghali lakin nikuulize ww unafaid ninj pale. Stupid kenyan
 
Zumbukuku hili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MK254,

Ndo ujue hatuna umuhimu na ninyi ila ninyi ndio munashida na sisi mirija ya uchumi wenu tumeushikilia Sisi
 
Hahahaha naangalia youtube hapa kuna video 9 za Tanzania zipo top 20 trending in Kenya, wakati toka dunia imekuwepo Hakuna video yoyote kutoka Kenya imetrend Tanzania.

Tanzania youtube trendy contents zote ni za Tanzania I think this is the only country in the world kutokua na outside contents trending within the country.
9 zitoke wapi[emoji23][emoji23]kwanza sai youtube ngoma zenu kenya ndio hazitrend haswa mpka huruma yani..
Wakenya sai wameshawaelewa km nyinyi ni wanafiki..
Km huamini kaangalie sai trendi 200 achana na 20 alafu uone km nyinyi mko na ngapi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
9 zitoke wapi[emoji23][emoji23]kwanza sai youtube ngoma zenu kenya ndio hazitrend haswa mpka huruma yani..
Wakenya sai wameshawaelewa km nyinyi ni wanafiki..
Km huamini kaangalie sai trendi 200 achana na 20 alafu uone km nyinyi mko na ngapi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha haya ushahidi huu hapa

Zipo on trending Kenya, wewe Leta video content hata 1 tu kutoka Kenya inayotrend Tanzania πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Screenshot_20200904-170803~2.png
Screenshot_20200904-170903~2.png
Screenshot_20200904-171001~2.png
Screenshot_20200904-171046~2.png
Screenshot_20200904-171119~2.png
Screenshot_20200904-171204~2.png
 
Hahahaha haya ushahidi huu hapa

Zipo on trending Kenya, wewe Leta video content hata 1 tu kutoka Kenya inayotrend Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 1558365View attachment 1558366View attachment 1558367View attachment 1558368View attachment 1558370View attachment 1558371
Bwahaha!!top 20 ndio unaturingishia hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Top 20 kenyan kuna nchi nyingi sana, sai tulipofikia tunakomaa na vya kwetu alafu wengine badae..
Wanafiki tumewaelewa
 
Hahahaha unaongea nini wewe mama? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hehee!!angalia tena kw mara ya pili top 20, wamarekank hta ndio kuna ngoma tatu[emoji23][emoji23][emoji23]
Tume wapa promo sawa lkn hamna fadhila kazi ni majungu tu[emoji382][emoji382][emoji382]
20200904_202704.jpg
20200904_202646.jpg
Screenshot_20200904-202544_YouTube.jpg
Screenshot_20200904-202536_YouTube.jpg
 
Hehee!!angalia tena kw mara ya pili top 20, wamarekank hta ndio kuna ngoma tatu[emoji23][emoji23][emoji23]
Tume wapa promo sawa lkn hamna fadhila kazi ni majungu tu[emoji382][emoji382][emoji382]View attachment 1558627View attachment 1558628View attachment 1558629View attachment 1558630
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yaani ninyi kuishi bila Tanzania ni impossible, haitotokea, tupo addictive kwenye vichwa vyenu sana, sijawahi kusoma comments huko YouTube na Instagram nikose wakenya wakijibaraguza kujipendekeza Tanzania, wengine mpaka wanakana ukenya wao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tena ninyi wa mombasani ndio balaa blue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom