Watanzania safari za Kenya zimewashinda licha ya kuachiwa uwanja wote

tuache kwenda mauritus, commoro, zambia, zimbabwe, TUENDE KENYA??????????????????
 
acha kushughulika na hilo zuzu maana mipango yao yote mibovu imebuma sasa yamebaki kuweweseka tu, kuomba msamaha yanaona aibu.
Si unaona kila siku wanalazimisha kukaa mezani tuwape suluhu,makelele ya nini sasa?wameanza wao sisi tumemaliza.
Kila siku najiuliza hawa kenya wana utajiri gani,angali wananchi wana ishi maisha magumu sana.
 
Si unaona kila siku wanalazimisha kukaa mezani tuwape suluhu,makelele ya nini sasa?wameanza wao sisi tumemaliza.
Kila siku najiuliza hawa kenya wana utajiri gani,angali wananchi wana ishi maisha magumu sana.
leta mada ni jinga sana, daily lilikua linasema afya wakenya ni muhim sasa tumesitisha safari limeumia badala ya kufurahi.
 
hujielewi dogo, precission air wana ubia na Kenya Air ways, kuiruhusu precission iende kenya ni sawa na kuiruhusu kenya air ways
huyo jamaa mjinga sana, alikua akihubiri afya ya wakenya muhim bt tumesitisha safari kaumia kweli, alafu mi najiuliza utampigaje mkwara mtu unaejua ukienda nae kwa ground atakupga?
 
Unaipenda sana Tanzania na unaifatilia kwa karibu,hadi alietoa kauli ya malofa unamjua,karibu ujiunge nasi

Hehehe mbona mliitwa malofa mchana peupe tena kwenye mkutano wa hadhara, anyway hakuna Mkenya anayeichukia Tanzania na Watanzania kimsingi tunalinda afya ya Wakenya kama kipau mbele, kupima lazima mpimwe kila mkija huku, na hilo linafanywa na majirani zenu wote ila ikifanywa na Wakenya mnapiga ukunga.
 
punguza ujuha we mjinga, kama mnalinda afya ya kenya kwa nini mnaumia sie kustisha safari?
 
punguza ujuha we mjinga, kama mnalinda afya ya kenya kwa nini mnaumia sie kustisha safari?

Wapi umeskia tumeumia, mbona unakua mshenzi, tunawachekelea kwa kushindwa baada ya kujaribu kutukwamisha, ndivyo ilivyo kawaida yenu hata huko kwenu, mnapenda sana kukwamishana ilmradi mkwame nyote, mnakosa kufahamu sisi uchumi wetu umezidi wenu karibia mara mbili, ukihangaika kutukwamisha utaumia mwenyewe.
 
Wewe huwa unawashwa washwa sana hasa unapoikumbuka nchi iitwayo Tanzania,yani kiroho kinakuuma sana,kinakukereketa,yani kimdudu wivu kinakusumbua ,ila ndio asili ya kuwa na jinsia ya kike.
Wanawake bhana huwa na wivu wivu wa ajabu ajabu sana.
Umeiombea mengi mabaya nchi Tanzania tangu kipindi cha Corona,ilaMungu ametulinda na anaendelea kutulina,wewe endelea kuomba tu uwe na wivu,WIVU NI ASILI KWA MWANAMKE,hatukushangai sana.
 
Three tribes dominate top government jobs, CS tells senators
 
Three tribes dominate top government jobs, CS tells senators
Nenda kapambane na hari yako
 
So unajaribu kumaanisha kwamba kabla ya hii standoff Kati ya Kenya naTanzania, watanzania walikuwa na mambo us msingi wanafuata Kenya? Acha kujidhalilisha mbele ya uma. Watanzania hamna uwezo wa kupanda ndege.

Huu uamuzi wa PrecisionAir ni dhihirisho wazi kwamba abiria wao wengi walikuwa ni wakenya ambao sasa hawawezi ingia Tanzania kutokana na huu utata. Swallow your pride and accept the truth
 
Mumekosa abiria na kushindwa, tatizo lenu chuki na uzembe, na ndio maana mtaendelea kuwa maskini kwa muda mrefu maana wivu na chuki huwatafuna.
Hizo chuki ndugu kumbuka kuna mbinguni. Utapata presha bure na matatizo ya akili. Punguza hasira hazitakufaidia chochote huwezi kufanya usiku kuwa mchana ata kama unakasirika milele. Umaskini unaosema ni tamithilia is nor reality..labda kama ukisema hivyo unajisikia vzr..its okay..endelea kuota. Au endelea kujidanganya na kudanganya wenzenu. Kenya imeizid tz kwa utajiri wa serekali ambao hauwasaidii wanancu wa kenya ukiwepo na wewe. Uchumi mdogo wa tz unashikiliwa na wananchi na ni tofauto kubwa sana na kenya ambao uchumi wao mkubwa unashikiliwa na watu wachache. Huo ndo ukweli...inabd ujiongeze kidogo tu kuelewa ukwwli unaokuuma hadi unajikuta unaropoko roppoka vitu usivyovijua. Unadhani ke kuizid tz kwenye GDP ndio tafsri ya umaskin wa raia zake pole sana. Hata hivyo hatutaki kuitwa matajati wa kwwnye makaratasi kama ninyi wezetu. Hatuoni fahari hio...ukienda nrb kuna magorofa mengi ghali lakin nikuulize ww unafaid ninj pale. Stupid kenyan
 
Zumbukuku hili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MK254,

Ndo ujue hatuna umuhimu na ninyi ila ninyi ndio munashida na sisi mirija ya uchumi wenu tumeushikilia Sisi
 
9 zitoke wapi[emoji23][emoji23]kwanza sai youtube ngoma zenu kenya ndio hazitrend haswa mpka huruma yani..
Wakenya sai wameshawaelewa km nyinyi ni wanafiki..
Km huamini kaangalie sai trendi 200 achana na 20 alafu uone km nyinyi mko na ngapi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha haya ushahidi huu hapa

Zipo on trending Kenya, wewe Leta video content hata 1 tu kutoka Kenya inayotrend Tanzania πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 
Bwahaha!!top 20 ndio unaturingishia hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Top 20 kenyan kuna nchi nyingi sana, sai tulipofikia tunakomaa na vya kwetu alafu wengine badae..
Wanafiki tumewaelewa
 
Hahahaha unaongea nini wewe mama? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hehee!!angalia tena kw mara ya pili top 20, wamarekank hta ndio kuna ngoma tatu[emoji23][emoji23][emoji23]
Tume wapa promo sawa lkn hamna fadhila kazi ni majungu tu[emoji382][emoji382][emoji382]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yaani ninyi kuishi bila Tanzania ni impossible, haitotokea, tupo addictive kwenye vichwa vyenu sana, sijawahi kusoma comments huko YouTube na Instagram nikose wakenya wakijibaraguza kujipendekeza Tanzania, wengine mpaka wanakana ukenya wao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tena ninyi wa mombasani ndio balaa blue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…