Kura ni siri ya mtu. Si rahisi kujua kila anachofikiria kila mpiga kura siku ya uchaguzi.Mimi mkuu ntawapigia CDM kura ya huruma, pia ntashawishi nandugu zangu huko kijijini ingawa waliniuliza eti yule alipigwa Lisasi karudi kugombea uraisi, nikawambia ndio wakasema wanamtaka huyohuyo, na watoto wao wasije wakapigwa risasi wanahitaji kiongozi mwenye huruma, alienda watetea watu huko nyamongo waliokuwa wanazikwa huku wakiwa hai.
Nonsense. Jibu hoja mtapata kura za huruma?
😁😁😁 style ni ileile ya uwazi
😁😁😁 style ni ileile ya uwazi
Mtaweweseka sana vichaaa nyinyi, anzeni kukusanya virago mapema, serikali mpya ya kamanda Tundu Lissu haicheki na kima wa Kijani
Hebu ziweke hapa hizo sifa za mgombea urais sio unabwabwaja tu!Tatizo. Anaweza Pia asfike hata kuwa mgombea. Na CDM wanajua. Shida yao Ni kuleta fujo. Lissu majuzi hakwenda mahakamani. Kesi ya 2017. Sio kwamba alijulikana atagombea ndo kesi imekuja hapana. Kesi ipo. Na unajua sifa za mgombea wa uraisi. So atakatwa na Tume ya uchaguzi. Ili waongee wakijua kabisa wangeshindwa. Ni Fujo tupu.
Zumari ndizo huwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani?Wacha kuwaumbua wapiga zumari mchana kweupe!
Mada ipi unayo? Acha matusi ya kishamba wewe iweje cyprian Musiba awavutishe Bangi bila kula na nyinyi mnakubali?Bora ukae kimya kuliko kudandia mada fala wewe.
Basi tulia mwanangu, hasira/ uchungu ulionao mobilize vijana kumi tu mkatae manyanyaso hayo ktk sanduku la kura October. Otherwise plan B itumike.Msaliti niyule asietaka watanzania tuishi kwa amani, yule aliemfunga Kabendera, akamsamehe Lugola kwa ubadhirifu wa mali za watanzania kisa kamwita Yesu, msalitu niyule alimpoteza Ben Saanane kisa kahoji U Dr. fake, msaliti niyule aliekula pesa za majanga Kagera, msaliti niyule alihonga nyumba za uma kwa mahawara zake, msaliti niyule alimpeleka Sundi nakumpa uofisa wa madini katika wizara ya madini, msaliti niyule aliekwapua tril 1.5, msaliti niyule asietaka watu wasafi Kama Prof Assad katika ofisi za uma, msaliti niyule alienunua vivuko vibovu baada yakuona wanasema sana akavikabidhi jeshini, msaliti niyule anaewaita watoto wawatu vilaza, huku wake akiwa alifeli form six nahaijulikan alifikaje chuo huyo ndio msaliti wa taifa ambae watanzania hatumtaki katika aridhi yetu.
Watanzania wanajua biashara ya makinikia ilikuwa ikifanyika kwa Siri licha ya kuhadaa watu kuwa imepigwa marufuku wasiojitambua watampigia kura anayewabambikia wanyonge kesi kesi, mpoteza mda mwingi na kesi badala ya maendeleo.Lisu wa Acacia na makinikia ambaye hata ukimuuliza ikulu anaitaka ya nini anaanza kukupigia hadithi za Alfu Lela u Lela watampa kura wasiojitambua
Kesi zenu haramu kesi za kutengeneza kesi za kubambikiwa mungu atasimama imara zote zitakwisha hata makaburu walitesa Mandela wee baadae wakaachia wenyewe,Tatizo. Anaweza Pia asfike hata kuwa mgombea. Na CDM wanajua. Shida yao Ni kuleta fujo. Lissu majuzi hakwenda mahakamani. Kesi ya 2017. Sio kwamba alijulikana atagombea ndo kesi imekuja hapana. Kesi ipo. Na unajua sifa za mgombea wa uraisi. So atakatwa na Tume ya uchaguzi. Ili waongee wakijua kabisa wangeshindwa. Ni Fujo tupu.
Orodhesha hapa hizo sifa za mgombea Urais, ama una bwabwaja tu kama wale WEHU wenzio walioshindwa kujenga choo kule Rufiji eeh?Tatizo. Anaweza Pia asfike hata kuwa mgombea. Na CDM wanajua. Shida yao Ni kuleta fujo. Lissu majuzi hakwenda mahakamani. Kesi ya 2017. Sio kwamba alijulikana atagombea ndo kesi imekuja hapana. Kesi ipo. Na unajua sifa za mgombea wa uraisi. So atakatwa na Tume ya uchaguzi. Ili waongee wakijua kabisa wangeshindwa. Ni Fujo tupu.
Ha ha ha ha watetezi wa CCM mitandaoni wote wapo gheto kwa cyprian Musiba wakivuta Bangi ndiyo maana utetezi wao mitandaoni unafanana sana kwani mwalimu wao wa kuwafundisha ujinga ni mmoja akisaidiwa na Le mutuz kubwa jinga zaidiKesi kesi kesi Yaani Tanzania imekuwa Taifa la kesi kesi kukomoana badala ya maendeleo pesa nyingi za viwanda kujenga vyuo mahospital zinapotelea kwenye kudhoofisha kuihujumu chadema badala ya maendeleo.