Msaliti niyule asietaka watanzania tuishi kwa amani, yule aliemfunga Kabendera, akamsamehe Lugola kwa ubadhirifu wa mali za watanzania kisa kamwita Yesu, msalitu niyule alimpoteza Ben Saanane kisa kahoji U Dr. fake, msaliti niyule aliekula pesa za majanga Kagera, msaliti niyule alihonga nyumba za uma kwa mahawara zake, msaliti niyule alimpeleka Sundi nakumpa uofisa wa madini katika wizara ya madini, msaliti niyule aliekwapua tril 1.5, msaliti niyule asietaka watu wasafi Kama Prof Assad katika ofisi za uma, msaliti niyule alienunua vivuko vibovu baada yakuona wanasema sana akavikabidhi jeshini, msaliti niyule anaewaita watoto wawatu vilaza, huku wake akiwa alifeli form six nahaijulikan alifikaje chuo huyo ndio msaliti wa taifa ambae watanzania hatumtaki katika aridhi yetu.