Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchangia vijana kama mtaji au fursa

Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchangia vijana kama mtaji au fursa

Akilindogosana

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2020
Posts
4,303
Reaction score
12,679
Heri ya mwaka mpya 2023.

Moja kwa moja kwenye mada

Mwaka jana 2022, kama majobless wengine niliendelea kuhudhuria interview mbalimbali za utumishi na sehemu nyingine nyingi sana. Kitu nilichoona naona majobless wanaongezeka sana sio kama zamani nilivyokuwa nikiwaona. Yaani naona makutano na mafuriko ya watu wakiendelea kuomba kazi.

Wengine ni wadogo zangu kabisa 😂😂😂 napiga nao pepa. Sasa kuna kitu nimekiona nimeona nitoe wazo. Kwenye interview huwa nakutana na masela zangu wa zamani na wenyewe wapo kwenye mpambano wa kutafuta kazi. Wengine ni wachovu kama mimi 😂😂😂.

Ila nashangaa nakutana pia na wengine ambao kwao mambo safi na wenyewe wapo kwenye interview. Huwa nawauliza. Hivi ninyi kwenu si wakusuport uanzishe kitu? Unajua kimasiharamasihara unaeza kufika miaka 50 bado unatafuta kazi au unajitolea?

Unakuta mwingine kwao mzazi anamuweka ndani tu. Ila nje kuna magari makali, harrier, vanguard, prado e.t.c unakuta mzee wake anacheo kwenye serikali au sekta binafsi pia anazonyumba kadhaa za wapangaji ila dogo yupo ndani hawamsuport. Wanampa hela ya kwenda kwenye interview tu na miaka inaenda. Au anajitolea kwerikweri 😂😂😂😂😂.

Wengine unakuta wazee wake wapo vizuri ila wana misimamo ya kizee kwamba ajira ndio kila kitu. Kila siku wanamuuliza dogo, mbona hautafuti ajira? Hao wazee huwa ni wakishamba sana wanadhani miaka hii ajira inapatikana kirahisi kama enzi zao, ukimaliza form four tayari una ajira 😂😂😂😂.

Pia kuna wengine wazee wao wanataka dogo asome zaidi ili apate kazi, unakuta mzee anamlazimisha dogo asome masters na PhD eti ndio itamsaida 😂😂😂😂😂.

Kwa niaba ya majobless wengine naomba kuwaambia wazee wote wenye itikadi hizo. Ajira sio rahisi kama enzi zenu za miaka ya 60,70,80,90. Siku hizi watu ni mafuriko. Masters ni nyingi sana na ajira ni ngumu kwerikweri 😂😂😂😂😂.

Suluhisho ni sisi waTanzania tuanzishe utaratibu mpya wa kumaliza tatizo la ajira kwa ngazi ya familia.

Utaratibu ni kuchanga hela angalau mtoto apate mtaji au afanye partneship aanzishe mradi anaoona unafaa. Kama mnachanga mamilioni kwa ajili ya harusi, sendoff, kitchen party kwanini usimsaidie mwanao? Kama unahela za kujenga majumba ya wapangaji kwa mamilioni halafu unaambulia vilaki 3 kwa mwezi kwanini usimsaidie mwanao?

Kama unahela za kununua magari, kluger, harrier, vanguard, kwanini usimsaidie mwanao?
Kama upo tayari kumsomesha mwanao masters na PhD kwa mamilioni halafu akose ajira, kwanini usimsaidie mwanao mtaji?

Muda umefika ninyi wenye angalau uwezo msaidie watoto wenu angalau mtoto apate mtaji wa kujiajiri au pawe na ushirikiano wa kifamilia kusaidia watoto majobless. Msipofanya hivyo mtashtukia mtoto anafikisha miaka 50 hana ajira wala chanzo chochote cha mapato 😂😂😂 wala bila familia.

Natoa siri hii ila usimwambie mtu "VIJANA WENGI WA KIUME HAWAOI SIKUHIZI, KWASABABU HAWANA AJIRA WALA VYANZO VYA MAPATO VYA KUELEWEKA" na "MTOTO HALI CHETI".

Naomba viongozi wa dini msaidie kufikisha ujumbe huu, misikitini na makanisani. Suluhisho la ukosefu wa ajira sio maombezi pekee. Masheikh, Maustadh, Mapadri, Maaskofu, Mitume, Manabii, Wachungaji na watumishi wa Mungu naomba mfikishe ujumbe na Mungu atawabariki.

NB:
1. Huu ujumbe uko dedicated kwa wazee ambao pesa wanayo ila hawana connection ya kuwasaidia watoto majobless. Sisi tunaotokea maisha ya kuungaunga tunakutana ajiraportal 😂😂😂.

2. Mtoto atakayepewa mtaji lazima afanyiwe due diligence mapema mwenendo wa tabia yake asije akahonga hela yote 😂😂😂.

3. Utafiti wa kina wa gharama na makadirio halisi wa mradi lazima ufanyike kwa kina bila papara.

Wengine mtaboresha zaidi.

Samahani kama kuna mtu atakwazika kwa maoni yangu.

Nawatakia mwaka 2023 wenye mafanikio.

Forward huu ujumbe kwa wazazi wote mnaowajua. Au hata kwenye magroup yoyote. Ujumbe ufike. Hasahasa mzazi mweye mtoto jobless au anayejitolea.
 
Umeandika kitu cha maana sana. Wahindi na waarabu biashara zao ndio zinatoa ajira kwa watoto wao hapa Tz. Ndio maana kwemye hizo interviews huwezi kugongana na watoto wa kihindi.
Kweli aisee. Toka nimeingia kwenye sekta ya ujobless, sijawahi ona muhindi au muarabu kwenye interview za ajiraportal au za tamisemi 😂😂😂
 
Naomba viongozi wa dini msadie kufikisha ujumbe huu, misikitini na makanisani. Suluhisho la ukosefu wa ajira sio maombezi pekee. Masheikh, Maustadh, Mapadri, Maaskofu, Mitume, Manabii, Wachungaji na watumishi wa Mungu naomba mfikishe ujumbe na Mungu atawabariki.
Pia watu maarufu kwenye mitandao tafadhali saidieni kufikisha ujumbe huu huko Facebook, Instagram, Twitter, YouTube. Hata vyombo vya habari kama, radio, tv, magazeti fikisheni ujumbe
 
Umeandika kitu cha maana sana. Wahindi na waarabu biashara zao ndio zinatoa ajira kwa watoto wao hapa Tz. Ndio maana kwemye hizo interviews huwezi kugongana na watoto wa kihindi.
Wahindi kufanya biashara siyo lazima awe na mtaji.

Akishakodi godown au frame anaweza kuchukua bidhaa za kuuza kwa mali kauli kwenye viwanda vya wahindi wenzao.
 
Hebu nichangie mtazamo wangu kwenye hili.

Mtaji wa kwanza ni nguvu zako mwenyewe. Kama vijana ni lazima ujitume katika kazi mbalimbali na uonyeshe uwezo wa kujisimamia kabla ya kupokea huo mtaji. Haijalishi ni kazi ya namna gani ila ni lazima uweke aibu kando na kuifanya.


Kwa mfano mm binafsi nakumbuka nimeshauza barafu nikiwa graduate. Nilipopanga palikuwa na wapangaji wengine, nikanunua vitu vingine kama sabuni, pipi,soda na vingine nikaanza kuuzia wapangaji kidogo kidogo. Baada ya muda Mungu akanibariki nikapata frame nikalipia nikaanza rasmi.

Kwa kweli hata sikupata support ya nyumbani na hii imenisaidia kuheshimu wateja na biashara pia.

Niwashauri vijana wenzangu, maisha siyo rahisi kama mnavyofikiria. Mkilalamika kuwa hampewi mitaji mnajichelewesha wenyewe kwenye kutimiza ndoto zako. Kwanza jiulize huyo unaetaka akupe mtaji yeye alipewa na nani mtaji wake??? Hapo ulipo tumia kila ulichonacho bila kujali kuwa nyumbani kuna Prado wala Harrier, toka angalia hata fursa ya ya kupata hela ndogo tu kwa Siku ila amini Mungu kuwa baada ya muda utafika mbali.

Mtaji upo mikononi na akilini mwako. Weka aibu pembeni ingia fanya chochote. Tizama hata vitu mnavyotumia hapo nyumbani kwa wingi uangalie pia upatikanaji wake na pia kwa namna unavyoweza kuwasaidia wengine kuvipata. Ukifanya hivi utajulikana na tayari utakuwa umeingia kwenye kutengeneza kipato.
 
What ypu said is very logical.
Naomba niongezee kidogo kama hutojali.
Nadhani ni vyema pia suala la watoto kufu dishwa kuhusu biashara na ujasiriamali lianze wakiwa wadogo kbsa kama home activity. Inakua kama extra curricular activity ili kumjengea mtoto uwezo as he/she grows up on how to handle a business.
Wengi watakaopewa mitaji bila mosingi ya kujua biashara zinafanywaje in most cases wataishia kuchoma mitaji na kuonekana kizazi cha hovyo.
Wenzetu wahindi na waarabu watoto wanapata hands on experience kwenye biashara kias kwamba wanapofika umri wa kupewa kianzio tayari wanajua how to manage the business.
Ni wazo zuri. Ubarikiwe
 
What ypu said is very logical.
Naomba niongezee kidogo kama hutojali.
Nadhani ni vyema pia suala la watoto kufu dishwa kuhusu biashara na ujasiriamali lianze wakiwa wadogo kbsa kama home activity. Inakua kama extra curricular activity ili kumjengea mtoto uwezo as he/she grows up on how to handle a business.
Wengi watakaopewa mitaji bila mosingi ya kujua biashara zinafanywaje in most cases wataishia kuchoma mitaji na kuonekana kizazi cha hovyo.
Wenzetu wahindi na waarabu watoto wanapata hands on experience kwenye biashara kias kwamba wanapofika umri wa kupewa kianzio tayari wanajua how to manage the business.
Ni wazo zuri. Ubarikiwe
Kila kitu huwa kina mwanzo. Bahati mbaya familia nyingi unakuta mzee ana cheo au alikuwa na cheo ofisi fulani miaka 20-30 mpaka anastaafu. Sasa mtoto unadhani asipoanza hivyohivyo itakuwaje? Inabidi mtoto aanze hivyohivyo mengine atayajulia mbeleni. Labda kama unalowazo la kuboresha au wazo mbadala
 
Kila kitu huwa kina mwanzo. Bahati mbaya familia nyingi unakuta mzee ana cheo au alikuwa na cheo ofisi fulani miaka 20-30 mpaka anastaafu. Sasa mtoto unadhani asipoanza hivyohivyo itakuwaje? Inabidi mtoto aanze hivyohivyo mengine atayajulia mbeleni. Labda kama unalowazo la kuboresha au wazo mbadala
I see your logic mkuu,
But ujue ktk jamii yetu, kuna makundi mawili ya vijana ambao wako jobless,
1. Ni lile kundi mimi naita laini. Wako jobless lakini kwakua wanaishi mzazi hotel uchungu wa life wanao kama 40% maana deep i side wameshazoea kubweteka na uwezo wa kupiga draft mezani kwenye hotpot
2. Kundi la pili ndo wale ambaowana uchungu uliopitiliza due to msoto wa kukaa bila ramani.
Between hawa 2, the second group ndo ina uhakika zaidi wa kufanikiwa after kuwezeshwA .
 
I see your logic mkuu,
But ujue ktk jamii yetu, kuna makundi mawili ya vijana ambao wako jobless,
1. Ni lile kundi mimi naita laini. Wako jobless lakini kwakua wanaishi mzazi hotel uchungu wa life wanao kama 40% maana deep i side wameshazoea kubweteka na uwezo wa kupiga draft mezani kwenye hotpot
2. Kundi la pili ndo wale ambaowana uchungu uliopitiliza due to msoto wa kukaa bila ramani.
Between hawa 2, the second group ndo ina uhakika zaidi wa kufanikiwa after kuwezeshwA .
Mimi binafsi ni basi tu sina wazazi au ndugu wenye hela wa kunisuport. Ningekuwa nao ningetoboa. Kinachonishangaza nakutana na washkaji ambao kwao pesa ipo nayeye yupo kwenye interview na miaka inaenda, mwisho waje kupata kazi Mpwapwa ndani ndani wakateseke huko 😂😂
 
Heri ya mwaka mpya 2023.


Moja kwa moja kwenye mada

Mwaka jana 2022, kama majobless wengine niliendelea kuhudhuria interview mbalimbali za utumishi na sehemu nyingine nyingi sana. Kitu nilichoona naona majobless wanaongezeka sana sio kama zamani nilivyokuwa nikiwaona. Yaani naona makutano na mafuriko ya watu wakiendelea kuomba kazi. Wengine ni wadogo zangu kabisa 😂😂😂 napiga nao pepa. Sasa kuna kitu nimekiona nimeona nitoe wazo. Kwenye interview huwa nakutana na masela zangu wa zamani na wenyewe wapo kwenye mpambano wa kutafuta kazi. Wengine ni wachovu kama mimi 😂😂😂. Ila nashangaa nakutana pia na wengine ambao kwao mambo safi na wenyewe wapo kwenye interview. Huwa nawauliza. Hivi ninyi kwenu si wakusuport uanzishe kitu? Unajua kimasiharamasihara unaeza kufika miaka 50 bado unayafuta kazi au unajitolea?

Unakuta mwingine kwao mzazi anamuweka ndani tu. Ila nje kuna magari makali, harrier, vanguard, prado e.t.c unakuta mzee wake anacheo kwenye serikali au sekta binafsi pia anazonyumba kadhaa za wapangaji ila dogo yupo ndani hawamsuport. Wanampahela ya kwenda kwenye interview tu na miaka inaenda. Au anajitolea kwerikweri 😂😂😂😂😂.


Wengine unakuta wazee wake wapo vizuri ila wana misimamo ya kizee kwamba ajira ndio kila kitu. Kila siku wanamuuliza dogo, mbona hautafuti ajira? Hao wazee huwa ni wakishamba sana wanadhani miaka hii ajira inapatikana kirahisi kama enzi zao, ukimaliza form four tayari una ajira 😂😂😂😂.



Pia kuna wengine wazee wao wanataka dogo asome zaidi ili apate kazi, unakuta mzee anamlazimisha dogo asome masters na PhD eti ndio itamsaida 😂😂😂😂😂



Kwa niaba ya majobless wengine naomba kuwaambia wazee wote wenye itakadi hizo. Ajira sio rahisi kama enzi zenu za miaka ya 60,70,80,90. Siku hizi watu ni mafuriko. Masters ni nyingi sana na ajira ni ngumu kwerikweri 😂😂😂😂😂.




Suluhisho ni sisi waTanzania tuanzishe utaratibu mpya wa kumaliza tatizo la ajira kwa ngazi ya familia.
Utaratibu ni kuchanga hela angalau mtoto apate mtaji au afanye partneship aanzishe mradi anaoona unafaa. Kama mnachanga mamilioni kwa ajili ya harusi, sendoff, kitchen party kwanini usimsaidie mwanao? Kama unahela za kujenga majumba ya wapangaji kwa mamilioni halafu unaambulia vilaki 3 kwa mwezi kwanini usimsaidie mwanao? Kama unahela za kununua magari, kluger, harrier, vanguard, kwanini usimsaidie mwanao?
Kama upo tayari kumsomesha mwanao masters na PhD kwa mamilioni halafu akose ajira, kwanini usimsaidie mwanao mtaji?


Muda umefika ninyi wenye angalau uwezo msaidie watoto wenu angalau mtoto apate mtaji wa kujiajiri au pawe na ushirikiano wa kifamilia kusaidia watoto majobless. Msipofanya hivyo mtashtukia mtoto anafikisha miaka 50 hana ajira wala chanzo chochote cha mapato 😂😂😂 wala bila familia. Natoa siri hii ila usimwambie mtu "VIJANA WENGI WA KIUME HAWAOI SIKUHIZI, KWASABABU HAWANA AJIRA WALA VYANZO VYA MAPATO VYA KUELEWEKA" na "MTOTO HALI CHETI"

NB:
1. Huu ujumbe uko dedicated kwa wazee ambao pesa wanayo ila hawana connection ya kuwasaidia watoto majobless. Sisi tunaotokea maisha ya kuungaunga tunakutana ajiraportal 😂😂😂.

2. Mtoto atakayepewa mtaji lazima afanyiwe due diligence mapema mwenendo wa tabia yake asije akahonga hela yote 😂😂😂


3. Utafiti wa kina wa gharama na makadirio halisi wa mradi lazima ufanyike kwa kina bila papara.





Wengine mtaboresha zaidi.

Samahani kama kuna mtu atakwazika kwa maoni yangu.



Nawatakia mwaka 2023 wenye mafanikio.

Forward huu ujumbe kwa wazazi wote mnaowajua. Au hata kwenye magroup yoyote. Ujumbe ufike. Hasahasa mzazi mweye mtoto jobless au anayejitolea.
Waliowengi nao ni vilaza pia, kijana amemaliza chuo kikuu ukimwambia simama hapo ujieleze kwa dk 15, anaona ni mwaka na anavyovieleza havieleweki.
 
Tabia ya mtanzania ni kupenda kuabudiwa na sifa kibao kwenye ukoo kwamba katoboa peke yake, sasa akusaidie wewe ili uanze kusifiwa kama wewe acha hizo brother.
😂


Dah! Yaani hiyo tabia na yenyewe ni kikwazo sana. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom