Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchangia vijana kama mtaji au fursa

Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchangia vijana kama mtaji au fursa

Tatizo la ajira kwa Tanzania ni kubwa kwani karibu kila wilaya una vyuo iwe afya au uhasibu au ualimu tena ndio maana hata leo hii manesi na madaktari wengi wapo mtaani hawana ajira kitu ambacho zamani hakikuepo hiyo sababu wasomi ni wengi leo nyumba chache hazina wasomi anzia vijijini hadi mijini, inatangazwa ajira 20 kwenye usaili mpo elfu sabini au laki unategemea upate kirahisi hakuna kitu kama hicho lazima ujiongeze kujichanganya mtaani kitu ambacho wasomi wanasahau na kuamini katika vyeti walivotoka navyo vyuoni.
 
Kwa ku add, Nchi hii ina ardhi nzuri tu kwa ajili ya kilimo

Vijana wanapaswa pia kuacha kufikiri kufanya miradi wakiwa individual, yaani kuwa na kiframe cha kuuza simu, laptops and etc!

Wanapaswa kujiunga angalau wawe hata 20 na zaid, wenye profession tofauti tofauti! Wapeane vitengo ndai ya hiyo organization yao, then waingie vijijini ndani huko! Watafute maeneo makubwa ekari kuanzia 30 and etc!!

Wanunue kwa pamoja na wafanye mradi wa pamoja!! Mfano wanaweza kuifaya organisation yao ya watu 20 kuwa ya ufugaji wa mbuzi, kuku,ng'ombe na kitimoto!!


watahitaji gross period ya kuanzia mwaka mzima kuja kuanza kupata profit, hapo wanafuga either wanauza kwenye viwanda vya nyama vilivyopo nchini lakini na wao wanafungua mabucha yao wakianza na mkoa mmoja mmoja mpaka nchi nzima baada ya miaka kadhaa!

Wanatafuta connection pia ya kuuza au kusafirisha nyama na ngozi kwa kuanzia humu humu barani afrika

Biashara kama hiz, vijana 20, kia mmoja akianza wa kuchagia milioni mbili, sawa na 40 milion!! mkiweka lengo comitment na wote mkaishi huko site mkaanza na hekari chache kama hata 10, kuna mahali bado hii nchi hekari inauzwa laki 250000, mna cleabushes wenyewe, mnajenga mabanda ya kuanzia wenyewe mnatafuta mifugo wenyewe ili kupunguza matumizi ya sio ya lazima trust me after 3 years mtatoa ajira nyingi zaidi


Fanya hivyo kwenye kulima, fanya hivyo kwenye gareji, kwenye kila kitu, jiungeni anzisheni joints wekezeni kwa pamoja kwa ukubwa zaidi, lazima mtoboe

Shida tunawaza starehe kwanza
 
Kwa ku add, Nchi hii ina ardhi nzuri tu kwa ajili ya kilimo

Vijana wanapaswa pia kuacha kufikiri kufanya miradi wakiwa individual, yaani kuwa na kiframe cha kuuza simu, laptops and etc!

Wanapaswa kujiunga angalau wawe hata 20 na zaid, wenye profession tofauti tofauti! Wapeane vitengo ndai ya hiyo organization yao, then waingie vijijini ndani huko! Watafute maeneo makubwa ekari kuanzia 30 and etc!!

Wanunue kwa pamoja na wafanye mradi wa pamoja!! Mfano wanaweza kuifaya organisation yao ya watu 20 kuwa ya ufugaji wa mbuzi, kuku,ng'ombe na kitimoto!!


watahitaji gross period ya kuanzia mwaka mzima kuja kuanza kupata profit, hapo wanafuga either wanauza kwenye viwanda vya nyama vilivyopo nchini lakini na wao wanafungua mabucha yao wakianza na mkoa mmoja mmoja mpaka nchi nzima baada ya miaka kadhaa!

Wanatafuta connection pia ya kuuza au kusafirisha nyama na ngozi kwa kuanzia humu humu barani afrika

Biashara kama hiz, vijana 20, kia mmoja akianza wa kuchagia milioni mbili, sawa na 40 milion!! mkiweka lengo comitment na wote mkaishi huko site mkaanza na hekari chache kama hata 10, kuna mahali bado hii nchi hekari inauzwa laki 250000, mna cleabushes wenyewe, mnajenga mabanda ya kuanzia wenyewe mnatafuta mifugo wenyewe ili kupunguza matumizi ya sio ya lazima trust me after 3 years mtatoa ajira nyingi zaidi


Fanya hivyo kwenye kulima, fanya hivyo kwenye gareji, kwenye kila kitu, jiungeni anzisheni joints wekezeni kwa pamoja kwa ukubwa zaidi, lazima mtoboe

Shida tunawaza starehe kwanza
Utawatoa wap mkuu na uo mtaji?
 
Kwa ku add, Nchi hii ina ardhi nzuri tu kwa ajili ya kilimo

Vijana wanapaswa pia kuacha kufikiri kufanya miradi wakiwa individual, yaani kuwa na kiframe cha kuuza simu, laptops and etc!

Wanapaswa kujiunga angalau wawe hata 20 na zaid, wenye profession tofauti tofauti! Wapeane vitengo ndai ya hiyo organization yao, then waingie vijijini ndani huko! Watafute maeneo makubwa ekari kuanzia 30 and etc!!

Wanunue kwa pamoja na wafanye mradi wa pamoja!! Mfano wanaweza kuifaya organisation yao ya watu 20 kuwa ya ufugaji wa mbuzi, kuku,ng'ombe na kitimoto!!


watahitaji gross period ya kuanzia mwaka mzima kuja kuanza kupata profit, hapo wanafuga either wanauza kwenye viwanda vya nyama vilivyopo nchini lakini na wao wanafungua mabucha yao wakianza na mkoa mmoja mmoja mpaka nchi nzima baada ya miaka kadhaa!

Wanatafuta connection pia ya kuuza au kusafirisha nyama na ngozi kwa kuanzia humu humu barani afrika

Biashara kama hiz, vijana 20, kia mmoja akianza wa kuchagia milioni mbili, sawa na 40 milion!! mkiweka lengo comitment na wote mkaishi huko site mkaanza na hekari chache kama hata 10, kuna mahali bado hii nchi hekari inauzwa laki 250000, mna cleabushes wenyewe, mnajenga mabanda ya kuanzia wenyewe mnatafuta mifugo wenyewe ili kupunguza matumizi ya sio ya lazima trust me after 3 years mtatoa ajira nyingi zaidi


Fanya hivyo kwenye kulima, fanya hivyo kwenye gareji, kwenye kila kitu, jiungeni anzisheni joints wekezeni kwa pamoja kwa ukubwa zaidi, lazima mtoboe

Shida tunawaza starehe kwanza
@Somaiyo mkuu Nikopeshe million mbili mkuu ili nikaungane na vijana wenzangu tufuge mbuzi wa maziwa sasa.
 
Unamwambia ajielezee nini? Katika mazingira gani? Na baada ya kujielezea unampa reward gani?
Kilaza mwingine huyu hapa.Reward gani? Kama hakuna kitu kwanin anakubali kujieleza
Uko kijijini wanatengeneza barabara, unaona kuna. Mitambo greda, skaveta, unashindwa kumfuata hata operater kumuomba akuelekeze japo umlipe chochote upate ujuzi ili ubaki unatafuta namna ya kupata leseni na cheti plus elimu uliyonayo utapata michongo huku ukitafuta ujuzi wa mitambo mingine lakini anzia mtaani, sasa wenzako wanashangaa mitambo na wewe unatoka kuishangaa huku mkipiga story za simba ya yanga au dimond na kiba elewa mtaa ndio utakutoa hakikisha una potential zaidi ya moja usikubali kumiliki vyeti pekee bila ujuzi wowote huyo baba yako anaejiweza ukishapata ujuzi halafu mweleze naomba niende shinyanga chuo cha serikali cha mitambo nikazuge miezi miwili nipate cheti ili niwe na leseni maana kuoperate mitambo naweza atakupa support kabisa na connection atatafuta bila hiyana
HUyo mtu wa kumwonyesha mtambo unavyooperate labda awe ndugu yake.
 
Serikali na TRA wajibu wao ni upi?


Serikali hawana mchango wowote au wao ni kuwakamua watu tu? Rejea Diamond na saga lake.

Rejea mikopo ya elimu ya juu Kwa ajili ya kulipia elimu kwenye vyuo vya umma kuliko vyuo private. Rejea msururu Kodi na tozo.

Rejea zinazoitwa bima za afya kuhakikisha wazima wamo ili.kulipia wagonjwa.

Rejea ajira na vyeo kuwa na hati miliki ya walio navyo na familia fulani fulani.

Rejea malipo na marupurupu manono kwa vigogo na kutolipa kwao kodi.

Rejea vigogo kutostaafu. Kina Lukuvi, Chikwette na wenzao wamekuwapo maofisini tangu lini?

Nk, nk.

Serikali haina afueni yoyote Kwa watu wake?
Duh! Mimi nimetoa maoni ili kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira kwa ngazi ya familia. Hasahasa zenye uwezo wa kifedha.


Ishu ya wajibu wa serikali mtashtukia mnasubiri sana kutatua, unakuta mtu anafikisha miaka 40-50 bila kazi au ramani 😂. Wale ni wanasiasa tu na akili zao zinawaza kushinda uchaguzi. Na msitegemee kuitoa ccm kwa kura za uchaguzi kwa maana jamaa wana historia ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi. Uchaguzi unakuwa ndoige, wakishinda ni kama wameshinda na wakishindwa ni kama wameshinda.

Na hakuna mtu muoga kama Mtanzania. Labda mkapindue serikali 😂
 
Tatizo sisi ngozi nyeusi hatuna akili. Yaan Kila kikundi kiwe cha ukoo, kazini, familia, ni kujadili michango ya kusaidiana kwenye misiba tu. Hata hivyo vinavyoitwa vikoba sometime ni upuuzi tu
Duh! Inabidi waswahili tubadilike
 
Heri ya mwaka mpya 2023.

Moja kwa moja kwenye mada

Mwaka jana 2022, kama majobless wengine niliendelea kuhudhuria interview mbalimbali za utumishi na sehemu nyingine nyingi sana. Kitu nilichoona naona majobless wanaongezeka sana sio kama zamani nilivyokuwa nikiwaona. Yaani naona makutano na mafuriko ya watu wakiendelea kuomba kazi.

Wengine ni wadogo zangu kabisa 😂😂😂 napiga nao pepa. Sasa kuna kitu nimekiona nimeona nitoe wazo. Kwenye interview huwa nakutana na masela zangu wa zamani na wenyewe wapo kwenye mpambano wa kutafuta kazi. Wengine ni wachovu kama mimi 😂😂😂.

Ila nashangaa nakutana pia na wengine ambao kwao mambo safi na wenyewe wapo kwenye interview. Huwa nawauliza. Hivi ninyi kwenu si wakusuport uanzishe kitu? Unajua kimasiharamasihara unaeza kufika miaka 50 bado unatafuta kazi au unajitolea?

Unakuta mwingine kwao mzazi anamuweka ndani tu. Ila nje kuna magari makali, harrier, vanguard, prado e.t.c unakuta mzee wake anacheo kwenye serikali au sekta binafsi pia anazonyumba kadhaa za wapangaji ila dogo yupo ndani hawamsuport. Wanampa hela ya kwenda kwenye interview tu na miaka inaenda. Au anajitolea kwerikweri 😂😂😂😂😂.

Wengine unakuta wazee wake wapo vizuri ila wana misimamo ya kizee kwamba ajira ndio kila kitu. Kila siku wanamuuliza dogo, mbona hautafuti ajira? Hao wazee huwa ni wakishamba sana wanadhani miaka hii ajira inapatikana kirahisi kama enzi zao, ukimaliza form four tayari una ajira 😂😂😂😂.

Pia kuna wengine wazee wao wanataka dogo asome zaidi ili apate kazi, unakuta mzee anamlazimisha dogo asome masters na PhD eti ndio itamsaida 😂😂😂😂😂.

Kwa niaba ya majobless wengine naomba kuwaambia wazee wote wenye itakadi hizo. Ajira sio rahisi kama enzi zenu za miaka ya 60,70,80,90. Siku hizi watu ni mafuriko. Masters ni nyingi sana na ajira ni ngumu kwerikweri 😂😂😂😂😂.

Suluhisho ni sisi waTanzania tuanzishe utaratibu mpya wa kumaliza tatizo la ajira kwa ngazi ya familia.

Utaratibu ni kuchanga hela angalau mtoto apate mtaji au afanye partneship aanzishe mradi anaoona unafaa. Kama mnachanga mamilioni kwa ajili ya harusi, sendoff, kitchen party kwanini usimsaidie mwanao? Kama unahela za kujenga majumba ya wapangaji kwa mamilioni halafu unaambulia vilaki 3 kwa mwezi kwanini usimsaidie mwanao?

Kama unahela za kununua magari, kluger, harrier, vanguard, kwanini usimsaidie mwanao?
Kama upo tayari kumsomesha mwanao masters na PhD kwa mamilioni halafu akose ajira, kwanini usimsaidie mwanao mtaji?

Muda umefika ninyi wenye angalau uwezo msaidie watoto wenu angalau mtoto apate mtaji wa kujiajiri au pawe na ushirikiano wa kifamilia kusaidia watoto majobless. Msipofanya hivyo mtashtukia mtoto anafikisha miaka 50 hana ajira wala chanzo chochote cha mapato 😂😂😂 wala bila familia.

Natoa siri hii ila usimwambie mtu "VIJANA WENGI WA KIUME HAWAOI SIKUHIZI, KWASABABU HAWANA AJIRA WALA VYANZO VYA MAPATO VYA KUELEWEKA" na "MTOTO HALI CHETI".

Naomba viongozi wa dini msaidie kufikisha ujumbe huu, misikitini na makanisani. Suluhisho la ukosefu wa ajira sio maombezi pekee. Masheikh, Maustadh, Mapadri, Maaskofu, Mitume, Manabii, Wachungaji na watumishi wa Mungu naomba mfikishe ujumbe na Mungu atawabariki.

NB:
1. Huu ujumbe uko dedicated kwa wazee ambao pesa wanayo ila hawana connection ya kuwasaidia watoto majobless. Sisi tunaotokea maisha ya kuungaunga tunakutana ajiraportal 😂😂😂.

2. Mtoto atakayepewa mtaji lazima afanyiwe due diligence mapema mwenendo wa tabia yake asije akahonga hela yote 😂😂😂.

3. Utafiti wa kina wa gharama na makadirio halisi wa mradi lazima ufanyike kwa kina bila papara.

Wengine mtaboresha zaidi.

Samahani kama kuna mtu atakwazika kwa maoni yangu.

Nawatakia mwaka 2023 wenye mafanikio.

Forward huu ujumbe kwa wazazi wote mnaowajua. Au hata kwenye magroup yoyote. Ujumbe ufike. Hasahasa mzazi mweye mtoto jobless au anayejitolea.
Tuwahchangie sisi nani alituchangia? Dawa siyo kuchangiana bali kuwajibisha viongozi wetu watumie raslimali zetu na madaraka tuliyowapa vizuri kwa faida yetu sote na siyo wao na magabacholi
 
Tuwahchangie sisi nani alituchangia? Dawa siyo kuchangiana bali kuwajibisha viongozi wetu watumie raslimali zetu na madaraka tuliyowapa vizuri kwa faida yetu sote na siyo wao na magabacholi
Asante sana kwa maoni.



Ila hapo kwenye viongozi, mtasubiri sana. Maana wapo bize na kulamba asali 😂😂😂. Pia mipango yao ni kushinda uchaguzi hata kwa wizi. Bora tatizo la ajira litatuliwe kifamilia.

NB: Hakuna mtu muoga kama Mtanzania. Kama mnataka mabadiliko ya uongozi, labda mkapindue serikali.
 
Asante sana kwa maoni.



Ila hapo kwenye viongozi, mtasubiri sana. Maana wapo bize na kulamba asali 😂😂😂. Pia mipango yao ni kushinda uchaguzi hata kwa wizi. Bora tatizo la ajira litatuliwe kifamilia.

NB: Hakuna mtu muoga kama Mtanzania. Kama mnataka mabadiliko ya uongozi, labda mkapindue serikali.
Watanzania ni binadamu sawa na wengine. Hayajawafika shingoni. Nenda kwa majirani zetu kama vile Kenya, Malawi, Msumbiji na kwingineko uone wanavyosota na kutia akilini na kubadilisha serikali. Hayajawafika uzuri
 
Watanzania ni binadamu sawa na wengine. Hayajawafika shingoni. Nenda kwa majirani zetu kama vile Kenya, Malawi, Msumbiji na kwingineko uone wanavyosota na kutia akilini na kubadilisha serikali. Hayajawafika uzuri
😂😂
Mtanzania hata maji yakimfikia puani yupo tayari kujigeuza samaki ili akae ndani ya maji.


Na wakubwa ni wajanja sana. Pesa za upigaji wanafinance secret mind control sectors ili vijana wapumbazike (brainwash). Pesa inaenda kwenye vyombo vya habari, bongofleva, matamasha, mchezo hasa simba na yanga. Mpaka mtu anasahau kuwa ana hali ngumu. Asubuhi mpaka jioni ni kuongelea simba na yanga, nchi inakuwa na wajinga wengiiiiiii. Wakati huku viongozi wanalamba asali 😂
 
  • Thanks
Reactions: A85
Wazo zuri sana, tatizo la ajira lishakua sugu halafu jamii imekariri kwamba kijana akimaliza elimu ya juu ni lazima aajiriwe na si kujiajiri inapelekea hata sisi vijana akili zetu kuzama huko kwenye kuajiriwa unashindwa kufikiria hata kamradi kadogo kakujiajiri
 
Wazo zuri sana, tatizo la ajira lishakua sugu halafu jamii imekariri kwamba kijana akimaliza elimu ya juu ni lazima aajiriwe na si kujiajiri inapelekea hata sisi vijana akili zetu kuzama huko kwenye kuajiriwa unashindwa kufikiria hata kamradi kadogo kakujiajiri
Tatizo lishakuwa sugu, mpaka linafichwafichwa. Utashtukia mtu anafika miaka 40-50 hana chanzo chake cha mapato wala ramani yoyote. Inatakiwa hili tatizo lianze kutatuliwa kwa ngazi ya familia hasa zile zenye uwezo.
 
Heri ya mwaka mpya 2023.

Moja kwa moja kwenye mada

Mwaka jana 2022, kama majobless wengine niliendelea kuhudhuria interview mbalimbali za utumishi na sehemu nyingine nyingi sana. Kitu nilichoona naona majobless wanaongezeka sana sio kama zamani nilivyokuwa nikiwaona. Yaani naona makutano na mafuriko ya watu wakiendelea kuomba kazi.

Wengine ni wadogo zangu kabisa 😂😂😂 napiga nao pepa. Sasa kuna kitu nimekiona nimeona nitoe wazo. Kwenye interview huwa nakutana na masela zangu wa zamani na wenyewe wapo kwenye mpambano wa kutafuta kazi. Wengine ni wachovu kama mimi 😂😂😂.

Ila nashangaa nakutana pia na wengine ambao kwao mambo safi na wenyewe wapo kwenye interview. Huwa nawauliza. Hivi ninyi kwenu si wakusuport uanzishe kitu? Unajua kimasiharamasihara unaeza kufika miaka 50 bado unatafuta kazi au unajitolea?

Unakuta mwingine kwao mzazi anamuweka ndani tu. Ila nje kuna magari makali, harrier, vanguard, prado e.t.c unakuta mzee wake anacheo kwenye serikali au sekta binafsi pia anazonyumba kadhaa za wapangaji ila dogo yupo ndani hawamsuport. Wanampa hela ya kwenda kwenye interview tu na miaka inaenda. Au anajitolea kwerikweri 😂😂😂😂😂.

Wengine unakuta wazee wake wapo vizuri ila wana misimamo ya kizee kwamba ajira ndio kila kitu. Kila siku wanamuuliza dogo, mbona hautafuti ajira? Hao wazee huwa ni wakishamba sana wanadhani miaka hii ajira inapatikana kirahisi kama enzi zao, ukimaliza form four tayari una ajira 😂😂😂😂.

Pia kuna wengine wazee wao wanataka dogo asome zaidi ili apate kazi, unakuta mzee anamlazimisha dogo asome masters na PhD eti ndio itamsaida 😂😂😂😂😂.

Kwa niaba ya majobless wengine naomba kuwaambia wazee wote wenye itakadi hizo. Ajira sio rahisi kama enzi zenu za miaka ya 60,70,80,90. Siku hizi watu ni mafuriko. Masters ni nyingi sana na ajira ni ngumu kwerikweri 😂😂😂😂😂.

Suluhisho ni sisi waTanzania tuanzishe utaratibu mpya wa kumaliza tatizo la ajira kwa ngazi ya familia.

Utaratibu ni kuchanga hela angalau mtoto apate mtaji au afanye partneship aanzishe mradi anaoona unafaa. Kama mnachanga mamilioni kwa ajili ya harusi, sendoff, kitchen party kwanini usimsaidie mwanao? Kama unahela za kujenga majumba ya wapangaji kwa mamilioni halafu unaambulia vilaki 3 kwa mwezi kwanini usimsaidie mwanao?

Kama unahela za kununua magari, kluger, harrier, vanguard, kwanini usimsaidie mwanao?
Kama upo tayari kumsomesha mwanao masters na PhD kwa mamilioni halafu akose ajira, kwanini usimsaidie mwanao mtaji?

Muda umefika ninyi wenye angalau uwezo msaidie watoto wenu angalau mtoto apate mtaji wa kujiajiri au pawe na ushirikiano wa kifamilia kusaidia watoto majobless. Msipofanya hivyo mtashtukia mtoto anafikisha miaka 50 hana ajira wala chanzo chochote cha mapato 😂😂😂 wala bila familia.

Natoa siri hii ila usimwambie mtu "VIJANA WENGI WA KIUME HAWAOI SIKUHIZI, KWASABABU HAWANA AJIRA WALA VYANZO VYA MAPATO VYA KUELEWEKA" na "MTOTO HALI CHETI".

Naomba viongozi wa dini msaidie kufikisha ujumbe huu, misikitini na makanisani. Suluhisho la ukosefu wa ajira sio maombezi pekee. Masheikh, Maustadh, Mapadri, Maaskofu, Mitume, Manabii, Wachungaji na watumishi wa Mungu naomba mfikishe ujumbe na Mungu atawabariki.

NB:
1. Huu ujumbe uko dedicated kwa wazee ambao pesa wanayo ila hawana connection ya kuwasaidia watoto majobless. Sisi tunaotokea maisha ya kuungaunga tunakutana ajiraportal 😂😂😂.

2. Mtoto atakayepewa mtaji lazima afanyiwe due diligence mapema mwenendo wa tabia yake asije akahonga hela yote 😂😂😂.

3. Utafiti wa kina wa gharama na makadirio halisi wa mradi lazima ufanyike kwa kina bila papara.

Wengine mtaboresha zaidi.

Samahani kama kuna mtu atakwazika kwa maoni yangu.

Nawatakia mwaka 2023 wenye mafanikio.

Forward huu ujumbe kwa wazazi wote mnaowajua. Au hata kwenye magroup yoyote. Ujumbe ufike. Hasahasa mzazi mweye mtoto jobless au anayejitolea.
Tungeanza mashuleni kwa watoto wetu mitaala iongezwe masomo mawawili muhimu financial management na ujasiriamali(sio kufundisha watoto kuuza pipi na machinga ila ni kutumia akili kupambanua fursa zilizopo duniani).

Pia serikali ingefanya elimu ya ufundi kuwa ya lazima na sio form 4 kama ilivyo sasa angalau kila kata kuwe na vyuo vya ufundi kama tutaweza hili after 20 years to come Tanzania itakuwa mfano duniani.
 
Wanachezea akili za watu. Muwe bize na Simba na Yanga. Huku wao wanalamba asali 😂😂😂
Sio kosa kuwa bize na michezo mm naona ni fursa ila kwetu ni tofauti kabisa pamoja na michezo hasa mpira kupedwa sana ila huoni serikali ikipush ili kuboresha mazingira na kuvutia watoto na vijana wengi zaidi wajiajiri humo ila kinachoonekana ni kama mpira umegeuzwa kuwa sehemu ya masikhara..

Always tanzaniz hatupogi serious ni mwendo mizaha mizaha kila sehemu.

Imagine investor mmoja tu azam ameweza kukuza mpira na boxing kwa kiwango kikubwa sana sasa kama serikali na yenyewe ikiwa serious tungekuwa wapi now..?
 
Back
Top Bottom