Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Mwendakuzimu alikuwa Mshamba sanaNamuona Kenyata anaenda kupiga kura akiwa hana rundo la maaskari na wanajeshi waliojihami kwa bunduki wakimzonga zonga
Huku kwetu wkt wa upigaji kura kule Dodoma tuliona Magu akiwa na lundo la wanajeshi wenye silaha za kivita utafikiri tupo Afghanistan