Watanzania tuchutame, Uchaguzi Mkuu nchini Kenya umetuacha uchi

Watanzania tuchutame, Uchaguzi Mkuu nchini Kenya umetuacha uchi

Namuona Kenyata anaenda kupiga kura akiwa hana rundo la maaskari na wanajeshi waliojihami kwa bunduki wakimzonga zonga

Huku kwetu wkt wa upigaji kura kule Dodoma tuliona Magu akiwa na lundo la wanajeshi wenye silaha za kivita utafikiri tupo Afghanistan
Mwendakuzimu alikuwa Mshamba sana
 
Ndugu yangu TUJITEGEMEE, hebu chutama kwanza. Pamoja na nyani kutoona kundule, naomba unipe jibu katika swala linaloleta huo utofauti...je kuna siri gani katika kuhesabu kura?

Kwamba kwenye chumba cha kuhesabu kura camera na simu ni marufuku? Kwamba matokeo ya kura kwenye vituo hivyo iwe marufuku kutangazwa hata na vituo vya habari na TV?
Ha ha haaa! Mkuu, niendelee kuchutama, ama nitoke sasa hali imekaa sawa.
===
Nadhani sasa uninanielewa kwa kinachoendelea, huko kwa Jirani.
 
Ha ha haaa! Mkuu, niendelee kuchutama, ama nitoke sasa hali imekaa sawa.
Endelea kuchutama. Kenya Tume HURU inasimamia uchaguzi, Tanzania Tume CCM husimamia uchaguzi, bila shaka hakuna unachojifunza kwani si kila moja wetu ana uwezo huo wa kujifunza.
Nadhani sasa uninanielewa kwa kinachoendelea, huko kwa Jirani.
Kuelewa nini ndugu yangu, hebu funguka...huko kwa jirani kunaendelea ninI!
 
Namuona Kenyata anaenda kupiga kura akiwa hana rundo la maaskari na wanajeshi waliojihami kwa bunduki wakimzonga zonga

Huku kwetu wkt wa upigaji kura kule Dodoma tuliona Magu akiwa na lundo la wanajeshi wenye silaha za kivita utafikiri tupo Afghanistan
Siku yake ilipofika yule mchukuaji wa roho aliingia kiulaini akiwaacha askari wakiendelea kumlinda
 
Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
 
Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
Come 2025,tutakuwa tumewapita mbali Sana kwenye masuala ya welfare..

Samia ni Suluhi ya changamoto za Tanzania.
 
Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
But elewa Kenyans wamepigania mno kufikia hali hii na kuna wakenya they pay with the highest price, tusisahau hili
 
Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
Siasa za maendeleo siasa za Civilized people.

DEEP STATE YA kenya usiilinganishe na ya Rwanda au Kongo.
 
Back
Top Bottom