Mwendakuzimu alikuwa Mshamba sanaNamuona Kenyata anaenda kupiga kura akiwa hana rundo la maaskari na wanajeshi waliojihami kwa bunduki wakimzonga zonga
Huku kwetu wkt wa upigaji kura kule Dodoma tuliona Magu akiwa na lundo la wanajeshi wenye silaha za kivita utafikiri tupo Afghanistan
Hata Jecha alikuwemoLile nduli lililokufa ndio liliharibu demokrasia yetu. Wachomaji huko jehanamu waongeze kuni
Ha ha haaa! Mkuu, niendelee kuchutama, ama nitoke sasa hali imekaa sawa.Ndugu yangu TUJITEGEMEE, hebu chutama kwanza. Pamoja na nyani kutoona kundule, naomba unipe jibu katika swala linaloleta huo utofauti...je kuna siri gani katika kuhesabu kura?
Kwamba kwenye chumba cha kuhesabu kura camera na simu ni marufuku? Kwamba matokeo ya kura kwenye vituo hivyo iwe marufuku kutangazwa hata na vituo vya habari na TV?
Endelea kuchutama. Kenya Tume HURU inasimamia uchaguzi, Tanzania Tume CCM husimamia uchaguzi, bila shaka hakuna unachojifunza kwani si kila moja wetu ana uwezo huo wa kujifunza.Ha ha haaa! Mkuu, niendelee kuchutama, ama nitoke sasa hali imekaa sawa.
Kuelewa nini ndugu yangu, hebu funguka...huko kwa jirani kunaendelea ninI!Nadhani sasa uninanielewa kwa kinachoendelea, huko kwa Jirani.
Siku yake ilipofika yule mchukuaji wa roho aliingia kiulaini akiwaacha askari wakiendelea kumlindaNamuona Kenyata anaenda kupiga kura akiwa hana rundo la maaskari na wanajeshi waliojihami kwa bunduki wakimzonga zonga
Huku kwetu wkt wa upigaji kura kule Dodoma tuliona Magu akiwa na lundo la wanajeshi wenye silaha za kivita utafikiri tupo Afghanistan
Come 2025,tutakuwa tumewapita mbali Sana kwenye masuala ya welfare..Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
But elewa Kenyans wamepigania mno kufikia hali hii na kuna wakenya they pay with the highest price, tusisahau hiliAisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
Kweli bwasheeBut elewa Kenyans wamepigania mno kufikia hali hii na kuna wakenya they pay with the highest price, tusisahau hili
Alitia onga mchuzi mix kwenye mchuzi uliokuwa ushapikwa kitaambo.Ndie aliongeza ukandamizaji, ukatili, uonezi, hawezi kuachwa.
Siasa za maendeleo siasa za Civilized people.Aisee wa nikupea utanipea wako mbali sana ,nimefuatilia uchaguz wao mpaka mate yamenitoka ,anyway wanaweza wakawa na mapungufu ila wakuu hii mijamaa iko vizuri ,wako smart, siyo huku kwetu ,uchaguzi haujulikani unafanywaje full ujambarika,mgombea urais upande wa upinzani amejaa matundu ya risas dah e mola tutafika link huko,
Hata sisi 2020 tulilipa gharama sema kuna kikundi fulani chenye nguvu kinapaswa kusimama na wananchi lakini chenyewe husimama na watawala.But elewa Kenyans wamepigania mno kufikia hali hii na kuna wakenya they pay with the highest price, tusisahau hili
Tuombe Mungu inshaallahCome 2025,tutakuwa tumewapita mbali Sana kwenye masuala ya welfare..
Samia ni Suluhi ya changamoto za Tanzania.
UnaotaCome 2025,tutakuwa tumewapita mbali Sana kwenye masuala ya welfare..
Samia ni Suluhi ya changamoto za Tanzania.
Sioti maana tunaona mambo ni moto mtaaniUnaota
Mmh! Samia hawezi, amezungukwa na mumianiSamia ni Suluhi ya changamoto za Tanzania.