google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Ccm wakichutama uniite mbwa niko pale nakusubiriaSina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.
Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.
Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na dunia nzima , bila kusubiri ruhusa ya wenye mtindio wa ubongo!
Nauna mkono hoja... kuni ziongezweeeeeeeee...........Lile nduli lililokufa ndio liliharibu demokrasia yetu. Wachomaji huko jehanamu waongeze kuni
Ule ilikuwa ni uchafuzi wa kitaahira kabisa.Ule ulikuwa ni Uchafuzi Mkuu.
Majizi hujilinda Sana!Namuona kenyata anaenda kupiga kura akiwa hana rundo la maaskari na wanajeshi waliojihami kwa bunduki wakimzonga zonga
Huku kwetu wkt wa upigaji kura kule dodoma tuliona magu akiwa na lundo la wanajeshi wenye silaha za kivita utafikiri tupo Afghanistan
Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.
Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.
Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na dunia nzima , bila kusubiri ruhusa ya wenye mtindio wa ubongo!
Wakianza kuuana ndio utajua hujui
Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?Hapa Tanzania ni nchi ya makondoo, huku wajinga wakiwa ndio wameshika madaraka. Kitu pekee Kenya wamekosea na kukubali akina JK kwenda kuwa wasimamizi wa uchaguzi wao, wakati akina JK ndio mabingwa wa siasa za kihayawani hapa nchini.
Kenya walistahili wafukuze hii minafiki ya Africa inajazana Kenya kuangalia uchaguzi wakati kwao kunawashindaMajizi hujilinda Sana!
Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?
Kenya walistahili wafukuze hii minafiki ya Africa inajazana Kenya kuangalia uchaguzi wakati kwao kunawashinda
Magufuli as an individual + enforcers wake walikusudia kupata faida gani kwa kuua vyama vya upinzani nchini ?Ule wa 2020 ulikuwa uchafuzi
Mungu ibariki KenyaSina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.
Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.
Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na dunia nzima , bila kusubiri ruhusa ya wenye mtindio wa ubongo!
Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?
Majizi ya CCM yazipoacha hiyo tabia ya hovyo, tutararuana kama wakenya. Ni suala la muda tu.Kenya mpaka wamefikia hapo walichapana na damu ikamwagika, naomba sisi tusipitie njia kama hiyo ila kuna mijitu inatulazimisha kufika uko kwa wizi wao wa kura
Hopeless comment of the week.Uchaguzi wa Kenya unasimamiwa na JK wa Tanzania, usisahau hilo we.bavicha
Hapo Kenya Kura zitaibwa na aliyeshindwa atakalia kitiKenya mpaka wamefikia hapo walichapana na damu ikamwagika, naomba sisi tusipitie njia kama hiyo ila kuna mijitu inatulazimisha kufika uko kwa wizi wao wa kura
Turaruane ili iweje!?..kararuane na shangazi yakoMajizi ya Ccm yazipoacha hiyo tabia ya hovyoooo , tutararuana kama wakenya. Ni suala la muda tu.
Hahaha.......makasiriko!Hopeless comment of the week.