Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uh - Oh!Najuta kwanini nilizaliwa hapa kwenye nchi ya makondoo.
Thats democracyTanzania kura huhesabiwa kwa siri gizani. Kenya zinahesabiwa hadharani kwenye mwanga!
Punguza upuuziUchaguzi wa Kenya unasimamiwa na JK wa Tanzania, usisahau hilo we.bavicha
Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.
Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.
Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na dunia nzima , bila kusubiri ruhusa
Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?
JK ni observer acha utoto.Uchaguzi wa Kenya unasimamiwa na JK wa Tanzania, usisahau hilo we.bavicha
Huyu jamaa mdomo wake tu unamshinda kufumba atauweza ustaarabu kweli?
Kwakweli sijui shida ni ule mwenge?Nchi imejaa wajinga na wapumbavu hii tutachutama vipi?
Watu wanawaza ngono, umbeya na mpira tu lkn mambo ya msingi wala hawaongelei
Ile sio tume ya NECHapo Kenya Kura zitaibwa na aliyeshindwa atakalia kiti
🤣🤣🤣huo ujasiri hawanaBwana Mkubwa Haki inachukuliwa ikibidi hata kwa nguvu,CCM pamoja na ukichaa wao sidhani &siamini kama wamefika hatua ya kukata tawi walilokalia
SahihiCCM waoga sana.waanze kutengeneza mazingira ya vyama vya kuhamia wakati watakapozikwa kama KANU akina Uhuru wakajump ship
😂😂😂🤣😁
🤣🤣🤣duuhCcm wakichutama uniite mbwa niko pale nakusubiria
Ndio hapo sasaEti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?
JK anasimamia au ni kiongozi wa waangalizi?Uchaguzi wa Kenya unasimamiwa na JK wa Tanzania, usisahau hilo we.bavicha
Halafu hata siyo kwamba ni kiongozi wa Waangalizi wote , ni kiongozi wa waangalizi wa Jumuiya ya Afrika mashariki tuJK anasimamia au ni kiongozi wa waangalizi?
Unaijuwa tofauti ya kuangalia na kusimamia? Umevimbiwa dogi?
Sio msimamizi.Uchaguzi wa Kenya unasimamiwa na JK wa Tanzania, usisahau hilo we.bavicha