Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Bado siamini, nitaendelea kusubiri official news kuhusu hili.
Yani mmeshaambiwa na hamsikitiki jamani?!
If it is true, I am saddened in my heart.
Watu washazoea Mkuu, lissu aliombewa mabaya sana, kisa hawako upande mmoja naye Wa kisiasa...watanzania tutubu.Sisi ni watanzania kwanza kabla ya yoteIsije kutokea wewe ndiye unamtakia mabaya
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanaapishwa lini ,mbona hatuoni tarehe ,mmmh
Hizi habari naona zimeenea sanaMama. Unanitisha jmn
Hili lijamaa ni lishakunaku
Huyo anatafuta pa kutokea mambo yamekuwa si mamboKama ile aliyopiga Chalamila wa Mby 🍺🍻
OK... But.. Matatizo?Hakukosea ilikuwa hivyo kabla ya matatizo. Ilipotokea matatizo ndo wamebadili.
Kumbuka Ratiba za Rais huandaliwa miezi mingi kabla
Mwanga wa JF akiwa kazini JF !Ni kama vile tumeshaingia ukumbini na tunasubiri director aanze kutuonesha senema ya kuogofya sana...
Kila mtu yuko kimya ukumbini... Hofu na sintofahamu vikiwa vimetanda... Senema haiji... Wana propaganda na wazee wa kurekebisha wako kazini kuhakikisha wapenzi watazamaji hawataruki senema ya kutisha sana itakapoanza..
Wapiga mayowe hayaa
Wapaparikaji haya
Washangiliaji hayaa
Wapiga vifijo nderemo na mahamham wote hayaa
Wapiga kwikwikwi wote mule mule
Director tuna hamu ya kuona muvi... Usitusubirishe sana
Naelekea kwa mama muuzaView attachment 1238660
Yees,hata me nimejiuliza mbona 'praise team' siwaoni kukanusha?! Tatizo nini ni Mic au speaker zimezingua?Kama ni mfuatiliaji angalia kama unaona post yeyote toka kwa kina Victorie et al (ambao walikuwa very vocal and adamant kuthibitisha otherwise mwanzoni habari hizi zilipoanza).
[emoji23][emoji23][emoji23]Huwa kuna utaratibu wa kuweka mambo sawa hasa nyakati zenye walakini. Key players huwa wana act normal mbele za kamera,behind the scene mchakato unaendelea.
Ingawa siamini yasemwayo, nitaamini TBC wakitangaza hizo fununu kuwa kweli.
Hapa nilipo viongozi wote hawajui kitu, yie mnajuje haya?! Au ndio ule UPEPO wa KISULISULI umeleta kware jangwani?!
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimetafuta Emoji ya BUNDI nimekosa [emoji210][emoji212][emoji213][emoji211]
Njoo st. Peters hapa mimi ndo niko hapa chuma kinasali hapa leoIwapo leo Jumapili tarehe 20-Oct-19 hatutahabarishwa Mhe. Rais wetu Mpendwa amesali kanisa gani kama tulivyozoeshwa na bwana Gerson Msigwa, ninawaomba Mlioko Chato mtuambie ni nini kinaendelea ikiwa ni pamojana kutujuza kama Kipenzi cha wengi,Rais wetu JPM yupo huko Likizo.
Hatujamsikia siku tatu au nne sasa na kwa style yake ya kutaka kuadress mambo kupitia live streaming pamoja na live coverage ya radios na television inatupa mashaka iwapo Mhe. yupo Chato kapumzika au vipi.
Kwa tunaomfahamu,Mhe. anaipenda Chato vibaya mno. Ameifanyia makubwa chato na mara zote huenda Chato mapumzikoni.
Kwa kuwa tumezoea kila mahali anakokuwepo lazima kishindo hasa cha wana usalama kiwepo inawezekana safari hii kaamua kwenda kimya kimya na kama mkuu wa nchi halazimiki kila anakokwenda itolewe taarifa. Lakini pilika pilika zisizo za kawaida pamoja na ulinzi wa kishindo vitadhihirika. Mlioko Chato tuambieni, Mhe yupo huko? Pale kwake kuna pilikapilika zipi? Ni Kipi kinaendelea huko?
Kama Mhe. yupo mapumzikoni namtakia mapumziko Mema, Mungu azidi kumpa nguvu, arejee kwenye majukumu yake kwa kasi na ari mpya.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
NaniMizimu yako ina a strong WiFi connection
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfikeAnamaanisha nini huyu ndugu na haya mafumbo yake, hata Zitto nae simwelewi leo kapost picha ya mama Samia, sijui hata
View attachment 1237148
Mamaaaa mamaaaa mamaaaaa ! Mamaaaa huyo mamaaaaa mamaaa huyooo mamaaa huyooo! Nyambafuuuu - haya isiraeli maliza kazi tujimwage majiani sasa kushangilia kama Diatta kafuga goli yaani
Yaani katika topic nilimuelewaga sana mwalimu wangu wa biology mama Matimbwa pale Mkwawa ni jinsi hii kitu inafanya kazi. Basi tu sikuwa dokta
Najisikia raha sana kusoma ibara ya 37(5) ya katibu yetu tukufu ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Najimwambafai sanaaaa yaani kuisoma - eeeh Mungu wa Isaka na Yakobo na iwe kama mapenzi yako yatakavyo..
View attachment 1237738
Mkuu huyu unamuonea, watu wengi kwa sasa wako hivi, kipindi lissu ametwangwa risasi baadhi ya watanzania unaambiwa walikesha baa.tuvumiliane tu.Tanzania yetu imefikishwa kubaya...Ktk wanawake niliokuwa nawaheshim humu ni pamoja nawewe,ila ktk hili swala naona unajitoa akili sijui kwanini! Hivi unawezaje kufurahiya matatizo ya mtu mwengine? Tena yaugonjwa?
Paukwa! Pakawa; Awamu ya kwanza.....
Vyovyote itakavyokuwa lazima mama anahusika. Ni samia? Wote hatujui hebu fuatana nami kufuatilia 'senema' hii hadi mwisho. Tafadhali usihame kitini kwako na ikiwezekana usihamishe chaneli kutoka kwenye kuibiwa kompyuta hadi kwingine. Tumalizie igizo hili hadi mwisho.
Nakutakia uangalizi mwema kabisa.