Hakuna aliyekuzuia ndugu, ila naona wewe ndo unataka kunizuia kufikiri!Akiliyo ina unyafuzi!
Yaani mtu atuzuie kufikiri?!
Kwani Kuna matatizo ?Hakukosea ilikuwa hivyo kabla ya matatizo. Ilipotokea matatizo ndo wamebadili.
Kumbuka Ratiba za Rais huandaliwa miezi mingi kabla
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfikeSasa kama mtu kapatwa na heart atack. Mama samia anahusikaje hapo?
Mh.yupo bize anaandaa muhutasari wa kesho kuhusiana na machache aliyobaini ziara zake namanyere na masasi endelea kumsubiri au kula ice cream hapo nje ushalipiwaNimewahi St. Peters misa ya kwanza hajatokea nasubiria hapa nje labda ya pili ataingia.
Kwani umeambiwa kuwa kiongozi anaumwa?Get well soon Mheshimiwa Rais. Tunakuombea na kuiombea nchi yetu. Sote binadamu tu wakosefu. Na mbora wetu ni yule anaemuogopa Mungu, kumuomba msamaha na kueneza upendo. Kwa amani na salama ya nchi yetu, eeh Mola Tujaalie kila lenye kheri nasi na ondosha lenye shari kwa nchi yetu. Mpe Rais wetu ponyo, busara na weledi wa kutuongoza bila ya matabaka.
Afanye TAFAKARI kwa ajili ya akina Zito?Kwani ye hajui nani nyoka na mwema?Mimi nakuambia % kubwa watu wanamuombea mema Magufuli. Hizi kelele unazoziona hata 1/3 ya watanzania haifiki
Ukiona mtu anazusha jua ni mwendawazimuKuna mzee mmoja namheshimu sana anasema dalili za awali za mtu kuugua ule ugonjwa wa kupelekwa Dodoma ni eitha kuwa mpole kupita kiasi na kujitenga au MTU kuwa mkali sana na kutukana hadharani au hata jukwaani msivyotegemea.
Sasa kikipanda ni kumtia kamba na kumpa madawa wakati mwingine ya kulala usingizi siku mbili nzima.
Huyu mzee anasema MTU huyo akizinduka basi atajulikana apelekwe Dodoma au atangazwe "huyu sasa basi dish limecheza"
Mimi nilimuelewa wewe jee?
Acha ujinga mkuu sio kula MTU anataka uteuzi wengine ni maskini tu wasio na kitu chochote Tanzania ni yetu sote raisi kachaguliwa na wananchi nyie mnao mtakia mabaya raisi wetu subilini tu moto unakolezwa tens naona ni wapumbavu tu wanao shabikia ujinga huuMataga ni kundi la vijana wajinga wajinga wanaofikiri kwa kutumia tumbo, wako tayari kulamba miguu hadi matako ya watawala ili wapate uteuzi.
Wao kwenye kila kitu huona kizuri tu na hata palipo na wizi, uporaji, unyasasaji, na uonevu wao mtesi huwa wanamwita mzalendo.
Kimsingi ni kundi la wajinga na wapumbavu.
kikawaida Tarehe ya kuapishwa huwa haikosekaniA4 ndo kawaida siku zote huwa hivyo
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfikeDunia haijawahi acha kuwafunza watu wakaidi ,"asiyefunzwa na ***** kuishi na watu atafunzwa na dunia"Karma is a bitch,apandacho mtu ndicho atakachovuna.Machozi ya wengi Mungu atayafuta.