Mda tu kakaUjerumani? Lini hiyo..wewe!
I am not a medical personnel, najiridhisha na correct definitions of new terms anyway!Ndo umekuwa bingwa wa kutafuta details. Nshomile bwana.
Ubaya ubayaLeo jf pamoto sana ..ila ni dalili zote zinaonesha kuna kitu hakiko sawa
Hata mimi sijui Kipi ni kipi mkuu? Kumbe ni ugonjwa wa kawaida?
Mimi sio msemaji wa Ikulu. Wanaangalia hali. Ila as time goes on. Kama hali ikideteriorate,which we dont wish. Ndo itabidi waseme.Sawa, nimekumbuka Victoire akisema kuwa organs zake ziko ngangari. Huyu ana taarifa za ndani lakini wala haanzishi thread ili kuondoa hii taharuki.
usinichukie tafadhali, mbona tu marafiki wema wa JF?Ndo umekuwa bingwa wa kutafuta details. Nshomile bwana.
Pole sana jamaniMbaya
AsanteePole sana jamani
Duh! Sikujua...Mda tu kaka
Naona unataka kunikaanga. Mimi nimeandika neno la kiphyziolojia Bradycardia. Wewe unaliletea details ili watu waelewe. Ungeacha hivyo hivyo.usinichukie tafadhali, mbona tu marafiki wema wa JF?
ATAELEZA nini waarabu wameshamuwahi na kiarabu hajui (ni ka ugonjwa tu kadogo atarejea)Na msiba anaongea na waandishi wa habari
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] usinisahau magomeni hapoBasi ngoja nielekee mnadani nikatafute Beberu ili nifanye sherehe
nisameheNaona unataka kunikaanga. Mimi nimeandika neno la kiphyziolojia Bradycardia. Wewe unaliletea details ili watu waelewe. Ungeacha hivyo hivyo.