Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Mama Samia yeye ni namba2 kwa hiyo mlango wa Chumba namba moja umefunguka kwa kudra za jalali.
 
Mzee ni mzima kabisa ila kinachompa ugonjwa wa moyo ni hizi comments zenu. Ivi mnamtaka rais wa namna gani? Legelege?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…