Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Hakuna aliye na hakika juu ya uvumi huu lakini so jambo la kawaida kwa serikali kuwa kimya mpaka mudaa huu , ni kwa asilimia nyingi yawezekana kweli mh hayupo katika hali yake ya kawaida
Na Kama ikiwa ni hivyo tunavyo dhani ndivyo basi tukio na utu pia kuguswa kwa namna moja au nyingine tumuuombee M/Mungu amnusuru na kila baya

Ameni
 
Je kama sio jirani yako!
 
Kama mnasubiri avute basi naomba kuwa taarifu Milango yakuzimu kamwe haitomuweza Rais wa jamuhuri Ya muungano wa Tanzania.

Atatikiswa ila hawawezi kuigusa roho yake. Nikweli nimkali ila ni kiongoz shupavu alie na maono ya kweli kwa taifa letu.
Chuki na hasira sio za wananchi ila kundi lawapumbavu na n vilaza fulani. Ndugu zangu kama vile jina lilivyopita ndivyo usalama wake utakuwa naye. Wanyonge wengi sana wamepata haki zao utawala huu na sishangai chuki hii nikwa kaz nzuri anafanya.

Rais amkuwa na ratiba ambayo sio yakawaida nauwenda imemchosha. Kiufupi uwenda sasa atafuwata ratiba nakupunguza kazi. Pia ningeshauri wafanyakaz wa Ikulu wampeleke watoto acheze nao huwa ni wazuri sana kupunguza stress.

Naiman baada ya mapumziko rais wetu atarud kulitumikia taifa lake.
Mungu ibariki tanzania na watu wake na Viongoz wake. Amen
 

Umesema ukweli tupu, ila siungi mkono mtu kutolewa kafara ili iwe mfano kwa wengine
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…