Sio Kila uzushi ni wa kujibu....wahusika wasakwe popote pale hata kama chini ya uvungu wa vitanda vyao wakamatwe na kushikishwa adabu ndiyo dawa yao....hatuwezi kuwa taifa la kuzusha zusha tu habari.mimi nashangaa kwanini mmlaka zipo kimya hadi uzushi huu unazidi kusambaa
So Wapinzani wakifanya walichofanya akina Musiba na Msukuma, jamii itakuwa inawaona wao ni waeneza chuki na wajinga tu kama inavyowaona akina Musiba na MsukumaMkuu umesahau kauli za msukuma, Musiba na kibajaji kipindi Lissu kapigwa risasi?
Na ukimwombea mtu kifo hafi. Ni kanuni iliyofichika. Patrick Balisidya aliimba wimbo "wema hawana maisha"Nawashangaa kwa kumuombea mabaya binadamu mwenzio,hata kama unamchukia kiasi gani,lakn inapofkia kumuombea kifo,hapo utu unakuwa umekutoka....u become an animal or something far than that!
Lisemwalo lipo mkuu!!We umejuaje kama yupo kitandani.
Unapenda kuamini Udaku udaku wakipuuzi..
Na si kila kitu lazima kijibiwe na upuuzi..
NTW ni maoni yako na sipaswi kuyapinga..
But vyombo vya habari vipo vingi,Je BBC hawajapata hii habari!?
DW pia!?
CNN je!?
Ooh hivyo vyote ni vya Tanzania!?
Ni nani walidhulumu haki za wanyonge?Kama mnasubiri avute basi naomba kuwa taarifu Milango yakuzimu kamwe haitomuweza Rais wa jamuhuri Ya muungano wa Tanzania.
Atatikiswa ila hawawezi kuigusa roho yake. Nikweli nimkali ila ni kiongoz shupavu alie na maono ya kweli kwa taifa letu.
Chuki na hasira sio za wananchi ila kundi lawapumbavu na n vilaza fulani. Ndugu zangu kama vile jina lilivyopita ndivyo usalama wake utakuwa naye. Wanyonge wengi sana wamepata haki zao utawala huu na sishangai chuki hii nikwa kaz nzuri anafanya.
Rais amkuwa na ratiba ambayo sio yakawaida nauwenda imemchosha. Kiufupi uwenda sasa atafuwata ratiba nakupunguza kazi. Pia ningeshauri wafanyakaz wa Ikulu wampeleke watoto acheze nao huwa ni wazuri sana kupunguza stress.
Naiman baada ya mapumziko rais wetu atarud kulitumikia taifa lake.
Mungu ibariki tanzania na watu wake na Viongoz wake. Amen
Post ya msigwa imenipa maswali mengi sana na imenifanya nijihisi huzuni sijui kwanini.
Ndicho ninachomaanisha, hata ndani ya hizi speculationswhy not, inawezekana akawa ndani ya hiyo 6% kama kweli kuna tatizo hilo maana hizi ni speculations!
*Wapiga madiliHakuna aliye na hakika juu ya uvumi huu lakini so jambo la kawaida kwa serikali kuwa kimya mpaka mudaa huu , ni kwa asilimia nyingi yawezekana kweli mh hayupo katika hali yake ya kawaida
Na Kama ikiwa ni hivyo tunavyo dhani ndivyo basi tukio na utu pia kuguswa kwa namna moja au nyingine tumuuombee M/Mungu amnusuru na kila baya
Ameni
Usituletee habari za kudhani.Hakuna aliye na hakika juu ya uvumi huu lakini so jambo la kawaida kwa serikali kuwa kimya mpaka mudaa huu , ni kwa asilimia nyingi yawezekana kweli mh hayupo katika hali yake ya kawaida
Na Kama ikiwa ni hivyo tunavyo dhani ndivyo basi tukio na utu pia kuguswa kwa namna moja au nyingine tumuuombee M/Mungu amnusuru na kila baya
Ameni
mimi nashangaa kwanini mmlaka zipo kimya hadi uzushi huu unazidi kusambaa