Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
...kwani kuna habari tena?
 
Kuna majinga hayampendi Rais wetu mpendwa na kwa taarifa yao JPM ataongoza hadi 2035
Tena yale ambayo hayajaajiriwa na yako mitaani miaka zaidi ya mi4 Sasa,huku SGR na ununuzi wa ndege ukiendelea.
 
Sasa mbona unarukaruka? Touch the point masasi kulitokea nn?
 
Leo asubuhi barabara ya kuelekea uwanja wandege walikua wanai clear labda mtu anataka kusafirishwa...
 
Huyu mwandishi wa hili gazeti itakuwa darasa la saba kabisa, haiwezekani unaitaja nchi halafu unaandika "tanzania" huu upuuzi ulopitiliza...
Mada nagoma kuchangia
 
Umeshamlaani tayari kama hujui. Ni YESU KRISTO WA NAZARETH pekee mwenye sifa hiyo ya kushinda mauti na kuzimu.
Yesu Kristo mbona alisha sepa kitambo sana sisi ambao bado tuko hai ndiyo mpaka sasa tumeishinda hiyo milango ya kuzimu!!
 
Umeambiwa na chanzo gani
 
Amen
 
Tutawasaka hao kwa kutoa taarifa uzushi iwe mfano kwa wengine
wewe mbona mzushi sana leo? taarifa yako ni ipi sasa
KUKANUSHA HUKANUSHI ila unattishia km vileunajua Akwilina yupo wapi Azori au Ben saanane
Wasemaji wa Serikali wapo Kanisani leo Jumapili kaenda kwanini usiturushie
acha Watanzania wanaojua mema au upendo wamtafute Kiongozi wao hata uvunguni
 
Na sio Tanzania tu, Afrika yote marais wa huko wana kazi gumu, raia wanawataka wawe kama Magufuli hususan kwenye vita dhidi ya ufisadi na mabeberu.
Yeye kapambana na ufisadi UPI hapa donor country?
Nipo api mahakama ya mafisadi?I wapi Katiba ya wananchi ambayo ingemsaidia sana kutengeneza mifumo mafhubuti ya kulinusuru Taiga dhidi ya ufisadi/mafisadi?
Anaonekana kuwa anacheza tayari bado hadi sasa.
Matumaini pekee ni kuhakikisha tunahuisha mchakato wa katiba ya Jaji Warioba.
 
Tutawasaka hao kwa kutoa taarifa uzushi iwe mfano kwa wengine
Ukweli na uongo ni kama mafuta na maji. Huwa havichanganyiki. Na uwongo ukirudiwarudiwa sana pasipo kuweka bayana ukweli halisi ndivyo jinsi uongo unavyoenea kwa kasi na kusadikika. Kama hizi taarifa hazina ukweli, basi wenye mamlaka wajitokeze na kuweka ukweli mezani. Vinginevyo tunatengeneza taharuki isiyo na maana hasa ukizingatia tunaenda kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa na leo tupo kwenye Uchaguzi wetu wa ndani. Gumzo kuu ni hilo jambo.
Yapo matukio ambayo tumekuwa tukiwaona wasemaji wa serikali wanajitokeza na kukanusha pindi zinapojitokeza taarifa zenye 'uongo'. Lakini kwa muda wa siku tatu wenye taarifa wapo kimya huku wenye kuzusha ndio wanatawala majukwaa ya habari, ifike mahala huu uzushi ufifishwe kwa kuupatia ukweli.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…