Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Well said kch wanatengene chuki za kijinga ndyo maan hata wanao hamia kwenye chama chao wanakimbia
 
Ulinzi wa mabunduki na magari ndio yatazuia uchawi kuingia?

Y’all niggas be serious at times!

If you could please take time to read between the lines ungegundua kuwa I am serious all the time.
Huo ulinzi unaousemea nao utatumika tena wazi wazi kabisa siku za usoni!
 
Tena ni tabia za kishetani kuwaombea wenzetu mabaya.
Kuna jamaa alikuwa anauliza "nani yule aliyetelekeza jimbo" anajifanya hamfahamu kwa jina wakati mwenzake amepoteza zaidi ya mwaka kitandani kutoka katika jaribio la kuuawa. Sio poa kwa kweli . Binafsi namuombea Heri Mr President. Vyovyote iwavyo naamini kuna la kujifunza kuhusu thamani ya UHAI.
 
Umenena vyema. Watueleze waache kuzunguka zunguka. We can. Yes we can. !!
 
Bila kujitambulisha Mimi ni. Nani kwa taarifa tu mh.RAis yupo salama wala haumwi ni mzima wa afya tele sema aliamua kupumzika kidogo baada uchovu wa ziara yake huko kusini ,na Leo tulikuwa nae tunapata chai ya asubuhi akiwa safiii kabisa hats mafua hana ,so msiwasiwasikilize hao wanaozusha zusha uongo.
 
Well said kch wanatengene chuki za kijinga ndyo maan hata wanao hamia kwenye chama chao wanakimbia
waendelee tu kusema kuna chuki,na wajitahidi kuzitengeneza,halafu wakikosa kura wanasema wameonewa,unavojenga chuki wananchi hawajui?nani anataka kufa kwa chuki mnazizijenga?
 
Hivi Kuna kiongozi yeyote au msemaji yeyote wa Upinzani katoa Taarifa yeyote kuhusu haya?
 
Chuki ipo ushahidi hii picha ya lissu then ndu..gay anasema hajui alipo, Je, huo ni upendo kwa mujibu wenu #MATAGA?

Then JIWE Anasema kwamba Jimbo lilitelekezwa!!
Na wazi ikijulikana kilichompata.
 
Usiseme watanzania sema mademu kama wewe sie tuna wapenzi wetu sio huyo mpenzi wako
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…