Nyie mwombeeni aishi, siye tuache tunaomuombea aondoke. Mwisho wa siku tutaona mshindi wala msi panick.BINADAMU tumekuwa sawa na wanyama.Tunajadili maisha ya Kiongozi Wa Nchi kimzaha mzaha sana badala ya kumwombea (ingawa huu ni uzushi wa mchana kweupe).
Hivi vitu vya kuzusha na kushadidia uzushi siyo kabisa.Hivi mtu ukiambiwa prove beyond reasonable doubt itawezekana kweli?
Jamani tuombeane mema hata kama kwenye siasa tunatofautiana mawazo.
Tusipotoshane.
Ngoja hata akinusurika aone anavyochukiwa.Huu ni mtihani....kunyamaza ni busara...kuna kuabika huko mbele kwa wale washangiliaji.
Safi sana!37(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais
kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu
kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa
kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais
ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi
cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya
40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka
Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na
uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua
asilimia hamsini ya Wabunge wote.
Lakini dhahili tumekuona tamanio lako la kifo. Kutamani ni dhambi sawa na kutenda. Umebakiza kutenda tu.Sijamtaja MTU lakini
Kwani huku mtandaoni ndiyo watanzania wote walipo? Huku wamejaa wabeba mabox na mawakala.wa mafisadi!!Umejaribu kutafakari kwa nini hali hiyo inajitokeza sasa? 1999 kama ulikuwa mkubwa utakumbuka hali ya tahayari ilivyokuwa wakati mwalimu (tena akiwa hana cheo chochote) akiwa mgonjwa kalazwa hospitali.
Hivi karibuni uliona mwitikio wa watu sio CCM tuu, hata wapenzi wa vyama vya upinzani walivyokuwa wamoja katika kumuombea afya njema JK alipokuwa amelazwa US.
BM naye alilazwa ingawa hakuwa hatarini, kule ulaya kwa matatizo ya miguu. Aliombewa sana kila mTZ alishiriki.
Why now katika tetesi tuu tayari watu wameonyesha negative attitude kuhusu aliyepo? Lazima kuna sababu tena kubwa mno. Kama tetesi ni za uongo tayari ni msaada wa yeye kujifunza awe namna gani kesho na keshokutwa.
Kwa kweli hatumpendi, na mumuambie kabisa kwamba siku amerudisha faili kwa God tunakesha tunakunywa.Huyu Mzee kumbe watu wengi hawampendi! Yaani wanaombea achomoke aiseee! Naye amezidi, wewe una betri kwenye moyo bado unajipa mapressure ya kijinga, shauri yake bwana!
Ben Saanane yuko wapi?Yaani kuna watu ni wapumbavu sana. Kwani kuna mtu ataishi milele? Siku za kuishi binadamu zinahesabika na hesabu yake ni ya tarakimu mbili tu. Awe Magufuli, uwe wewe zitto, na huyu pacha wako kigogo wote nyie ni tarakimu mbili tu. Kwanza wewe na pacha wako wote mnaishi kwa matumaini. Usitake tuongee hata kule unakochukulia vidonge. Acheni chuki za kijinga.
Utaanza wewe na kama utakuwa karibu nami utajuta kuzaliwa!Kwa kweli hatumpendi, na mumuambie kabisa kwamba siku amerudisha faili kwa God tunakesha tunakunywa.
Jamani mbona sielewi?Alikuwa anatusumbua sana TBC...
kila saa live.. live .. yuko wapi sasa
Ukweli utabaki kuwa ukweli , Jiwe hapendwi. nimeshituka na watu walivyoshangilia hata kama ni JF tu maana huko nje ukionekana unapotezwa. Sample size hii ina reflect majority's views!Kwani huku mtandaoni ndiyo watanzania wote walipo? Huku wamejaa wabeba mabox na mawakala.wa mafisadi!!
Where is Ben Rabiu Saanane,Azory Gwanda and Tundu Lissu!Live long Mr President ....get well soon ! Tunakuombea mh Raisi [emoji120][emoji120]
Wakuu sio vizuri kumuombea mtu kifo, hakuna atakeishi milele
Binafsi siwezi Magufuri afikwe na Mabaya. Kama ni kweli anaumwa basi Mungu amponye ili arudi na kuendelea na shughuli za kulijenga Taifa. Magu tunampinga kwa baadhi ya mambo, lkn kiukweli ni Jembe.
Siyo 92% ni 100%92% wanafurahia mkulu akate moto
Tunajua wenyewe!Hizo story za betri mlidanganywa na nani ?