Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
BINADAMU tumekuwa sawa na wanyama.Tunajadili maisha ya Kiongozi Wa Nchi kimzaha mzaha sana badala ya kumwombea (ingawa huu ni uzushi wa mchana kweupe).

Hivi vitu vya kuzusha na kushadidia uzushi siyo kabisa.Hivi mtu ukiambiwa prove beyond reasonable doubt itawezekana kweli?

Jamani tuombeane mema hata kama kwenye siasa tunatofautiana mawazo.

Tusipotoshane.
Nyie mwombeeni aishi, siye tuache tunaomuombea aondoke. Mwisho wa siku tutaona mshindi wala msi panick.
 
37(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais
kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu
kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa
kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais
ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi
cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya
40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka
Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na
uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua
asilimia hamsini ya Wabunge wote.
Safi sana!
 
Umejaribu kutafakari kwa nini hali hiyo inajitokeza sasa? 1999 kama ulikuwa mkubwa utakumbuka hali ya tahayari ilivyokuwa wakati mwalimu (tena akiwa hana cheo chochote) akiwa mgonjwa kalazwa hospitali.
Hivi karibuni uliona mwitikio wa watu sio CCM tuu, hata wapenzi wa vyama vya upinzani walivyokuwa wamoja katika kumuombea afya njema JK alipokuwa amelazwa US.
BM naye alilazwa ingawa hakuwa hatarini, kule ulaya kwa matatizo ya miguu. Aliombewa sana kila mTZ alishiriki.
Why now katika tetesi tuu tayari watu wameonyesha negative attitude kuhusu aliyepo? Lazima kuna sababu tena kubwa mno. Kama tetesi ni za uongo tayari ni msaada wa yeye kujifunza awe namna gani kesho na keshokutwa.
Kwani huku mtandaoni ndiyo watanzania wote walipo? Huku wamejaa wabeba mabox na mawakala.wa mafisadi!!
 
Yaani kuna watu ni wapumbavu sana. Kwani kuna mtu ataishi milele? Siku za kuishi binadamu zinahesabika na hesabu yake ni ya tarakimu mbili tu. Awe Magufuli, uwe wewe zitto, na huyu pacha wako kigogo wote nyie ni tarakimu mbili tu. Kwanza wewe na pacha wako wote mnaishi kwa matumaini. Usitake tuongee hata kule unakochukulia vidonge. Acheni chuki za kijinga.
Ben Saanane yuko wapi?
 
Binafsi siwezi Magufuri afikwe na Mabaya. Kama ni kweli anaumwa basi Mungu amponye ili arudi na kuendelea na shughuli za kulijenga Taifa. Magu tunampinga kwa baadhi ya mambo, lkn kiukweli ni Jembe.

Na siku zote hauwezi kumlidhisha kila mwanadamu

Ana mazuri Mengi sana amefanya kwa Tanzania, sasa hivi Nchi imekua na adabu Watanzania wote ni sawa hakuna zile habari za unanijua mimi ni nani

Get well soon mh Raisi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom