Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa Mkuu wa nchi hakuna atakayekupenda.. Hata JK tunayemlilia sasa alichukiwa wakati wake..Huyu Mzee kumbe watu wengi hawampendi! Yaani wanaombea achomoke aiseee! Naye amezidi, wewe una betri kwenye moyo bado unajipa mapressure ya kijinga, shauri yake bwana!
Lisu huko beligiumacha hiyo please! where is Ben? where is Lisu and many many many others!
Katika hili nililosema halifai hata wangekuwa mia moja tuu, kwa nini sasa yatokee hayo na watu waseme bila hata ya kuona aibu?Kwani huku mtandaoni ndiyo watanzania wote walipo? Huku wamejaa wabeba mabox na mawakala.wa mafisadi!!
Hamna shida mimi kuondoka, maisha yenyewe wanayoishi Watanzania walio wengi yako sawa na kifo tu. Kimsingi Jiwe ametuua tumebakiza pumzi tu.Utaanza wewe na kama utakuwa karibu nami utajuta kuzaliwa!
Utasubiri sana mpaka 2025 Magu yupo. Jipange kwa stress ya kufa mtu!!Ukweli utabaki kuwa ukweli , Jiwe hapendwi. nimeshituka na watu walivyoshangilia hata kama ni JF tu maana huko nje ukionekana unapotezwa. Sample size hii ina reflect majority's views!
Lumumba FC buku saba hakuna kitu hawa wachumia tumbowanaodai hivyo ni Lumumba! Wala CDM siyo ya wachaga ni ya wote
Watu kama hao wapo tu hata wakati wa mitume walikuwepo itakuwa dunia ya sasa!Katika hili nililosema halifai hata wangekuwa mia moja tuu, kwa nini sasa yatokee hayo na watu waseme bila hata ya kuona aibu?
sijamtakia kifo, hapana nasema reactions ninazoziona humu, basi! Sijamtakia kifo katuUtasubiri sana mpaka 2025 Magu yupo. Jipange kwa stress ya kufa mtu!!
Kwa kweli hatumpendi, na mumuambie kabisa kwamba siku amerudisha faili kwa God tunakesha tunakunywa.
Za wachumia tumbo!sijamtakia kifo, hapana nasema reactions ninazoziona humu, basi! Sijamtakia kifo katu
Siyo 92% ni 100%
Huyu demu ni njiwa, hawezi kuwa na inforamtion zote hizi halafu baada ya kukaziwa anaanza kuchenga chenga watch out.Ku- interact na TISS mitandaoni, huwezi jua ya kesho 😁 😁 😁 😁 😁
Ni roho mbaya ya kishetani. Waliohusika kumdhuru Tindu lisu Mola awape msamaha
TANESCO tu ni sababu moja.Waache wafurahie, watakuja kumkumbuka siku moja
Watatamani Malaika wamludishe, jamani hamuoni raha siku hizi hata Mahakamani Haki zinaoatikana kwa Sababu ya mh raisi, hauitaji kujuana na kigogo yoyote ili upate Haki
Hautiji kimemo ili ushinde case naongelea walalaoi, sio mafisadi
Aaaah wakati mwingine tufikirie kabla ya kusema. Mungu mbariki rais wetu you have done a marvelous job ever done before. Wakati mwingine muache kutuharibia siku. Nimeogopa sana. Kumbe uongo na uzandiki.Hamna shida mimi kuondoka, maisha yenyewe wanayoishi Watanzania walio wengi yako sawa na kifo tu. Kimsingi Jiwe ametuua tumebakiza pumzi tu.