Mkuu kuja jambo
Ila mie baada ya tukio la "kutoweka" kwa computers za DPP nimeingiwa na woga wa lolote complicated kutokea.
Haya mambo ya kurudisha mshiko kwenye viroba ni rahisi watu kuwazia mbali sana jinsi ya kuondoa kikwazo chochote mbele yao
Hii ni law ya Karma kuhusu maisha ya viumbe. Asilimia 30 ya watu waliosubiri na kuchekelea fulani afe walifariki wao kabla. Na asilimia 50 ya wale ambao waliweza kuishi na kuona waliyemwombea kifo afe na akafa nao walifariki miaka michache baada ya waliyemwombea kufariki.Ikiwa kweli sijui nitachinja nini. Lkn nilishaota hiki kitu kitatokea.
Utakufa na kijiba cha roho ww...Sawa, mimi na mama yako tu ndiyo kiben 10 chake
Halafu kinachonishangaza kuna kundi lile la mapambio ni kama halipo kabisa leo angalau kuongea chochote
NB: Bado nasimama pale pale, ningekuwa moderator huu uzi ningesha udelete kwa manufaa ya umma
Kule kigogo huku ex spy jamani ebu fungueni hizo code basi
Tuombee taifa letu
🔇🔇🔇🗳Tumekumbuka misri kwenye nyama na asali. Kaanan tunawaachia karebo na mwenzake joshua
Analima kwa kupeleka raslimali za nchi chato.. katiba kaikanyaga anataka tumfate yeye watu.mil 60, bunge ameua, mahakama ameua, jeshini nako anataka kuweka watu wake.Ila wabongo mna roho ngumu, mnataka Rais wa aina gani zaidi? JPM ni jembe, linalima kwelikweli.. Tulitaka Rais kama JPM anayeweza kumwajibisha mtu yeyote.. Mungu katuletea JPM lakn bdo mnaleta uchuro wenu, mtakufa ninyi, yey atadunda na nchi itanyooka.. Mshndwe ktk jina la Yesu aliye hai.
Ww ndio mchawi humu...Na Mungu anamuumbua tu kutuonyesha ubovu wake. Hii ni mara ya 4 anaanguka. Alianguka Ngerengere mwaka 2016 mara 1 na Ikulu mara 2 mwaka 2015 hii ilikuwa kali na bado.
Mpaka wale vidomo domo akina Mkamia wanaosema aongezewe muda wa kutawala waone haya. Utamuongezeaje muda spanner mkononi? Kwani hii ni Gabon inayoongizwa na mtu mwenye stroke (kiharusi)
Watu wamemfix mkulu tayari si alijiona mjanja? Kumbe msamba tu, Chezea akili kubwaIla mie baada ya tukio la "kutoweka" kwa computers za DPP nimeingiwa na woga wa lolote complicated kutokea.
Haya mambo ya kurudisha mshiko kwenye viroba ni rahisi watu kuwazia mbali sana jinsi ya kuondoa kikwazo chochote mbele yao
Mke wangu huyo namjua mwenyewe.Hii comment ni shida tupu!
Kwani mimi nikifa utapata faida gani wewe. Mimi niko tayari kufa nakutetea uhuru wa kujieleza na demokrasia Tanzania. Nchi yetu nzuri tulikuwa tunaishi kwa upendo ila hili Jiwe kutoka Rwanda linaivuruga kila siku.Utakufa na kijiba cha roho ww...
Nawewe mbona unawaombea mabaya wenzio.Naona watu wanaombea mabaya wengine lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho watu wanaoichukia hii serikali na kuiombea mabaya wao ndio watangulia
Mbona nchi italipuka kwa shangwe hutaaminiJust nonsense. Wanachosema hawa ni kupiga ramli tu. Hawana cha maana. Wanadai kuwa kifaa cha kusaidia moyo kufanya kazi bwana mkubwa kimezima, so he is no longer able to function as President so VP ndio anachukua duties. Its nonsense because pacemaker ni kifaa kinachochekiwa mara kwa mara and at the level of president his safety is top priority. Kama wanawish atoke in power, they have to wish for other ways sio hizi.
Ndiyo mimi mchawi sawa.Ww ndio mchawi humu...