Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Hakuna mwenye guts hizo, nani?
Ila mie baada ya tukio la "kutoweka" kwa computers za DPP nimeingiwa na woga wa lolote complicated kutokea.
Haya mambo ya kurudisha mshiko kwenye viroba ni rahisi watu kuwazia mbali sana jinsi ya kuondoa kikwazo chochote mbele yao
 
Ikiwa kweli sijui nitachinja nini. Lkn nilishaota hiki kitu kitatokea.
Hii ni law ya Karma kuhusu maisha ya viumbe. Asilimia 30 ya watu waliosubiri na kuchekelea fulani afe walifariki wao kabla. Na asilimia 50 ya wale ambao waliweza kuishi na kuona waliyemwombea kifo afe na akafa nao walifariki miaka michache baada ya waliyemwombea kufariki.
 
Pengine hao mods wana fununu tayari ya kinachoendelea.
Halafu kinachonishangaza kuna kundi lile la mapambio ni kama halipo kabisa leo angalau kuongea chochote

NB: Bado nasimama pale pale, ningekuwa moderator huu uzi ningesha udelete kwa manufaa ya umma
 
Ila wabongo mna roho ngumu, mnataka Rais wa aina gani zaidi? JPM ni jembe, linalima kwelikweli.. Tulitaka Rais kama JPM anayeweza kumwajibisha mtu yeyote.. Mungu katuletea JPM lakn bdo mnaleta uchuro wenu, mtakufa ninyi, yey atadunda na nchi itanyooka.. Mshndwe ktk jina la Yesu aliye hai.
Analima kwa kupeleka raslimali za nchi chato.. katiba kaikanyaga anataka tumfate yeye watu.mil 60, bunge ameua, mahakama ameua, jeshini nako anataka kuweka watu wake.

Lakini kumtakia mtu kifo si jambo zuri
 
Naona watu wanaombea mabaya wengine lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho watu wanaoichukia hii serikali na kuiombea mabaya wao ndio watangulia
 
Na Mungu anamuumbua tu kutuonyesha ubovu wake. Hii ni mara ya 4 anaanguka. Alianguka Ngerengere mwaka 2016 mara 1 na Ikulu mara 2 mwaka 2015 hii ilikuwa kali na bado.

Mpaka wale vidomo domo akina Mkamia wanaosema aongezewe muda wa kutawala waone haya. Utamuongezeaje muda spanner mkononi? Kwani hii ni Gabon inayoongizwa na mtu mwenye stroke (kiharusi)
Ww ndio mchawi humu...
 
Ila mie baada ya tukio la "kutoweka" kwa computers za DPP nimeingiwa na woga wa lolote complicated kutokea.
Haya mambo ya kurudisha mshiko kwenye viroba ni rahisi watu kuwazia mbali sana jinsi ya kuondoa kikwazo chochote mbele yao
Watu wamemfix mkulu tayari si alijiona mjanja? Kumbe msamba tu, Chezea akili kubwa
 
Utakufa na kijiba cha roho ww...
Kwani mimi nikifa utapata faida gani wewe. Mimi niko tayari kufa nakutetea uhuru wa kujieleza na demokrasia Tanzania. Nchi yetu nzuri tulikuwa tunaishi kwa upendo ila hili Jiwe kutoka Rwanda linaivuruga kila siku.

Nyinyi ambao mumeamua kukaa kimya endeleeni kukaa kimya. Ila sisi wengine tutapaza sauti kwa kila namna mpaka aache huo UDIKTETA wake. Na hatuwezi kutunyamazisha.
 
Just nonsense. Wanachosema hawa ni kupiga ramli tu. Hawana cha maana. Wanadai kuwa kifaa cha kusaidia moyo kufanya kazi bwana mkubwa kimezima, so he is no longer able to function as President so VP ndio anachukua duties. Its nonsense because pacemaker ni kifaa kinachochekiwa mara kwa mara and at the level of president his safety is top priority. Kama wanawish atoke in power, they have to wish for other ways sio hizi.
Mbona nchi italipuka kwa shangwe hutaamini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom