Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio kenge. Laani zikurudie wewe na uzao wakoKenge wewe. Mungu akulaani.
Huyo sio mtanzania. Ni mvuta bangi tu anayeji mwambafy nyuma ya keyboard.Duh watanzania tumefikia hapa
Mungu mchukuwe utuondolee kero
Sikujua waTanzania tumefikia hatua ya kufurahia kifo cha mtu kama taifa tuangalie wapi tulipojikwaa.
Hata kama unamchukia lakini tusifike kugombea na kifo au kufurahia kifo cha yoyote
Mshenzi ni wewe na mama yako anayependa kuliwa tigo.
Ndani ya masaa kadhaa baada ya uvumi kuenea kuwa rais wa jamhuri ya watu wa Tanzania anaumwa Mafisadi waliokuwa wanaiibia nchi ya Tanzania wamefurahi na hata kumuombea mabaya zaidi.
Hii ni kwa sababu Mzee Magufuli amedhibiti mianya yote ya ubadhirifu na wizi ndani ya serikali.
Habari hazina uhakika kama anaumwa au la lakini mafisadi na wasio wazalendo wanamuombea mabaya yamkute rais wa wanyonge.
Hii inadhihirisha ni namna gani Rais Magufuli amewadhibiti.Mungu yupo maana leo nimesikia wazee wa miaka zaidi eya sabini wanasema Tangu tupate uhuru ni JKN na JPM tu ambao wamediliki kupambana na wezi.
Na Mungu atamlinda JPM.Wanadhani asipokuwepo duniani watarudi kule walipozoea kuibia Tanzania.
Kabisa hata Mimi nawashangaa hawa ndugu zetu,ndo tumefikia hatua hii kweli!!!
Kabisa hata Mimi nawashangaa hawa ndugu zetu,ndo tumefikia hatua hii kweli!!!
Usiwahukumu akina mamaIsha kuwa kama umbea kigogo ana leta umama umama
sisi wanaccm tulisubiri kwa hamu sana kifo cha Lissu,hata huyo mtu wetu alisubiri kwa hamu kifo cha lissu,basi sasa acha na wengine wasubirie kwa hamu kifo chakeSikujua waTanzania tumefikia hatua ya kufurahia kifo cha mtu kama taifa tuangalie wapi tulipojikwaa.
Hata kama unamchukia lakini tusifike kugombea na kifo au kufurahia kifo cha yoyote
You only pray for himGod is with our President!
We pray for him!