Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Huyo rafiki wa nyaulingo siku hizi hasemi ukweli si omeona hata habari za nyaulingo anazificha
Aiseee......jamaa sidhani kama ana ukweli dhahiri juu ya hili......ni swala kubwa sana hili hawezi lipata kirahisi rahisi hivo
 
Kinachofanyika sio kitu sahihi ,jambo ili angefanyiwa mkurugenzi wenu mngefuta nyuzi zote.
Mh anapendwa na watanzania.
We, Tanzanians support you Mr President Dr Magufuli because we know your heart is in the right place, and greatly appreciate what an incredible job you're doing as you work tirelessly to bring the Tanganyika back to prosperity and peace. Thank you Mr. President!
 
Ndani ya masaa kadhaa baada ya uvumi kuenea kuwa rais wa jamhuri ya watu wa Tanzania anaumwa Mafisadi waliokuwa wanaiibia nchi ya Tanzania wamefurahi na hata kumuombea mabaya zaidi.

Hii ni kwa sababu Mzee Magufuli amedhibiti mianya yote ya ubadhirifu na wizi ndani ya serikali.

Habari hazina uhakika kama anaumwa au la lakini mafisadi na wasio wazalendo wanamuombea mabaya yamkute rais wa wanyonge.

Hii inadhihirisha ni namna gani Rais Magufuli amewadhibiti.Mungu yupo maana leo nimesikia wazee wa miaka zaidi eya sabini wanasema Tangu tupate uhuru ni JKN na JPM tu ambao wamediliki kupambana na wezi.

Na Mungu atamlinda JPM.Wanadhani asipokuwepo duniani watarudi kule walipozoea kuibia Tanzania.

Kumbe kuna mafisadi wazalendo! Ni kina nani hao, au ni wale waliojimilikisha nyumba za serikali, kununua kivuko kibovu na kulitia hasara taifa kwa kukatisha mikataba bila kufuata sheria?
 
Twende mbele turudi nyuma jpm amefanya Mambo mengi ambayo yameligawa taifa ila afya yake ni jambo muhimu Sana kwa ustawi wa taifa letu binafsi natumia nafasi hii kupingana na wote ambao wanamuombea mabaya sio heshima na sio ubinadamu hata kidogo Mimi sio mpenzi wa siasa za magufuli ila kwenye swala la afya yake jpm anageuka kuwa rais wangu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kama kweli anaumwa namtakia apone haraka rais wangu!!
 
Hata kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge kule kijijiji ni ufisadi pia
Kwani bunge hutoa kibali cha kujenga Airport? Kazi ya Bunge ni kupitisha Bajeti iliyopelekwa na serikali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom