Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.

Habari mbona haijakamilika. Anaumwa nini?
 
Humkubali halafu unasema afya yake muhimu kwa ustawi wa taifa?!
Sasa kwanini humkubali, ikiwa anastawisha taifa?!
 
Nina imani kama yako mkuu,,,,watu wengi wanachukulia hili swala kimasihara masihara tu....

Time will tell
 
Simkubali kwa siasa za kibabe na kuonea upinzani ila yeye Kama amiri jeshi mkuu namkubali kwa ustawi wa taifa akiyumba tutayumba
Basi mkubali na siasa zake, ukipenda boga penda na ua lake.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…