Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Watu walimuombea mabaya ENL mwaka 2015; lakini hadi Leo mzee yupo, anadunda na anahudhuria sherehe mbalimbali za watoto na wajukuu. Baadhi ya waliomuombea mabaya wametangulia wao.
Na hawa wanaomuombea Rais wetu mabaya watatangulia watamuacha anadunda na kutujengea reli mpaka kigoma
 
1. Nyerere alivyoumwa taifa lilitangaziwa watu wote walijua.

2. Mkapa alipoumwa taifa lilitangaziwa watu wote wakatangaziwa taifa likajua.

3. Kikwete alipoumwa na kufanyiwa operation taifa lilitangaziwa watu wote wakajua.

4. Sasa huyu anaumwa kweli au uzushi tu wa kigogo 2014 na zitto Kabwe? Kama anaumwa si atangazwe tu kama wezake kwani shida ipo wapi?
 
Wameachiwa we uoni yule Wa milioni 7 kwa dakika akipiga self
Mbona wanawaachia wameshindwa kuwatia hatiani kisheria?! Sijasikia aliyefungwa, nasoma humu DPP kawaachia, mara DPP kaibiwa.
 
Dah.......ila mambo ya kuficha ficha sio mazuri.na kama hzi taharifa zingekuwa za uongo.tayar wangejitokeza au angejitokeza kuzikanusha.lets wait and see.
 
Huyu kigogo ni mtu anayejijua mwenyewe tu, kila siku tunasikia watu wana guess mara huyu mara yule. Kigogo2014 popote ulipo zama kichakani zaidi na kamaflage ya hari juu ukiwachora tu na kututupia madini.
Honestly last week I had a dream of a farewell mass to mr President at St Joseph Cathedral. Mama Janet was wrapped ya in vitenge.
was a TRAP and you're TRAPPED [emoji16]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…