Kama kweli Ni mgonjwa Mungu amponye kwa maana Uhai uko mikononi mwa MunguTwende mbele turudi nyuma jpm amefanya Mambo mengi ambayo yameligawa taifa ila afya yake ni jambo muhimu Sana kwa ustawi wa taifa letu binafsi natumia nafasi hii kupingana na wote ambao wanamuombea mabaya sio heshima na sio ubinadamu hata kidogo Mimi sio mpenzi wa siasa za magufuli ila kwenye swala la afya yake jpm anageuka kuwa rais wangu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kama kweli anaumwa namtakia apone haraka rais wangu!!
Walitolewa kanda ya ziwa... Wakaja White House.... Wakatoa tamko atakae chukua fomu watamshughulikia.. Yote yalimlenga jasusiKwakweli nchi inahitaji maombi makubwa sana wachawi wameanza kuroga watu mchana kweupe mbuzi anakula majani bila aibu,ramli zinapigwa kweupe bila aibu,
Jamani wachawi hawa wakiachiwa na ulozi wao wanaweza kuuwa watu au kudhuru kweupe.
Ni vyema kila mmoja kwa dini yake akaongeza maombi kulishinda hili kundi hatari la wachawi!
kujificha ujerumani !Pengine kaamua kuficha aone Sensa ya watanzania wanaompenda kisha aje kivingine pindi akipona
Safisisi wanaccm tulisubiri kwa hamu sana kifo cha Lissu,hata huyo mtu wenu alisubiri kwa hamu kifo cha lissu,basi sasa acha na wengine wasubirie kwa hamu kifo chake
yupo ujerumani,afie huko huko kufa kabisa magufuli,bora tuongozwe na mwanamke mama samia kuliko kuongozwa na huyu mpumbavukujificha ujerumani !
Sijui kama kuna lolote linasambaa,isipokua nchi imevamiwa na kundi la wanga!Mbona Mkuu Kipara kipya, unanung'unika sana??
Hii post ina uhusiano wowote na tetesi zinazoendelea kusambaa kwenye mitandao ya kijamii??
Read between the lines... You have brainsHuyu jamaa hata mikutano ya kimataifa inayofanyika nyumbani kwake anataka kuwakilishwa, kweli sasa naelewa kwamba tuna matatizo makubwa na uongozi wa mtu huyu, tuwe makini 2020.
Fact is nowadays money is the only subject,....if you are not talking money whatever you say is irrelevant
Wakati anataka kula nyama ya Tundu Lissu ulikuwa usingizini?Get well soon hon.jpm. Mungu mpe maisha marefu rais wetu moendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa jina la yesu,amen
Duh!yupo ujerumani,afie huko huko kufa kabisa magufuli,bora tuongozwe na mwanamke mama samia kuliko kuongozwa na huyu mpumbavu
kufa magufuli, kufaaRoho mbaya haijengi na mara nyingi huwa haifanikiwi,Mungu ampe wepesi Rais wetu hope wazushi watashindwa
Unaposema “kama kweli anaumwa”, ina maana huna uhakika na taarifa za rais wetu kwasababu hujamsikia wala wasaidizi wake hawajasema lolote kuhusu kutokuonekana kwake, zaidi ya rum ours! Sasa wewe unataka Nani alaumiwe?Twende mbele turudi nyuma jpm amefanya Mambo mengi ambayo yameligawa taifa ila afya yake ni jambo muhimu Sana kwa ustawi wa taifa letu binafsi natumia nafasi hii kupingana na wote ambao wanamuombea mabaya sio heshima na sio ubinadamu hata kidogo Mimi sio mpenzi wa siasa za magufuli ila kwenye swala la afya yake jpm anageuka kuwa rais wangu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kama kweli anaumwa namtakia apone haraka rais wangu!!
[emoji44][emoji15][emoji29][emoji17][emoji24]Pole mama Janet
Tunamalizia maombi ya afya ya Tundu LissuYaani nimeshangaa na comments za humu.kama rais yupo ICU tumuombee apone haraka
Kinachofanyika sio kitu sahihi ,jambo ili angefanyiwa mkurugenzi wenu mngefuta nyuzi zote.
Mh anapendwa na watanzania.
Sema unampeda wewe bwanaa usitusemeee siiiiiiis😎😎😎😎😎😎😎😎Kinachofanyika sio kitu sahihi ,jambo ili angefanyiwa mkurugenzi wenu mngefuta nyuzi zote.
Mh anapendwa na watanzania.
Mkuu punguza ukali wa manenoyupo ujerumani,afie huko huko kufa kabisa magufuli,bora tuongozwe na mwanamke mama samia kuliko kuongozwa na huyu mpumbavu