Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Twende mbele turudi nyuma jpm amefanya Mambo mengi ambayo yameligawa taifa ila afya yake ni jambo muhimu Sana kwa ustawi wa taifa letu binafsi natumia nafasi hii kupingana na wote ambao wanamuombea mabaya sio heshima na sio ubinadamu hata kidogo Mimi sio mpenzi wa siasa za magufuli ila kwenye swala la afya yake jpm anageuka kuwa rais wangu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kama kweli anaumwa namtakia apone haraka rais wangu!!
Kama kweli Ni mgonjwa Mungu amponye kwa maana Uhai uko mikononi mwa Mungu
 
Kwakweli nchi inahitaji maombi makubwa sana wachawi wameanza kuroga watu mchana kweupe mbuzi anakula majani bila aibu,ramli zinapigwa kweupe bila aibu,
Jamani wachawi hawa wakiachiwa na ulozi wao wanaweza kuuwa watu au kudhuru kweupe.
Ni vyema kila mmoja kwa dini yake akaongeza maombi kulishinda hili kundi hatari la wachawi!
Walitolewa kanda ya ziwa... Wakaja White House.... Wakatoa tamko atakae chukua fomu watamshughulikia.. Yote yalimlenga jasusi


Cheo ni dhamana


Sasa kapewa kamtihani kadogo... Awatumie hao hao kujiokoa...

Nawaza mungu wa dar atakuwa ktk hali gani??


Mkuu linda buku 7 yako
 
Na nilijua nilipoenda ulaya mlijua nitakufaaaaa sasa nimerudi Tena Kaz kweli na wale niliowatumbua na kuwateua nitaapisha upyaaaaa a hiiiiiiiihiiiiihiiii Niko gado kamili kabisa aaaaaaaaaaaa Sasa ole wako wewe uliejifanya ikulu unaitaka subiri uchaguz ufikeeeeeee ,2020 sio mbali in meko voice chato .com
 
Twende mbele turudi nyuma jpm amefanya Mambo mengi ambayo yameligawa taifa ila afya yake ni jambo muhimu Sana kwa ustawi wa taifa letu binafsi natumia nafasi hii kupingana na wote ambao wanamuombea mabaya sio heshima na sio ubinadamu hata kidogo Mimi sio mpenzi wa siasa za magufuli ila kwenye swala la afya yake jpm anageuka kuwa rais wangu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kama kweli anaumwa namtakia apone haraka rais wangu!!
Unaposema “kama kweli anaumwa”, ina maana huna uhakika na taarifa za rais wetu kwasababu hujamsikia wala wasaidizi wake hawajasema lolote kuhusu kutokuonekana kwake, zaidi ya rum ours! Sasa wewe unataka Nani alaumiwe?
 
Kinachofanyika sio kitu sahihi ,jambo ili angefanyiwa mkurugenzi wenu mngefuta nyuzi zote.
Mh anapendwa na watanzania.

Kinachofanyika sio kitu sahihi ,jambo ili angefanyiwa mkurugenzi wenu mngefuta nyuzi zote.
Mh anapendwa na watanzania.
Sema unampeda wewe bwanaa usitusemeee siiiiiiis😎😎😎😎😎😎😎😎
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom