Betoratekha
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 317
- 915
UtakamatwaKwakweli nchi inahitaji maombi makubwa sana wachawi wameanza kuroga watu mchana kweupe mbuzi anakula majani bila aibu,ramli zinapigwa kweupe bila aibu,
Jamani wachawi hawa wakiachiwa na ulozi wao wanaweza kuuwa watu au kudhuru kweupe.
Ni vyema kila mmoja kwa dini yake akaongeza maombi kulishinda hili kundi hatari la wachawi!
Rais aliludi na helkopta huwezi kumtembeza masaa mengi vile mzeeNa mm nimekutana nayo haya ya msafara wa pili nikiwa hapa mti pesa mkuranga.Msafara wa kwanza ambao nahis rais alikuwepo nilikutana nao mbagala rangi 3
Ndio mkuu acha tuwe na roho mbaya yeye alivyotaka kumuua lissu?Kaaah watu mna roho na mioyo mibaya sana aisee, ukisoma comments nyingi hapa ni roho za kishetani kabisa..
Jiwe yuko salama na ni mzima anadunda.
Na kama anaumwa, basi anaumwa kama binadamu wengine wote wanavyoumwa, si ugonjwa wala tatizo la kutisha mpaka kupelekea mtanzuko kati yetu.
Akipona, kama ataiona komenti yangu hii, wale wote waliokuwa wanafurahia na kumuombea hali yake kuwa iwe mbaya zaidi, napendekeza afanye mpango wa kuwafungulia mashitaka ya uhaini (itapendeza zaidi ikiwa watatekwa).
.We Mzee jiangalie[emoji41]
afe tu
Ushindwe na uleegee kama mru mwenye dengueJiwe kadanji nini?
nyanokoUshindwe na uleegee kama mru mwenye dengue
Daa jiwe hapendwi jamani
Mzee wewe unaamini anaeombewa mabaya yanampata??? Si ingekuwa kazi... manake Messi na Ronaldo si wangekuwa wanapumulia mashine......Twende mbele turudi nyuma jpm amefanya Mambo mengi ambayo yameligawa taifa ila afya yake ni jambo muhimu Sana kwa ustawi wa taifa letu binafsi natumia nafasi hii kupingana na wote ambao wanamuombea mabaya sio heshima na sio ubinadamu hata kidogo Mimi sio mpenzi wa siasa za magufuli ila kwenye swala la afya yake jpm anageuka kuwa rais wangu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kama kweli anaumwa namtakia apone haraka rais wangu!!
Yupo mbona na leo kafanya uteuziJamani semeni ukweli, mficha ukweli aibu humuumbua.
Ndio! Tunampenda ila Mungu ampende zaidi.